interlacustrineregion
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 7,134
- 7,410
Mwana Liverpool bora kabisa kuwahi kutokea.Jamani tumeanza vizuri sana
Tuzidi shikamana tupate matokeo mazuri
Sent from my iPhone using JamiiForums
Wewe unataka nyumbu afumuliwe kisa kakufumua wewe..?? Liverpool hii ina draw na westham itaweza kweli kumfumua uyo nyumbu? Embu wacha chuki binafsi bwana ..wewe ni mteja wa Man united tu ..hata gemu yenu ya pili atakupiga tu. Huna pa kutokea..Hahaa, naona msimu huu ubingwa umewapenda, ila ombi langu moja,
Nipigieni nyumbu, wanakelele sana, mpira hana anavizia vizia counter attack ,wakati ile timu bado,
Ubingwa unahitaji na bahati. ,na bahati naona inawadondokea, kazi kwenu,
Mimi city naenda kutafuta sare, tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Klop kawapa kikosi chenu pendwa bado mnalialia ooooh Lalana ulitaka mcheze nyinyi..... mkubali kuwa timu yenu nzima kuanzia wachezaji hadi mashabiki uwezo wenu mdogo tena saana. mkija OT mtakuwa mnaota sio ubingwa tena Bali Jinamizi[emoji48]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwelii naona imekuwa tamu sanaaa..Hii game tamu sana Wallahi
Bado mjawapiga tu ..Hawa tywapige la pili ili watulie
Shaqir alipopata goli za mbabatizo zile mbili against united wakafikir bonge la usajili toka buyern to inter kuna timu hapa ilishuka daraja then stoke city kwamba hawakuwa wakimuona? Ghafla liverpool.Mkuu uyo Salah na Shaqir Mara ya mwisho kufunga ni lini vile..??
Jana Klopp aliwapumzisha nini.!
Sent using Jamii Forums mobile app
Na mpka apone mtakuwa nafasi ya tatu au nne uko..Since aumie gomez tumeshaconcede magoli mengi sana
Huwezi kumiliki wachezaji wanao lingana viwango huwezi muita bonge la mchezaji ila kwa hakiba ni mzuri mess anakosa itakua huyo ambae hna hata dakika 120 uwanjani msimu mzima?katika vitu nnavyo pinga kocha ndo hivi unakua na wachezaji 5 benchi hafu huwatumii hata kwenye matokeo mazuri unasubiri siku za shida mchezaji huyo unamtegemeaje?Kuna watu wanamuona bonge la mchezaji huyo kisa tu aligaiwa goli la mdondo na kipa wa Everton
Hahahahah mnashinda njaa au mnashinda nini..Tunashinda wakuu kuweni wapole
I know nje ya uwanja mnashinda hata jana mlishinda kabla ya game lakini baadae wote tunajua. karibu pale kuna points 3, 1 & 0 uwezo wako ukijitahidi saana utapata 0 tuOT tunakuja kufanya yetu, tutunzieni hizo point 3.
Bingwa la kufeli Dakika za mwisho ..Isijekuwa hule mzimu wa Klopp kufeli mwishoni bado unamuandama!!!
Hahahaa mze baba una anza kujikataa mapema hivi hahahaKwanza nafuta kwa Muda hile kauli yangu ya kuwa LIVERPOOL NI BINGWA WA EPL 2018/2019 coz naona hali si shwari
Liverpool HALISI katika ubora wako.Points 5 ahead sio mbaya japo ingefaa tuchukue zote tatu tuwe na points 7 ahead!
Lkn soka ndiyo ilivyo,hii imeisha tunajiandaa sasa na WHU
Tumepata sare pamoja Liverpool halisi tuache kuanza kulaumiana,hiyo tuwaachie Liverpool feki
Sent from my iPhone using JamiiForums
You Will Never Win Anything.YNWA
I know nje ya uwanja mnashinda hata jana mlishinda kabla ya game lakini baadae wote tunajua. karibu pale kuna points 3, 1 & 0 uwezo wako ukijitahidi saana utapata 0 tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Achana na Chelsea ..wewe ukikosa ubingwa msimu huu acha kushabikia mpira kabisa, maana utajakufa kwa kugongwa na gari au presha.Yani wazee mnavyolalama ni kana kwamba ligi imeisha na tushashindwa. Sijui siku tukipoteza mechi patakuaje hapa asee? You have to know kwamba si kila mechi unashinda. Learn that. Man city kadrop points tena 3 dhidi ya NEWCASTLE. Man kadrop points kwa burnley. Chelsea the same. Liver ni timu ya Mungu ama mpaka isipoteze??
Sent using Jamii Forums mobile app