Hahahahahahahahaha mtagi domo kayaaaaaaaTumeshakubali hatushindi chochote mkuu
Messi ndie sio mzuri kwa away gamesHistory siku zote huwa inawahukumu Barca wakiwa away, sio wazuri sana! Kuku, hongereni kwa ushindi. Lakini hii haina maana kwamba mtachukua kombe hili, ukame wenu upo pale pale, jiandaeni Ajax anakuja kuwavunja mifupa. Tukutane Madrid...
Tunaendelea kutunza hizi comments zenu,tafadhalini,msije kukimbia ile siku ambayo yaja.History siku zote huwa inawahukumu Barca wakiwa away, sio wazuri sana! Kuku, hongereni kwa ushindi. Lakini hii haina maana kwamba mtachukua kombe hili, ukame wenu upo pale pale, jiandaeni Ajax anakuja kuwavunja mifupa. Tukutane Madrid...





Nazisubili mkuu...
Wallah Origi kamprove wrong Kloop. Huyu jamaa klopp alikuwa amwamini kabisa. Kuumia kwa salah imekuwa faraja kwetu. Pia kuumia kw captain imetusaidia sana.
Kweli maajabu yapo duniani.





Kuna watu walisema watakuja kusaidia kuanua matanga leo,wapo wapi hao watu leo!?Msiba umegeuka kuwa harusi
Sasa sisi tuliokuja kwenye msiba mnatufanyeje sasa na michango ya rambirambi tulishaanza kukusanya wiki iliyopita
Hongela sana aminasMunguuu Ahsanteeee
Nakuaminia best ...Allfootball GIF zake zimezingua labda kesho zitakaa vizuri
Mkuu ni bora usingeandika 0-4 ulikosea sana. Angalia sasa kilichotupataMaana halisi ya mtaka yote kwa pupa hukosa yote ni kwa kuku wa kishingo mwaka huu..Liverpool 0-4 Barca...
Next match Briton anamwagiwa magoli kama njugu...kilichobakia kwenu ni KULIIBA TU hakuna namna mkuu...



