. PLivakuku anaongoza goli 4 mpaka sasa.
Ox ni mzigo leo hamna mchango wowote kutoka kwake.. Binafsi ningependa kumuona Takumi..
No singo shoti on target sio ishara nzuri sana kwetu...
Shaqir pia anaweza akafanya jambo..
Klopp utamuona akisubiri dakika ya 75 ndio afanye sub huku akiingia Milner...
Hii gemu bado ipo open any team can win... Klopp amtoe mapema Ox asisubiri mpaka dakika zimekwenda...
Jana Bayern walilala 2 bila mpaka half time walivyorudi kipindi cha pili wakaamsha dude na mpaka mpira unaisha wakashinda 5 2...
We are so lazy..
Poor from the Champions elect..
YNWA
. Tutawalazimishia Sare hawatoamini haoSouthampton 1 Liverpool 0 half time
YNWA
Hakuna siku ambayo nitafurahi nikimuona Salah amekaa benchi hata mechi 3 mfululizo bila kugusa pitch.
Mimi kama shabiki wa Arsenal, naona ni bora mara 100 Liverpool aongoze ligi mpaka mwisho kuliko akiongoza Man Nyumbu.
Natarajia comeback ya maana 2nd half maana naona mijamaa ya manjesta imejazana kushabikia So’ton..
Tumenyimwa tuta
Umeshatoka MozambiqueSubiri kipindi cha michezo, mutapewa tuta lenu.
Umeshatoka Mozambique