Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

IMG_6584.JPG
 
TITLE RACE.


Today was the turning point kwenye TITLE RACE.

Yes, the TITLE RACE, has officially begun today, and i'm so excited.


Matokeo yetu na City kwa siku ya leo, yameonesha determination ya kila team katika mbio za ubingwa, we want to win it for the first time in 29 years, & they want to retain it kwa mara ya tatu mfululizo (should be a record)..

Hence, inafanya game ya Anfield kuwa ya kufa na kupona kwa kila team, City wataridhika na draw kwasababu game ya round ya pili itakuwa ni kwao, so they'll aim for a draw, which kama wakipata itakuwa a killer for us. City wana tough games baada ya Anfield, so kama wakipata wanachokitaka at Anfield, focus itaongezeka zaidi, but kama wakipoteza at Anfield, then tutakuwa clear kwenye league title.

So, City game ni MUST win, i know itakuwa ni game yenye tension sana, kama ile ya msimu uliopita, but kama ninavyosema kila siku, kama tukishindwa ku-take advantage na mapungufu yao kwenye backline, then tutakuwa tumejikaanga wenyewe. hakuna wakati mzuri wa kucheza na City kama sasa, i know mood yao ipo high baada ya kushinda game ya leo, so watakuja Anfield na focus ya hali ya juu, but we've got Fabinho/VVD and the front 3, and the inform Trent, we can do this.


Win this game and the league will be 75% ours. unless itokee big **** up, Dec-feb.
Some watch the game, some "SEE" the game.
 
WANAKUJA ANFIELD IN A MONTH TIME, WITHOUT LAPORTE AT THE BACK!


HAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHHAHAHAH


WE'RE WINNING IT.


LET ME JUST JINX IT, BUT MAN **** IT, AND JUST **** IT. WE'RE WINNING THE TITLE. I DONT FUCKING CARE, OH MY GOD! I DONT FUCKING CARE.


EIGHT FUCKING POINTS CLEAR.
A month ago..

The game is the game.
 
Mkuu hiyo mechi mimi hainipi pressure kabisa ,mechi tunashinda hiyo.

Ingekuwa etihad pale sawa ningekuwa na wasiwasi,hao wakijitahidi hapo anfield ni droo.

Man city hawako vizuri ,tuache kukalili.hii mechi ya leo ni muhimu sana sana kwa sisi kushinda,so tutacheza vizuri sana tushinde .

 
Hands down to Gini today.

his best tactical performance kwenye Jersey ya LFC.

2nd best player on the pitch after Fabinho.


What a performance from him.


i like this dude so much, huwa naumia sana akiwa ana struggle, but today ame-step up wakati tunamuhitaji sana. i'm so happy for him. so so happy for him.



My little baller.
 
Acha kuzuga basi kama nawe ulianza kumfahamu Pep akiwa Man City tu, kuna rekodi nzuri sana pale Barcelona chini ya Pep ilitakiwa ivunjwe na Samuel Eto'o.

Pep alipokabidhiwa tu club alimuweka Samuel Eto'o benchi ili asiivunje ile rekodi ilihali hakuwa chini ya kiwango.

Una jingine tena la kumtetea huyo Pep Baguzi la rangi nyeusi toka Africa?

Unajua alichukua vikombe vingapi msimu wake wa kwanza?

Hilo pengo la Etoo uliliona?
 
Dont let that Henderson's cross fool you about his in-field performance.

He was poor, i dont know but, i guess it comes down to his form, he's so out of form right now.


Good assist though. cant take that away from him.


still, a bum.

and, i'll continue to have my agenda against him mpaka at-least arudishe ile "decent" form yake ya games zile 3-4 za mwisho last season au walau kidogo form yake ya 14/15.


other than that, he's still a BUM.
 
Man, was so far away from this platform, but i had to find a way to post kitu chochote kile nilivyosikia kuwa Club imemsajili Fabio Tavarez. HAHAHAHAHAAHAHA.

Finally, after 9 years club imefanikisha kusajili a WORLD CLASS DEFENSIVE MIDFIELDER, and not just a DM but a TOP DM. I dont think you even understand the importance of this signing.

FABIO TAVAREZ MAN HAHAHAHAHHA, what a Signing ffssssssss!!!!!!!!

Klopp finally binning the Stooges hhahahahaha, the Dortmund Era has begun, a team full of BALLERS HAHAHAHAHAHA.

KLOPP WITH MONEY TO SPLASH THIS SUMMER, THEY ARE NOT READY MY MAN, THEY ARE NOT READY AT ALL.
Ahead of the curve.


achana na VVD/Salah/Mane etc, FABINHO a.k.a DYSON is Klopp's best signing at LFC.

The best DM in the world right now.


Made a huge difference between Kiev & Madrid in the CL, and now he's going to bring the LEAGUE TITLE at the gates of Anfield.


Been saying for a long while, these are kinda players wanaokuletea MAKOMBE nyumbani, and not just titles, ni BIG TITLES.


FABIO HENRIQUE TAVARES.
 
Klopp easing Fabinho slowly kwenye team, hope advisors wa Faby kina Deco watakuwa wanaelewa hili.

and kama angemuanzisha Faby jana, ingekuwa ni suicidal move, because hajawahi kucheza as a lone MF kwenye maisha yake yote ya mpira, he needs time to adjust, katika mfumo wa Klopp ni Attacking Players tu ambao huwa haiwahitaji muda sana wa kuwa eased, (Mane, Salah and now Naby etc walikuwa thrown strainght into the pitch), Ox alikuwa anacheza kama wingback at Arsenal, and wenger alikuwa anasita sana kumpa nafasi kwenye eneo la CAM, so kutoka kwenye position ya wingback mpaka CAM, ilikuwa inahitaji time kidogo na ndiyo maana Klopp alimpa muda Ox wa mazoezi zaidi.

Bakayoko is a good player, but Conte rushed him kwenye team, kutoka kwenye mikono ya attacking minded manager kama Jardim, mpaka kwa DF coach kama Conte tena kwenye 3-5-2, surely he needed time, but haikuipata na wala hakuwa eased taratibu, not blamimg Conte though, and now we have Fred, a very good young Mid, but Mou alishindwa kuelewa kuwa jamaa katoka league nyepesi ya Ukraune and he needed time to adjust, he's struggling a lot now, ni kwamba MFs hasa DMs huwa wanahitaji sana time ya kusettle kwasababu huwa ndiyo focal point ya team yeyote ile.

Jorginho, adapting well, but hajawa used na pace ya EPL, getting caught in possession a lot, but Kante is always there to calm things down, kitu kikubwa kinamchomsaidia sana Jorginho ni kuwa anaujua sana mpira wa Sarri (Sarri ball), so ni moja kati ya Mids ambao watawahi sana kuimaster EPL.

and i like the look of Arsenal's Matteo Guendouzi, anafanya makosa mengi na bado haijaiweza pace ya EPL, but he's always there for ball na ukichukulia kuwa ana miaka 19 tu, will be a very very very good player and he is safe under Emery, man, we have Grujic but tunachelewa sana kumpa nafasi, but nadhani Klopp ana plans za muda mrefu sana na Grujic, kwasababu alikuwa kabakiza mwaka mmoja tu kwenye mkataba wake, na report zilikuwa zinasema alikuwa anagoma kusign new contract kabla hajaondoka kwa mkopo, but Klopp kapigana mpaka Grujic kasign a new contract, inaonekana bado yupo sana kwenye mipango ya Klopp. lets wait and see.
Leo, tutakuwa tunakumbushana.
 
Thought, Trent struggled a bit kwenye first half, mpaka Klopp alivyo-switch kwenda 4-4-2, ambayo ilitupa a good balance kwenye ku-attack + defend.


..and i've never liked Dejan Lovren, but he stepped-up massively today, one of our Top 5 performers kwa game ya leo. i'm so happy for him, hope Matip atarudi soon though, lol, thing about Lovren, you cant trust him moja kwa moja, but he had a very good game today. to be fair.
 
City's next 4 games.

i think, they'll beat Chelsea, as they always react well wakitoka kwenye kipigo.

but we should be hoping for one or two kati ya Utd/Arsenal and especially Leicester kuchukua points kwa City.

kama city wakipoteza game moja kati ya hizo AU ku-draw gamea 2 na sisi tukashinda games zetu zote nne zinazo kuja, then the title will be clear.

kama wakifanikiwa kukusanya 9 points hapo, and sisi tukapoteza/draw game moja, then tutakuwa in trouble.

so kwa hizi fixtures zao, i'm certain wata-drop point(s), sisi tunatakiwa tu-take advantage and win games zetu zote 4 zinazokuja, ambazo zote ni winnable.
IMG_20191111_002311.jpeg
 
Unajua alichukua vikombe vingapi msimu wake wa kwanza?

Hilo pengo la Etoo uliliona?
Josep Guardiola is NOT a racist.


Guardioala never rated Eto'o, and he had to choose Busquets over Yaya Toure.

at Barca, one of his favorite MF balancer was Seydou Keita, ni kama ilivyo kwa Klopp na Milner.

Guardiola didnt rate Zlatan pia, then he sold Deco/Dinho na a lot of white players ambao aliona hawafai kwenye system yake, siyo tu Eto'o.

Klopp alipokuja LFC, hakutaka hata kufanya kazi na Balotelli, akamuuza Benteke na Sakho kwa kosa la kutumia fat burner. siyo kwamba Klopp ni racist, hapana but a WC manager huwa anazingatia players atitude na uwezo wa kufit kwenye mipango yake.

huwez kumuita OGS ni racist kwa kumuuza Lukaku, because alimuondoa pia Sanchez, na his most trusted attackers ni blacks (Rashford/Martial), na kiungo wake tegemezi ni black, Paul Pogba. its all about tactical approach.


Medias/local fans etc ndiyo wanaongoza kwa agenda za ubaguzi. at LFC tuna Echo na local jornos kama Doyle/Bascombe na wale jamaa wa The Anfield Wrap (TAW), actually hawa jamaa wameni-block kwenye kila page yao, hawa na Redmen Tv.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom