Klopp easing Fabinho slowly kwenye team, hope advisors wa Faby kina Deco watakuwa wanaelewa hili.
and kama angemuanzisha Faby jana, ingekuwa ni suicidal move, because hajawahi kucheza as a lone MF kwenye maisha yake yote ya mpira, he needs time to adjust, katika mfumo wa Klopp ni Attacking Players tu ambao huwa haiwahitaji muda sana wa kuwa eased, (Mane, Salah and now Naby etc walikuwa thrown strainght into the pitch), Ox alikuwa anacheza kama wingback at Arsenal, and wenger alikuwa anasita sana kumpa nafasi kwenye eneo la CAM, so kutoka kwenye position ya wingback mpaka CAM, ilikuwa inahitaji time kidogo na ndiyo maana Klopp alimpa muda Ox wa mazoezi zaidi.
Bakayoko is a good player, but Conte rushed him kwenye team, kutoka kwenye mikono ya attacking minded manager kama Jardim, mpaka kwa DF coach kama Conte tena kwenye 3-5-2, surely he needed time, but haikuipata na wala hakuwa eased taratibu, not blamimg Conte though, and now we have Fred, a very good young Mid, but Mou alishindwa kuelewa kuwa jamaa katoka league nyepesi ya Ukraune and he needed time to adjust, he's struggling a lot now, ni kwamba MFs hasa DMs huwa wanahitaji sana time ya kusettle kwasababu huwa ndiyo focal point ya team yeyote ile.
Jorginho, adapting well, but hajawa used na pace ya EPL, getting caught in possession a lot, but Kante is always there to calm things down, kitu kikubwa kinamchomsaidia sana Jorginho ni kuwa anaujua sana mpira wa Sarri (Sarri ball), so ni moja kati ya Mids ambao watawahi sana kuimaster EPL.
and i like the look of Arsenal's Matteo Guendouzi, anafanya makosa mengi na bado haijaiweza pace ya EPL, but he's always there for ball na ukichukulia kuwa ana miaka 19 tu, will be a very very very good player and he is safe under Emery, man, we have Grujic but tunachelewa sana kumpa nafasi, but nadhani Klopp ana plans za muda mrefu sana na Grujic, kwasababu alikuwa kabakiza mwaka mmoja tu kwenye mkataba wake, na report zilikuwa zinasema alikuwa anagoma kusign new contract kabla hajaondoka kwa mkopo, but Klopp kapigana mpaka Grujic kasign a new contract, inaonekana bado yupo sana kwenye mipango ya Klopp. lets wait and see.