Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,930
- 27,179
Katika vitu si sivielewi ni pamoja na Liverpool. Yan mnaamka katika wakati ambao usiotegemewa (kushinda) wakati mwingine mnalala muda usiostahili(kufungwa). Barca kuna kitu mmewafanyia si bure, yan zile fujo wale walevi wa Liverpool walizoenda kufanya kwenye hoteli ya Barca ndio zimewafanya vile. Au walifanya makosa kuwaanzisha Coutinho na Suarez kwa pamoja. Sasa mlishindwa nini kukifanya hiki kule kwao ili kumaliza kazi mapema.? Yan najiuliza maswali mengi bado sipati majibu. Daah mmetushangaza sana wapiga ramli.
It was a magnificent comeback. Congratulations.
It was a magnificent comeback. Congratulations.