Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Talks of Klopp trusting his brexit MF (Hendo + Gini/Milner/Lallana).

but, i guess watu hawaoni/ku-ignore the fact kuwa Klopp always uses OX/Keita to bail him out kwenye tight games.

leo, it was OX who changed the entire game, the other day at OT, it was Keita.

but, i guess tunaweza sema ni uzuri wa kuwa na good players ambao wanaweza kubadilisha games, wakihitajika.

As a red, i understand Klopp hawezi kubadilisha his set-ups/shapes and style of play wakati TUNASHINDA, so adjusting these new players kwenye First XI will take time kidogo, some players are lucky, because Klopp aliikuta teams haina a lot of good players, hence akaamua kutafuta set up ambayo ita-balance mahitaji ya team kwa wakati husika (433), we're winning wit this set up, so it will take time kuwa-adjust Keita & OX kwenye first XI, but slowly wameshaanza kuingizwa kwenye set-up mpya.


Thats why, i'm not worried about Ox/Keita game-times, muda wao utafika & they will cement their places kwenye First XI.
 
Thought, the MF was poor today.

Henderson was beyond poor kwenye 1st half, and i'd say Wijnaldum was even bad.


I'm so hurt na form ya Gini right now, he's been so poor this season, especially akicheza bila Faby.
 
And the funny thing is Both are rubbish mids
Hahaha trash man lol..

Our fairly tale very much under attack and soon we might pay dearly...

This brexit lack the professional foot ball basics.. And that a disaster in making..

Prince Mane making the difference again and again..

Chambo sub man that masterstroke..
 
Mkuu apa ndo unakosea
Hawa ni watu wawili tofaut
Hendo is more of a defensive midfielder while Scholes is more of ana attacking midfielder no matter what formation or to what position you put them in
Ndo maana kabla Fabinho hajazoea ligi na miguu haijakaa sawa uwanjan namba yake akawa anacheza hendo
Mfananishe Ox na scholes, Hendo mfananishe na micheal Carick
Jordan Henderson is/and will never be a defensive Midfielder.

he's a natural 8, a B2B player.
 
Hahaha trash man lol..

Our fairly tale very much under attack and soon we might pay dearly...

This brexit lack the professional foot ball basics.. And that a disaster in making..

Prince Mane making the difference again and again..

Chambo sub man that masterstroke..
Ox/Keita bailing our MF out, again.


Cant say, i'm suprised.
 
Alafu kama haitoshi, unam-pair na Hendo
Henderson, worst midfielder to ever played for this football club.


watching him trying to control a "football" is just laughable, treats the ball like a grenade.

Uki-mpress kidogo, anapagawa kabisa. its so easy kum-nyang'anya mipira, because he cant even shield mipira.


Useless footballer.
 
Ox/Keita bailing our MF out, again.


Cant say, i'm suprised.
Man Chambo acceleration of late has been gold dust.. This dude making his miss last season forgotten easily..

Keita need to stay fit...

Good to see Fabby not risked today awaiting the Citizens..

Lallana and Hendo took them whole game to know their positions... This is serious trouble..
 
Henderson, worst midfielder to ever played for this football club.


watching him trying to call a "football" is just laughable, treats the ball like grenade.

Uki-mpress kidogo, anapagawa kabisa. its so easy kum-nyang'anya mipira, because he cant even shield mipira.


Useless footballer.
Hendo is a time bomb kaka you just don't know where and when he will make the silly mistakes...

Him and VVD slept to clear and Villa scored..
 
Thought, the MF was poor today.

Henderson was beyond poor kwenye 1st half, and i'd say Wijnaldum was even bad.


I'm so hurt na form ya Gini right now, he's been so poor this season, especially akicheza bila Faby.
This boy Gini is like a chameleon man, watch him playing for his country and guy is shinning scoring creating goals...

Come at Liverpool he is losing its man..

I won't choose Lallana over Gini nor Hendo lol but I would give Chambo and Keita if fit a start now and see how it's turns..

They are both contenders for UCL 1st team..
 
Majeruhi yanaharibu wachezaji na Lallana ni muhanga
Yes lallana ana work rate nzuri sana sema majeruhi tu ndo yamemponza. Na leo hajafanya kibaya kacheza vizuri. Nadhani second half villa walikuwa na shot on target moja tu. Alihold vizuri na Kloop analijua hilo na ndio maana anamuweka pale.
Lallana kipindi kloop kaja alikuwa namba moja kichwani kwake..kwanza yuko felxible anagusa kote vyenga anavyo labda long pass kama za fabinho ndo anakosa.
 
TITLE RACE.


Today was the turning point kwenye TITLE RACE.

Yes, the TITLE RACE, has officially begun today, and i'm so excited.


Matokeo yetu na City kwa siku ya leo, yameonesha determination ya kila team katika mbio za ubingwa, we want to win it for the first time in 29 years, & they want to retain it kwa mara ya tatu mfululizo (should be a record)..

Hence, inafanya game ya Anfield kuwa ya kufa na kupona kwa kila team, City wataridhika na draw kwasababu game ya round ya pili itakuwa ni kwao, so they'll aim for a draw, which kama wakipata itakuwa a killer for us. City wana tough games baada ya Anfield, so kama wakipata wanachokitaka at Anfield, focus itaongezeka zaidi, but kama wakipoteza at Anfield, then tutakuwa clear kwenye league title.

So, City game ni MUST win, i know itakuwa ni game yenye tension sana, kama ile ya msimu uliopita, but kama ninavyosema kila siku, kama tukishindwa ku-take advantage na mapungufu yao kwenye backline, then tutakuwa tumejikaanga wenyewe. hakuna wakati mzuri wa kucheza na City kama sasa, i know mood yao ipo high baada ya kushinda game ya leo, so watakuja Anfield na focus ya hali ya juu, but we've got Fabinho/VVD and the front 3, and the inform Trent, we can do this.


Win this game and the league will be 75% ours. unless itokee big *** up, Dec-feb.
 
Man Chambo acceleration of late has been gold dust.. This dude making his miss last season forgotten easily..

Keita need to stay fit...

Good to see Fabby not risked today awaiting the Citizens..

Lallana and Hendo took them whole game to know their positions... This is serious trouble..
Ox, ni baller.

kwenye dunia nyingine, alitakiwa anaanze next weekend.

but, MF tayari tunaijua. so its up to VVD/Faby our fullbacks & the mighy Front 3 to try and win us the game.
 
Henderson, worst midfielder to ever played for this football club.


watching him trying to call a "football" is just laughable, treats the ball like grenade.

Uki-mpress kidogo, anapagawa kabisa. its so easy kum-nyang'anya mipira, because he cant even shield mipira.


Useless footballer.
Uliona ile pasi ambayo tulitakiwa tushinde goli akampasia beki wa liva

Nililia !
 
Henderson, worst midfielder to ever played for this football club.


watching him trying to call a "football" is just laughable, treats the ball like grenade.

Uki-mpress kidogo, anapagawa kabisa. its so easy kum-nyang'anya mipira, because he cant even shield mipira.


Useless footballer.

Then you should replace Klop as the maneger
 
This boy Gini is like a chameleon man, watch him playing for his country and guy is shinning scoring creating goals...

Come at Liverpool he is losing its man..

I won't choose Lallana over Gini nor Hendo lol but I would give Chambo and Keita if fit a start now and see how it's turns..

They are both contenders for UCL 1st team..
Gini operates well kwenye huge spaces.

intl footie huwa ina space sana btn the lines, as kunakuwa hakuna press sana kama kwenye ngazi za clubs


akiwa Uholanzi, huwa anaweza kuoperate well btn the lines as a 2nd attacking CM, tofauti na LFC ambapo ni holder.

wakat yupo newcastle mara nyingi alikuwa ni kama false 10/attacking CM from the middle. Klopp switched him kwenye upande wa holding,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom