Manga ML
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 9,805
- 15,522
Huyo Brewster umefanya kama tegemezi amewazidi sana hawa makinda? Sijawahi kumjuaWOOOOOOOOOW!
- GINI is back
- TAA is back
- AOC soon
- BREWSTER soon
Huyo Brewster umefanya kama tegemezi amewazidi sana hawa makinda? Sijawahi kumjuaWOOOOOOOOOW!
- GINI is back
- TAA is back
- AOC soon
- BREWSTER soon
Huyo Brewster umefanya kama tegemezi amewazidi sana hawa makinda? Sijawahi kumjua
Alifanikiwa under 23 au katoka team gani?He is very talented Young boy! But due to his serious injury suffered in last year I don't know kama atakuwa na Impact tunayoitegemea.
Mkuu hapa ni kupambana mpaka tone la mwisho wa damu...lkn kwa Hali ninayoiona huu mwaka ni wetu tuombe tu mungu...vijana wanajituma tuwe nyuma yao Hawa wapinzani wataongea tu Ila sisi tuongee uwanjanii...huku kwenye forum ikiwezakana hata tuwatukane ili mradi ya kwetu yaendepast two weeks ule wimbo wa Liverpool halisi na fake umeshuka viwango vya LFC Forum.
Natania tu
Bado kukosekana kwa J.Gomez bado nimekua na wasi wasi kwenye back four yetu.
Mechi ambazo Gomez hajacheza plus Gini (may be) tumeruhusu magoli mengi.
Sent using Jamii Forums mobile app
yeah ni kweli ni wetu ila sio kwepesi... pressure inapanda na kushuka huyu pep sio wa mchezo mchezo. Ila tutabanana nae mpaka ubingwani May.Mkuu hapa ni kupambana mpaka tone la mwisho wa damu...lkn kwa Hali ninayoiona huu mwaka ni wetu tuombe tu mungu...vijana wanajituma tuwe nyuma yao Hawa wapinzani wataongea tu Ila sisi tuongee uwanjanii...huku kwenye forum ikiwezakana hata tuwatukane ili mradi ya kwetu yaende
Sent from my CAG-L22 using JamiiForums mobile app
Ndio hivyo yaani Kama una jua Dua ya kuomba mtu avunjike mguu tuombe tu,,,maana Amin nalokwambia tunachukiwa kupita maelezo na wapinzani!! Hivyo na sisi tusilegeeeyeah ni kweli ni wetu ila sio kwepesi... pressure inapanda na kushuka huyu pep sio wa mchezo mchezo. Ila tutabanana nae mpaka ubingwani May.
Sent using Jamii Forums mobile app
Alifanikiwa under 23 au katoka team gani?
Hata Solanke alikuwa anajua na alitoka Chelsea Klopp kampiga beiAlisainiwa kutoka Chelsea Huyu U18 then akawa promoted kwenye U23 dogo anajua mwaka jana alisaini mkataba wa miaka 5
2017 alikuwa mfungaji bora wa U17 FIFA World Cup + kushinda kombe
Bweister ni world class player ?Liverpool ya sasa inayotaka kubackup the lost glory of of europe crown. Haitakiw tena kukeep average player like Solanke, Moreno.
Tunahitaji players wenye uwezo wa kubadili matokeo, world class players like salah, Mane etc.
Habari za Manchester utd zinatolewa na mashabiki wa livapuli.