past two weeks ule wimbo wa Liverpool halisi na fake umeshuka viwango vya LFC Forum.
Natania tu

Bado kukosekana kwa J.Gomez bado nimekua na wasi wasi kwenye back four yetu.
Mechi ambazo Gomez hajacheza plus Gini (may be) tumeruhusu magoli mengi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
past two weeks ule wimbo wa Liverpool halisi na fake umeshuka viwango vya LFC Forum.
Natania tu

Bado kukosekana kwa J.Gomez bado nimekua na wasi wasi kwenye back four yetu.
Mechi ambazo Gomez hajacheza plus Gini (may be) tumeruhusu magoli mengi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hapa ni kupambana mpaka tone la mwisho wa damu...lkn kwa Hali ninayoiona huu mwaka ni wetu tuombe tu mungu...vijana wanajituma tuwe nyuma yao Hawa wapinzani wataongea tu Ila sisi tuongee uwanjanii...huku kwenye forum ikiwezakana hata tuwatukane ili mradi ya kwetu yaende

Sent from my CAG-L22 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu hapa ni kupambana mpaka tone la mwisho wa damu...lkn kwa Hali ninayoiona huu mwaka ni wetu tuombe tu mungu...vijana wanajituma tuwe nyuma yao Hawa wapinzani wataongea tu Ila sisi tuongee uwanjanii...huku kwenye forum ikiwezakana hata tuwatukane ili mradi ya kwetu yaende

Sent from my CAG-L22 using JamiiForums mobile app
yeah ni kweli ni wetu ila sio kwepesi... pressure inapanda na kushuka huyu pep sio wa mchezo mchezo. Ila tutabanana nae mpaka ubingwani May.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom