Josep Guardiola is NOT a racist.
Guardioala never rated Eto'o, and he had to choose Busquets over Yaya Toure.
at Barca, one of his favorite MF balancer was Seydou Keita, ni kama ilivyo kwa Klopp na Milner.
Guardiola didnt rate Zlatan pia, then he sold Deco/Dinho na a lot of white players ambao aliona hawafai kwenye system yake, siyo tu Eto'o.
Klopp alipokuja LFC, hakutaka hata kufanya kazi na Balotelli, akamuuza Benteke na Sakho kwa kosa la kutumia fat burner. siyo kwamba Klopp ni racist, hapana but a WC manager huwa anazingatia players atitude na uwezo wa kufit kwenye mipango yake.
huwez kumuita OGS ni racist kwa kumuuza Lukaku, because alimuondoa pia Sanchez, na his most trusted attackers ni blacks (Rashford/Martial), na kiungo wake tegemezi ni black, Paul Pogba. its all about tactical approach.
Medias/local fans etc ndiyo wanaongoza kwa agenda za ubaguzi. at LFC tuna Echo na local jornos kama Doyle/Bascombe na wale jamaa wa The Anfield Wrap (TAW), actually hawa jamaa wameni-block kwenye kila page yao, hawa na Redmen Tv.
Umeanza vizuri sana ila hapa umeharibu
Daaaaaah una roho ngumu sana, mpaka uje kushituka wenzako wameshafika wanakokutarajia, wake up my brother, open your brain, usiwe na kichwa kama Daudi Albert Bashite
Mwanamichezo mkomavu bingwa huwa kuna muda anakuwa na bahati ktk baadhi ya game huwa ni ishara ya kushinda kitu fulaniAtkinson was very poor.
but, we all know VAR is a failed project.
we've won baadhi ya games kwa decison mbovu za VAR, na bado tutaendelea kupata hiyo bahati in the near future.
so, sidhan kama kuna haja ya kuliangalia sana hili suala la VAR, ukichukulia halipo fair na halitoweza kuja kuwa fair.
with VAR, you win some, and you lose some.
Ngoja kupangwa kwake kuje kusababisha draw halafu utaona
TAA gemu ya jana amestruggle sana hasa baada ya kutoka Henderson niliona klop kaswitch mane position lakini bado haikua msaada kidogo Ox alisaidia maana sterling angemuua yule dogo
The crowd performance was awesome. That was Anfield for real. Wale walevi naona bia zao ziliwafikisha kileleni na kama msinge shinda mngewakoma. Ila kazi mliyotupa tutaenda kupambana nayo Etihad lazima tutumie udhaifu wake wa mabeki kuendeleza kilio.
Hongereni kwa ushindi.






Ukiwa na midfield haitengenezi nafasi za kufunga ni tatizo au sio tatizo? Gini ni kiungo anaeweza kukaba kama kina Milner,Keita,Fabinho? Kama kukaba sio kipaji chake kwa macho yangu nilivyomuona tutegemee kuvuna nini Kutoka kwake kama tusitegemee atengeneze nafasi za kufunga Mkuu?
Mwanamichezo mkomavu bingwa huwa kuna muda anakuwa na bahati ktk baadhi ya game huwa ni ishara ya kushinda kitu fulani
Bahati ktk mpira huwa na maana kubwa sana nakumbuka msimu wa 2017 tulimaliza wa pili sisi tulikuwa na bahat sana pamoja na city timu iliyokuwa na bahat mbaya na maamuzi mabovu kwa upande wao ilikuwa liverpool



Hata mwaka jana mlikuwa hapo ila ubingwa mliusikia kwenye bomba,
Msianze kutupanda vichwan View attachment 1260155
KDB na Messi any day of the weekAcha kujibagua mkuu, weusi ni weusi tu.
Hizi ni excuses tu.
Hivi wewe ukipewa Yaya Toure na KDB unamchukua nani?
Ukiambiwa kwenye timu yako either Messi au Etoo unamchukua nani?
Man there is something about Gini vs citizens yaani ye always up his game to the unexpected heights...Hands down to Gini today.
his best tactical performance kwenye Jersey ya LFC.
2nd best player on the pitch after Fabinho.
What a performance from him.
i like this dude so much, huwa naumia sana akiwa ana struggle, but today ame-step up wakati tunamuhitaji sana. i'm so happy for him. so so happy for him.
My little baller.
Man Hendo is always a super bum and you will wait ages for that form to ever come back...Dont let that Henderson's cross fool you about his in-field performance.
He was poor, i dont know but, i guess it comes down to his form, he's so out of form right now.
Good assist though. cant take that away from him.
still, a bum.
and, i'll continue to have my agenda against him mpaka at-least arudishe ile "decent" form yake ya games zile 3-4 za mwisho last season au walau kidogo form yake ya 14/15.
other than that, he's still a BUM.
All the best mate...Yo! will be going to our LFC vs Brighton game, this month, tarehe 30.
Ndiyo games zetu hizi walalahoi, tickets zinapatikana kwa urahisi sana!
Nilipata bahati ya kuwashuhudia peak SG na Torres, pamoja na kina Alonso etc, and as much as i wanted to, sikuweza kupata nafasi ya kuwashuhudia kina Suarez/Coutinho etc, but now i thank God, napata nafasi ya kuwashuhudia kina Faby/VVD/Firmino & Mane/Salah kwenye uzi wa LFC, though it will be against the mighty Brighton, lol. but i thank GOD.
I thank GOD, for everything.
👌👌👌👌Kazi iendelee....The crowd performance was awesome. That was Anfield for real. Wale walevi naona bia zao ziliwafikisha kileleni na kama msinge shinda mngewakoma. Ila kazi mliyotupa tutaenda kupambana nayo Etihad lazima tutumie udhaifu wake wa mabeki kuendeleza kilio.
Hongereni kwa ushindi.