lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 13,200
- 28,082
Liverpool hatutapata kombe lolote chini ya Klopp
Liverpool HALISI tuna imani na kocha wetu.
Liverpool hatutapata kombe lolote chini ya Klopp
Mtu anasema eti ametufikisha mbali,mbali wapi sasa mimi sielewiHahahahahaahhaha acha nichekee mkuuu....
Wewe jamaa ni kamlomo sanaLiverpool hatutapata kombe lolote chini ya Klopp
Ha ha ha tumefungwa kihalali pia selection ya timu nayo imetuangusha lazima tukubal wana Liverpool wenzangu barca ipo juu zaidi yetu na tumeona zile kelele zetu toka mwaka Jana nakumbuka tulisema maneno ya kejel juu ya barca lakn ukwel timu za Spain huwa hatuziwez fuatilia final ya Europa chn ya huyu klopp tulipigwa final uefa Madrid akatupiga Leo semi final uefa barca anatuwekaLiverpool Halisi mko wapi?
Najua soon mtakuja tu na hivyo vingeleza vyenu kufanya uchambuzi.
Wao 3 Nyinyi 0
Ulitisha mzee babaaHauna tofauti na manyua united, wewe leo utakula 3 nikija kwako utakula 3 tena. Hapo mimba inakua tayari tunasubiri mtoto tu.
Hahahahahahahahaha acha nicheke mkuuHahahahahahahahah hakuna kitu kizuri kama kuwa na Better team ,Strong team hauna presha kabisa Full Confidence muda wote.









Wewe jamaa Leo umekuwa mdogo kama piritonMtu anasema eti ametufikisha mbali,mbali wapi sasa mimi sielewi
Jamaa wakija ni english tu humuLiverpool Halisi mko wapi?
Najua soon mtakuja tu na hivyo vingeleza vyenu kufanya uchambuzi.
Wao 3 Nyinyi 0
Ndy muelewe sasa man u na ss tuliteseka kisa uwepo wake uwanjaniWhat a classic game!
Messi is the difference.
Hatukua na bahati leo,timu imecheza vizuriHa ha ha tumefungwa kihalali pia selection ya timu nayo imetuangusha lazima tukubal wana Liverpool wenzangu barca ipo juu zaidi yetu na tumeona zile kelele zetu toka mwaka Jana nakumbuka tulisema maneno ya kejel juu ya barca lakn ukwel timu za Spain huwa hatuziwez fuatilia final ya Europa chn ya huyu klopp tulipigwa final uefa Madrid akatupiga Leo semi final uefa barca anatuweka
Wao 3 - sisi 0Leo tutaenda kuwapigia hapo hapo kwenu huku mmesimama. This is Liverpool.







Hahaaaaa umenichekesha ww jamaaNdy muelewe sasa man u na ss tuliteseka kisa uwepo wake uwanjani