SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,923
Liverpool B vs Barca-loaded
Siyo EPL tu hata mkikosa makombe yote maana njia mliyopita ni ngumu sana kufika fainali za UEFA CHAMPIONS LEAGUE Chifu.Hata tukikosa EPL ni poa tu

Kaka hatulikosi hiloHata tukikosa EPL ni poa tu
Mkuu,tunabeba yote safari hiiHata tukikosa EPL ni poa tu
Mkuu huwa wanasema maisha kama gwaride ukiambiwa nyuma geuka mbele tembea, wa mwisho anakuwa wa kwanza ndio kilichotokea, watu waliongea sana messi messi yuko wapi sasa???ndugu zetu poleni.
ndo ukubwa huo.
wala msihuzunike.
Tukutane fainali super cup acha kelele...Ukome na kiherehere chako sasa sijui utaamia timu gani maana unahama timu hadi uhakikishe unapata kombe
hivi unaanzaje kufunga nne alafu wao wamesimama tu?
kibaya zaidi anfield liver atakuwa anafukuza mchezo, watalazimika kusonga sana mbele na magepu ya nyuma ndio zile kaunta walizokosa kina dembele sasa sidhani oama messi na suarez watakuacha.
JustUna Mane Salah uko wachezaji wa mchangani unategemea kupata ushindi mnono mbele ya Barca![]()





This young boy TAA is very clever!
Nyumbani kwa barca mlienda mnajiamini et historia inawabeba mmekufa 3-0
Second match mkiwa nyumbani historia inasemaje?
Utakuwa unanifananisha. Sijawahi tukana kwenye huu Uzi..Hahahaha hata nami huwa simwelewi huyu mtu, kwetu huwa anatukana hasa tunapokwama wakati mwingine basi ndo hivyo
hahaha!Liverpool B vs Barca-loaded
Kaka nakuambia kila siku Liverpool tulipata sana bahati kumpata Klopp!Malafyale popote ulipo ..ewe Liverpool KHALISI una imani kubwa sanaaa
We ni MUFC fan lkn utakuwa umefurahi sana kiaina rohoni, maana hivi karibuni timu Za UK huwa Zadharaurika sana na Za Spain ktk UEFA Champions leaguenimeangalia mkuu kuanzia dk ya 50 hv mana mvua ilikua inanyesha huku nikachelewa kuwasili eneo husika. Kua amani, liverpool ni timu na siyo kigenge
![]()

IPO juu yetu kwa kipi labda,tumekutana Leo statistcs zinaonyesha tumewazidi karibu kila kitu.insu hapa no klopp ndio kazingua
Si ñdio sasa waeleweshe mkuuHujamuelewa huyo Chuga ameongea kimafumbo sana 7bu anajua hakuna aliyefurahia mlipopigwa 3-0 Nou Camp kama Man U![]()


Mkuu tumewafunga 4 bila huku wakiwa wamesimama .
Mkuu klopp kwenye mbinu yuko vizuri sana.barca katolewa huko na mess wao.liverpool na wachezaji wao mnaowaita wakawaida.
Mpira uwanjani pale sio maneno maneno.sasa hiyo aibu sijui unaificha wapi?