Stephen M
JF-Expert Member
- Sep 18, 2016
- 372
- 379
Waache Mkuu wamevurugwaView attachment 1013769ignore me mkuu kwanini uteseke?
Sent using Jamii Forums mobile app
Waache Mkuu wamevurugwaView attachment 1013769ignore me mkuu kwanini uteseke?
Big up man unatisha MkuuHamna haja ya kupanic
Sare hizi mbili sio nzuri LKN bado tuna nafasi ya kujisahihisha kwa Bournemouth Jumamosi!
Bado tupo pazuri !
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kwani nani anapinga? ukweli mtupunmekuwa shabiki wa Liverpool miaka mingi sana.
niaminini, Liver hachukui kitu msimu huu.
nlisema hv 2009, na 2013.
narudia tena ile You'll Never Win Anything inaendelea.
ila kheri, Liverpool Till I Die.
Sent using Jamii Forums mobile app
Angalia Mkuu Jana pia ilikua must win ukashindwa Man Utd ni level nyingine utakua disappointed tuGame ya Man U ni crucial sana kwetu. Lazima tumchinjie pale pale kwake kwa hali yoyote.
Ni kweli Man United ni level nyingine. Ndio maana wapo nafasi za mashenzini huko na Liverpool ipo namba moja.Angalia Mkuu Jana pia ilikua must win ukashindwa Man Utd ni level nyingine utakua disappointed tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ok muda ni hakimu.Ni kweli Man United ni level nyingine. Ndio maana wapo nafasi za mashenzini huko na Liverpool ipo namba moja.
Man United ni level nyingine ya chini chini huko.
Hukulijua hilo mwanzoni chief?
same to Leicester na Westham wapo level nyingine kabisaNi kweli Man United ni level nyingine. Ndio maana wapo nafasi za mashenzini huko na Liverpool ipo namba moja.
Man United ni level nyingine ya chini chini huko.
Acha shobo chief nilishakuambia usini quote wala sikufahamu naona unaleta ubolizuzu.same to Leicester na Westham wapo level nyingine kabisa
Wanaoongoza kwa kupiga ramli kwenye hili jukwaa ni mashabiki wa Liverpool..!Naweka akiba ya maneno.
Wale wapiga ramli ambao walitusumbua sana mwanzoni mwa msimu mpaka kufikia katikati, sasa wamerejea kwa kasi ya 4G.
kama hutaki nikukot nilikuambia uni_ignore, me pia sikufahamu vile vile....kiukweli napenda kushobokea nipo ivo yanAcha shobo chief nilishakuambia usini quote wala sikufahamu naona unaleta ubolizuzu.
Nyie ndio mamluki mnadandiaga team za watu. Ulikuwa wapi siku zote?
Come on man kuna utani na bullying/harassment. Kwanini umeni target mimi mda wote?kama hutaki nikukot nilikuambia uni_ignore, me pia sikufahamu vile vile....kiukweli napenda kushobokea nipo ivo yan
hii komenti yako inaonesha wazi kabisa kuwa wewe si mtu wa mpira....umejisahaulisha kabisa hujui kama utani ni sehemu ya mpira wenzio mbona wanatembea ktk nyuzi za timu nyingine kuwatoa mapovu kwa timu zilizofanya vibaya.
REMEMBER PAL #YNWA
Kabisa yaniImefika mahala liverpool hawawezi hata kufanya rotation ya baadhi ya wachezaji ....wamechoka pia wale..droo zikizidi kinachofuata ni kufungwa
una uhakika kwa hili ulilosema hapo??Come on man kuna utani na bullying/harassment. Kwanini umeni target mimi mda wote?
Chief...Acha shobo chief nilishakuambia usini quote wala sikufahamu naona unaleta ubolizuzu.
Nyie ndio mamluki mnadandiaga team za watu. Ulikuwa wapi siku zote?
Mzee umekomaa ujue mpira wa miguu ni pamoja na magoli ya utata ule ubishani huongeza chachu ya mpira mbona hata chelsea hazard ni bingwa wa kujirusha alidive hadi waligombana na mourinho kipind kocha wakeDuuuh linesman hawako serious
Utabadili hii kauli
Laiti ungekua na subra.... Allah angekufanyia wepesi