Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

hiyo timu unayoizungumzia hapo we umeifunga ngapi msimu huu??

Nilikutana nao wakiwa bado wanajielewa, sasa hivi wameharibikiwa.

Ni opposite na ninyi, tulipokutana mlikuwa mna hali mbaya, ndiyo maana huwezi nikuta najipa matumaini ya kukufunga sasa hivi kisa tu nilikufunga mara ya mwisho tulipokutana, mmebadilika sana.
 
Nilikutana nao wakiwa bado wanajielewa, sasa hivi wameharibikiwa.

Ni opposite na ninyi, tulipokutana mlikuwa mna hali mbaya, ndiyo maana huwezi nikuta najipa matumaini ya kukufunga sasa hivi kisa tu nilikufunga mara ya mwisho tulipokutana, mmebadilika sana.
shabiki wa mpira
 
Kwa akili yako unadhani rashidi atafunga goli mbele ya Van dijk? Endeleeni kuota na kulishana matango pori na huyo mmasai wenu


Sent using Jamii Forums mobile app

Kwa yule beki wako anayeweka karikiti kwann asifunge, amefunga Maguire na Antinio itakua fundi Rashy?

Jiandae kisaikolojia tu kuchezea goli zako 2 safi kabisa


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mnacheza Uefa. Nawajulisha ni Uefa mnacheza. Hamchezi na Singida United bali ni Bayern Munchen ya Ujeruman. Ni bora mngekua mnacheza na Lincolin City au hata angalau Fulham au cardiff city. Nimewaambia mapema ili yakitokea yakutokea tusilaumiane
 
Leo hata kwa Tungulism ni lazima tuwafunge tu hawa Wanazi wajukuu wa Hitler
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom