Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Inauma sana kiukwel kikombe tunakipoteza hivihv kulikuwa kuna haja gan ya kumuuza clyne ilihal hatufanyi usajil wa mbadala wake na uhakika game ya united kama tutapata n point 1 tumebaki kusubir timu nyngne situsaidie kumtuliza city wakat ss wenyewe hatuonesh jtihada yeyote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
painful to watch... this game.. less than 15 mins away.
FB_IMG_1549299737900.jpg
 
Klopp atarudi na vijana Melwood tutajipanga mechi ijayo nyumbani!
Mwenzetu alishindwa pata hata sare hiyo ugenini kwa Newcastle!
 
FB_IMG_1549299777920.jpg
kuna habari gani???
Firmino anapoteza sana sana sana mipira.
Angalau hili Lallana limetoka
Disappointed tukikosa points 3 hapa
But life goes on
Firmino nje 😀😀
Bonge la soccer management
Nalala zangu mie yaani timu inataka ubigwa lakini haina hata winning mentality, mtanijuza kesho yatayojiri.
Majeruhi yametuathiri sana hasa Gomez na Wilj
Firmino wako kafanya nn humo dakika zote hizo kacheza?
Klopp anajua zaidi yako
Inauma sana kiukwel kikombe tunakipoteza hivihv kulikuwa kuna haja gan ya kumuuza clyne ilihal hatufanyi usajil wa mbadala wake na uhakika game ya united kama tutapata n point 1 tumebaki kusubir timu nyngne situsaidie kumtuliza city wakat ss wenyewe hatuonesh jtihada yeyote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inauma sana kiukwel kikombe tunakipoteza hivihv kulikuwa kuna haja gan ya kumuuza clyne ilihal hatufanyi usajil wa mbadala wake na uhakika game ya united kama tutapata n point 1 tumebaki kusubir timu nyngne situsaidie kumtuliza city wakat ss wenyewe hatuonesh jtihada yeyote

Sent using Jamii Forums mobile app
Huo uhakika wako wa point moja kwa United,labda Newcastle sio MUFC
 
Kama mlikua amjui sikh Conte alipofungwa zidi ya Man Utd akalia uwanjani sasa subilini nakwambieni ubingwa amuchukui kwa sababu punz amuna na mnatumia nguvu nyingi polenu sana sasa bado point 2 Man City akukamate
Screenshot_20190205-005107.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom