Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mwaka jana AS Roma walimuondoa Barca kwa staili ngumu
Cam nou Barca alishinda 4-1
Roma akashindwa kwa 3-0 na kutolewa wachezaji hawa hawa
Kipa wa Roma alikuwa ni huyu huyu wa Liverpool, Alison
Liverppol wamtumie Alisson maana siri ya ile comeback waliotumia Eusebio De Francesco mwaka jana anaijua
Kumbuka hawakuwa na coutinho wala lenglet wala vidal
 
Kwa jana VVD amehitahidi sana.
maana kuna wakat messi alikuwa anaaimamisha dribble zake kabisa. Anasubiri watu kitu ambacho sio kawaida yake.
Ata magoli yalikiwa hayazuiliki kabisa. I wish mtapoteza kombe zote.
Ila well done foe first half yan ingekuwa japo 3:1
Jana ulikuwa unaongea kama binti flani ivi mchepuko ulieolewa ukatoa na tigo Kwa mme
 
Hivi hizi free kicks anazopigaga Messi na kuingia nyavuni huwa ni suala la kocha anafundishaje au ile ni Natural Instincts tu za Messi?!
Ule mkwaju wa Messi jana yadi 70,ananyoosha mguu mpira unatembea hadi pembeni juu mpaka kipa anaukosa hadi kambani...

Yaani ile Messi najiuliza anafanyia mazoezi mara ngapi?! Jamaa anajua mpira...nahisi hata kina Maradona hawakufikia uwezo na maajabu haya.
But,beki ya Barca ni mbovu mno...
Liver wangekuwa makini haswa Mane na Salah wangepata goli mbili muhimu jana.
Sioni Barcelona ikiizuia Liverpool second leg kupata goli...tena wakizubaa zinaweza rudi zote,japo nao Liver kumzuia Messi asifunge nayo itakuwa ni another task.

Anyways,timu bora imeshinda jana...
Shikamoo Messi bila kumsahau Mnyama Suarez....jitu liko on fire sana.
Vipi Van Dijk jana alikuwa benchi ama, sikumuona!!
 
Hivi hizi free kicks anazopigaga Messi na kuingia nyavuni huwa ni suala la kocha anafundishaje au ile ni Natural Instincts tu za Messi?!
Ule mkwaju wa Messi jana yadi 70,ananyoosha mguu mpira unatembea hadi pembeni juu mpaka kipa anaukosa hadi kambani...

Yaani ile Messi najiuliza anafanyia mazoezi mara ngapi?! Jamaa anajua mpira...nahisi hata kina Maradona hawakufikia uwezo na maajabu haya.
But,beki ya Barca ni mbovu mno...
Liver wangekuwa makini haswa Mane na Salah wangepata goli mbili muhimu jana.
Sioni Barcelona ikiizuia Liverpool second leg kupata goli...tena wakizubaa zinaweza rudi zote,japo nao Liver kumzuia Messi asifunge nayo itakuwa ni another task.

Anyways,timu bora imeshinda jana...
Shikamoo Messi bila kumsahau Mnyama Suarez....jitu liko on fire sana.
Vipi Van Dijk jana alikuwa benchi ama, sikumuona!!
Beki ni mbovu ila goal keeper ni habari nyingne
 
Kuna hii ngoja nikwambie. Sijasema barca wepesi. Nimesema beki yao ni nyepesi sana kwa kulinganisha na striking force ya Liverpool nilitegemea lazima angepata goli la ugenini. Kumuanzisha Vidal kunaweza kuwa na impact kwao Barca wenyewe lakini ni nafasi ngap Liver walipata wakashindwa kuzitumia.

Tatizo lingine unapocheza na Barca jua kwamba tayari wao wana goli moja mkononi yan ni lazima wakufunge ni sawa na unapocheza na Man au Madrid za msimu huu jua kwamba lazima umfunge goli haijalishi atakufunga ngap ila jua timu pinzani tayari ina goli kuanzia moja.

Nina uhakika Anfield Liver anashinda ila shughuli ipo kuwazuia wasipate goli wao. 2-1, 3-1/2.
Ni kweli mkuu, hapo Anfield kutakuwa na funga nikufunge sijui kama Liverpool wataweza kumaitain goals diference ya 4 maana ndiyo hiyo itakayowawezesha kuendelea
Mfano wanatakiwa kuwafunga Barca
3-0 itakuwa sare wataenda extra ya 30mins na penalsti kama hawajafungana
4-0
5-1
6-2
7-3
8-4
9-5
10-6 nk
 
Timu ya kawaida inakufunga 3-0... anakuja Anfield kukulamba tena
Mnarudia rudia tu jamani. Kwa walioangalia mpira live, Barca walikuwa kawaida tu ila tatizo alikuwa ni Messi. Hii ilishasemwa vizuri huko nyuma. Ndio maana Liverpool inabidi waombe Messi augue. Walahi nakuambia Barca-Messi is nothing
 
Sijuagi mnatumia kigezo gani kusema beki ya Barca ni nyepesi nahisi mko brainwashed tu
Barca hawana beki wazuri, wanategemea sana mbele wana washambuliaji wazuri wenye uchu mkubwa wa kufunga
Cha ajabu hata Liverpool hawajakamilika hasa kwa Upande wa Matip, yule jamaa alifaa angeshiriki mashindano ya urembo tu, football ni zero. foul nyingi anazocheza refa angeziona Liver wangekwenda na maji asubuhi na mapema
 
Suarez Nipo.Messi Jana,Leo na kesho kwa kifupi majirani ligi msimu ushaisha kwa mara nyingine mnamaliza mikono mitupu.
 
Mwaka jana AS Roma walimuondoa Barca kwa staili ngumu
Cam nou Barca alishinda 4-1
Roma akashindwa kwa 3-0 na kutolewa wachezaji hawa hawa
Kipa wa Roma alikuwa ni huyu huyu wa Liverpool, Alison
Liverppol wamtumie Alisson maana siri ya ile comeback waliotumia Eusebio De Francesco mwaka jana anaijua
Allison awe kocha basi
 
Barca vs Liverpool Top Player Ratings

Lionel Messi 9 (Man of the match)
-
Klopp was right, he is the greatest. Simply unplayable at times and his 600th goal for Barcelona will live long in the memory. Possibly settled the tie too.
Luis Suarez 8
-
He remains what Liverpool used to savor – a world class wind-up merchant and goal scorer. Booked for dissent late on but could have been sooner.
Marc-Andre ter Stegen 8
-
Brought authority to a nervous defense. Produced a fine stop from Salah, and two from Milner, to preserve an important clean sheet.
Jordi Alba 8
-
A class act, albeit at the occasional expense of his defensive duties. Delivered a glorious cross for Suárez’s opener.
Arturo Vidal 8
-Chosen ahead of Arthur for his quality on the ball and switched play to telling effect. Also fearsome in the tackle.
Sergio Busquets 8
-
His importance to Barcelona is undiminished. Brave and tidy in possession and hugely effective in breaking Liverpool’s attacking rhythm.

Aliyecheza vizuri kwa Liverpool ni
Andy Robertson 8 Relished the double demand of tracking Messi inside while supporting the attack. The pinpoint delivery was, for once, lacking.
 
Hivi hizi free kicks anazopigaga Messi na kuingia nyavuni huwa ni suala la kocha anafundishaje au ile ni Natural Instincts tu za Messi?!
Ule mkwaju wa Messi jana yadi 70,ananyoosha mguu mpira unatembea hadi pembeni juu mpaka kipa anaukosa hadi kambani...

Yaani ile Messi najiuliza anafanyia mazoezi mara ngapi?! Jamaa anajua mpira...nahisi hata kina Maradona hawakufikia uwezo na maajabu haya.
But,beki ya Barca ni mbovu mno...
Liver wangekuwa makini haswa Mane na Salah wangepata goli mbili muhimu jana.
Sioni Barcelona ikiizuia Liverpool second leg kupata goli...tena wakizubaa zinaweza rudi zote,japo nao Liver kumzuia Messi asifunge nayo itakuwa ni another task.

Anyways,timu bora imeshinda jana...
Shikamoo Messi bila kumsahau Mnyama Suarez....jitu liko on fire sana.
Vipi Van Dijk jana alikuwa benchi ama, sikumuona!!
Ile iliweka curve, kwanza ilionekana inatoka nje, ilipokaribia goli ghafla ikarudi kwa spidi hata ungewaunganisha Alison+Degea+Kepa+? wasingeweza kuufikia ule mpira
 
Timu ya kawaida inakufunga 3-0... anakuja Anfield kukulamba tena
Sasa kwani kuna uspecial wowote mliouona pale kwa mpira wao kiasi kwamba mshangae sana.atalamba km utacheza kwa mdomo.bahati ilikua kwao jana sio uwezo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom