Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Jana nimechakazwa balaaaaa, sokoine nilitoka bila, camp nou nako but mm bado na uhakika Liverpool atampiga Barcelona na kumtoa kwenye mashindano, piga ua Liverpool anaenda fainali
 
Mwaka jana AS Roma walimuondoa Barca kwa staili ngumu
Cam nou Barca alishinda 4-1
Roma akashindwa kwa 3-0 na kutolewa wachezaji hawa hawa
Kipa wa Roma alikuwa ni huyu huyu wa Liverpool, Alison
Liverppol wamtumie Alisson maana siri ya ile comeback waliotumia Eusebio De Francesco mwaka jana anaijua
 
Kwa jana VVD amehitahidi sana.
maana kuna wakat messi alikuwa anaaimamisha dribble zake kabisa. Anasubiri watu kitu ambacho sio kawaida yake.
Ata magoli yalikiwa hayazuiliki kabisa. I wish mtapoteza kombe zote.
Ila well done foe first half yan ingekuwa japo 3:1
 
Hii club wapumbavu wengi

Yah! Better to call me 'Mpumbavu' kuliko unachokionesha wewe hapa.

To say we will win the game ni upumbavu?

Ivi ata Cardiff City inapocheza na Chelsea unataka waseme "TUNAENDA KUFUNGWA HII MECHI?"
Je wakisema 'Tunaenda Kushinda' ni upumbavu?

Even Chelsea walisema tunaenda Kumfunga Man City na wakaishia Kula 6 lakini haikutafsiriwa kuwa ni Upumbavu you know why?

Kuwa na Matumaini kwa kila Jambo ndiyo inavyotakiwa.

Before calling me fool just think carefully how your mother is greatest fool ever for brought you to the world to add nothing but troublemaker.
 
Yah! Better to call me 'Mpumbavu' kuliko unachokionesha wewe hapa.

To say we will win the game ni upumbavu?

Ivi ata Cardiff City inapocheza na Chelsea unataka waseme "TUNAENDA KUFUNGWA HII MECHI?"
Je wakisema 'Tunaenda Kushinda' ni upumbavu?

Even Chelsea walisema tunaenda Kumfunga Man City na wakaishia Kula 6 lakini haikutafsiriwa kuwa ni Upumbavu you know why?

Kuwa na Matumaini kwa kila Jambo ndiyo inavyotakiwa.

Before calling me fool just think carefully how your mother is greatest fool ever for brought you to the world to add nothing but troublemaker.
Hicho kingereza ukiache maana unaandika brovken tupu. Eto your mother for brought! badala ya for bringing
 
Pale Anfield lazima washinde. Beki ya Barca ni nyepesi sana sijui kwa nini wameshindwa kupata goli la ugenini. Tatizo litakua kuwazuia na wao wasifunge.
Unavyowaona barca wepes,hata kuna watu walisema hivo hivo humu, ila kidogo liver ale 5, kila mech na tactic zake, ndio maana Jana akaanza Vidal kuvuruga tu
 
Wapendwa fuatilieni statistics za Messi, mwaka huu yuko kwenye top form ya Maisha yake ya mpira
Kama Liverpool wanataka wacomeback, aidha wamuombee augue jumanne ya wiki ijayo au waweke plan ya kumkatia mawasiliano
Jamaa yuko kwenye top form ya taaluma yake ya mpira mwaka huu
Laliga 34 goals and 13 assists
UEFA 12 goals
Copa Delaray 2 goals
Anaweza kuwa kashafikisha magoli 50 na bado anaendelea kufunga
 
Mwaka jana AS Roma walimuondoa Barca kwa staili ngumu
Cam nou Barca alishinda 4-1
Roma akashindwa kwa 3-0 na kutolewa wachezaji hawa hawa
Kipa wa Roma alikuwa ni huyu huyu wa Liverpool, Alison
Liverppol wamtumie Alisson maana siri ya ile comeback waliotumia Eusebio De Francesco mwaka jana anaijua
Tatizo barca msimu huu ana njaa na UCL, mess alifanya press camp nou akawaahid kulileta,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom