Gpili
JF-Expert Member
- May 18, 2020
- 2,179
- 2,084
Kipigo kibaya sana ushapagawaHalafu huwaga sipendi kabisa liverpool acheze Monday akiwa away



Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Kipigo kibaya sana ushapagawaHalafu huwaga sipendi kabisa liverpool acheze Monday akiwa away



Mjinga wewe unae shabikia livakuku.Mimi na wewe nani mjinga?
Mechi na Nyumbu afadhali tuanze na Origi, Shaqiri na Minamino. Hawa kina Mane wamechoka, wapumzikeMechi 3 sisi ni wa kufunga goli 1 tu kweli?


😀 mbona mnalilia penalt sasa!Sisi Kama livapool tumeridhika na matokeo kabisa mpira ulikua fair Sana nakiri uwezo wetu ni mdogo mnoo- msemaji wa Liverpool AFRICA MASHARIKI


OkMjinga wewe unae shabikia livakuku.
Man united siyo limbukeni wa kuongoza ligiSwala la kuongoza ligi hata Arsenal alivyoongoza ligi na wao walisema watachukua ubingwa,kwa hiyo Manyumbu kuongoza ligi sioni cha ajabu hapo,na yeye atashuka atakuja man city.
Inaonekana umeanza kuangalia mpira hivi karibuni.
My pessimistic side saw this coming man but thought aaa here it's one of favourites hunting ground haha kumbe the home boys had some steel...Rudderless. Awful. Woeful.
It's only Mane who was trying to make something happen.
Anyways, let's dust ourselves up and go again. The league is not even halfway. I haven't lost hope. Yet.
Tuwangoje wahusika.
Precisely.Mkuu tucheze mpira tusisubiri fadhila la Refa wala VAR...
YNWA
kwa points jinsi zilivyopishana chache, bado ligi ni mbichi epl
Tulieni nyie majogoo vipigo vipo na bado vinakuja vingine, ligi bado mbichi sana hii.Kama kuna mtu bado anaamini tupo kwenye Title Race ajitafakali sana.
Hizi dharau ndio huwa zinawaponza... Away game zote msimu huu mmeshinda 2 tu utd hajapoteza hata moja!Mechi na Nyumbu afadhali tuanze na Origi, Shaqiri na Minamino. Hawa kina Mane wamechoka, wapumzike
Hakuna wa kumlaumu. Sisi ndio tatizoPrecisely.
Hatukupata shot on target hata moja first half yote - how can we blame the officials for that?
Kuna kaugonjwa kameingia Klopp atafute tiba fasta kabla ya wanga hawajaanza "kloppout" zao!
Anayeongoza ligi n nani na title contenders wanakuwaga wa sifa gani, tulia kk ubingwa tunachance bado usiwe na hofu. Haya raund ya pili haijaanza unawaza LFC foreverKama kuna mtu bado anaamini tupo kwenye Title Race ajitafakali sana.
Labda kama munataka tuwapige 8 kama aseneno.Mechi na Nyumbu afadhali tuanze na Origi, Shaqiri na Minamino. Hawa kina Mane wamechoka, wapumzike
Yes, adui mkuu wa LFC ni LFC wenyewe.Hakuna wa kumlaumu. Sisi ndio tatizo
Dharau kuwa tuwaweke benchi kina Mane? Hawa wameflop afadhali ufungwe ukiwa na kikosi cha pili kuliko kupigwa na best players wako wote.Hizi dharau ndio huwa zinawaponza... Away game zote msimu huu mmeshinda 2 tu utd hajapoteza hata moja!
Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app