Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hahah leo nipo mwanzo mwisho na AstonVilla ..chama la wanaa japo Samagoal hayupo leo angewatupia maan ni kawaida yake kuifunga liverpool. 😎😎😎
Chama la wana ni Liverpool wewe, tukiachana na yale machama yetu ya damuni karibu huku chama la wana YNWA 😅😅

Hiiii ingekuwa ni kawaida yake basi na yeye leo angekuwa pale villa park.
 
Hahahaha najua Chelsea ipo moyoni ila nahisi Mr wako atakuwa Liverpool hivyo unamsaport kinamna ..lakini piga ua wewe ni Chelsea damu..

Btw leo AstonVilla tuna jambo letu .leo tunachana mikeka ya watu
Niko Liverpool na sababu zangu na huyo Mr ni man Utd, na leo natamani Totten afungwe tu maana alinitolea Chelsea yangu kwenye ramani ya carabao bado sijapoa 😆


Leo mkeka hauchaniki, utaona.
 
Ollachuga Oc umeona kikosi cha Klopp? Thoe S. Mane hayupo ila leo hakuna mkeka utakaochanika. Jiandae kusikitika tu 😅😅
Screenshot_20201004-093934.png
 
hawa
Sikuhizi tumepata Washabiki wa ajabu sana! Hawajui kuwa hapa wakati wa Ukame tulipitia magumu mengi na tukaweza kustahamiliana.

Enewey! Sisi Manure tumeshasajili Cavani huko wa kubeba makombe.
aisee inasikitisha sana kuona maneno kama ayo kutoka kwa binadamu,kuvumiliana ni jambo kubwa la maana.
 
Leicester hali si hali muda huu, naona anapisha juu pale zibaki timu za mjini Liverpool pekee.

Everton vs Liverpool tar 17 itakuwa na utamu sana.

Mpira kweli hauna adabu 😂😂
Yani Lesta na umwamba wake wote wa kumdungua Manure City nyumbani kwake nayeye kaishia kupigwa kipigo cha paka mwizi nyumbani kwake na Westham. 😂
 
Mpira kweli hauna adabu 😂😂
Yani Lesta na umwamba wake wote wa kumdungua Manure City nyumbani kwake nayeye kaishia kupigwa kipigo cha paka mwizi nyumbani kwake na Westham. 😂

Yaani si mchezo, ukiona timu inashinda unaweza kudhani ni rahisi aisee.

Msimu huu siangalii mechi na matokeo mkononi, maana utakuta big match zinakuwa rahisi kuliko hizi mechi dhidi ya timu za chini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom