interlacustrineregion
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 7,134
- 7,409
HONGERENI SANA LIVERPOOL:
Mmenifurahisha sana kutandika baguzi la rangi(Pep Guardiola)
Mmenifurahisha sana kutandika baguzi la rangi(Pep Guardiola)


PUMBAVU THAAAANA...ili man city aendeleze mbio za kusaka ubingwa ni lazima kesho ampige jogoo pale pale unfield unless otherwise atakuwa amejitoa kwenye mbio, kwan kuna timu kama chelsea na lecister zinakuja kwa speed ya 4g,
Najua hili pep kaliona so kesho do or die, lazima apige mtu pale unfield kwa hisan ya var +referee



Eti Guardiola naye anajifanya kumkosoa Sadio Mane ambaye hakuna hata Striker kaliba yake pale Man City, alichokitafuta kabla ya gemu amekipata sasaGuardiola hakukosea Mane anajiangusha
Ila Inategemea amejiangushaje View attachment 1259971View attachment 1259973

PUMBAVU THAAAANA...
Unaanzaje kulipenda baguzi kuu la rangi lililombaguaga Samuel Eto'o na Yaya Toure?
Hivi vitoto vya kidigitali bhana! Haya kakojoe ulale sasa...View attachment 1259976
Kipumbavu sana kile kitoto, kilifichwa mno hadi kiliishiwa mbinu na timu yake kiujumla baada ya kupigwa 3-0, ilibidi kibambikize tu maana hakikuwa na jinsiYule dogo Sterling alikuwa anabambikizia watu handball apewe penati yaani kilibidi kile kadi kabisa

Waingereza naona wanamake sure the long wait 30years IS OVER.. #Li VAR pool
Hawapendi weusi toka Africa lakini kwa mabara mengine wala hana nomaWewe jamaa uko so obsessed na Pep! Pep ana Sterling, Otamendi, Kylie Walker, Fernandino, alikuwa na Company, wote hawa ni weusi.
Kwa nini mfano wako ni kwa hao wawili tu?
Anyway, mitazamo inatofautiana.
Hawapendi weusi toka Africa lakini kwa mabara mengine wala hana noma
Siyo kila Mshabiki wa Chelsea alikuwa anakutakia mabaya kushindwa dhidi ya Man City, jadili hoja bila mihemuko ili uonekane una busaraniwakumbushe tu haters wote kuwa liva tumeshamalizana na timu zote za top 6 sasa nyie kina chelshit mjue tu mmecheza na liva tu kwenye timu za top 6

Acha kuzuga basi kama nawe ulianza kumfahamu Pep akiwa Man City tu, kuna rekodi nzuri sana pale Barcelona chini ya Pep ilitakiwa ivunjwe na Samuel Eto'o.Acha kujibagua mkuu, weusi ni weusi tu.
Hizi ni excuses tu.
Hivi wewe ukipewa Yaya Toure na KDB unamchukua nani?
Ukiambiwa kwenye timu yako either Messi au Etoo unamchukua nani?
Referee hakupendelea popote pale.Yaani kuna watu wapumbavu sana na wananikera
Wanaposema refa ametubeba kwanza washukuru sana wachezaji wetu waliridhika otherwise leo ingekua ni kilio kwao
Pili tujadili zile penati...
Penati ya kwanza... Bernardo silva altoa pass kwa mkono na wachezaji wa liva walinyosha mikono juu...
Penati ya pili mkono wa trent ulkua on its natural position hafu sterling ana michezo ya kitoto ya kushikishana mpira... It was better sababu trent mkono wake ulkua kwenye its natural position
Mashabiki uchwara wa bongo wanataka kusema wana akili kulko jopo la VARna refa aliye uwanjani... Wanakera

Sanday × Sunday √Ndani ya November
Saturday 2
Aston Villa 1 - 2 Liverpool
Sanday 10
Liverpool 3 – 1 Manchester City
Saturday 23
Crystal Palace - Liverpool
Saturday 30
Liverpool – Brighton and Hove Albion
Kuna jamaa yupo hum ye anataka kila mtu awe bora kwa 100%Huwa nasoma sana michango ya wakereketwa wa Liverpool. Wengine wanakandya sana. Wengine wanatoa opinions zao... wengine wanakandya list ya Klop ... wengine wanasapoti... basi tabu tupu.
Unaweza kuwa mahiri kulaumu kwanini bwana kapteni anapangwa wanaachwa mastaa wetu... tunaweza kuwa mahiri sana kwenye kukosoa... lakini ukweli mmoja ni kuwa.. Klop anajua soka kuliko sisi... Period!
Mkongwe wa Liverpool tangu enzi hizo nimecomment na kumaliza
YNWA

Could you please share your secret with me?View attachment 1259890
Yes, coz I don't believe in money investment to buy more players as the best method on achieving vivid results rather than only investing on crucial tactics when it comes time to football battle![]()
dah