Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Tuchukue hii hela aisee
 

Attachments

  • FB_IMG_1788076648278.jpg
    FB_IMG_1788076648278.jpg
    135.5 KB · Views: 7
Hii timu bora iuzwe tu,inatia hasira.Yani timu imepanga daraja inakusumbua
Kwa kumbukumbu zangu huyu kocha Glasner tangu yupo Crystal Palace katuhenyesha sana kuanzia kwa Klopp, Slot na sasa Andoni.
Pia mismimu miwili mfululizo Hawa N Forest pale Anfield wanatoka na pointi 3 hivyo sio mechi rahisi sanaa na ukizingatia pale kati(DM) bado hapana jawabu la kudumu.

YNWA
 
Kwa kumbukumbu zangu huyu kocha Glasner tangu yupo Crystal Palace katuhenyesha sana kuanzia kwa Klopp, Slot na sasa Andoni.
Pia mismimu miwili mfululizo Hawa N Forest pale Anfield wanatoka na pointi 3 hivyo sio mechi rahisi sanaa na ukizingatia pale kati(DM) bado hapana jawabu la kudumu.

YNWA
Arsenal tuwauzie Skelly mumuachie dimba
 
Msimu huu ni wa Kocha kutengeneza Mfumo hata tusishinde chochote sijaona tatizo ila tu lazima kocha aoneshe Identity ya mfumo anaofundisha.
 
🔥🔥🔥🔥💯💯 moto sanaaa.
1000469806.jpg

The French contingent is here to rule the opponents.....
Watch this space fire 🚀 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥

YNWA
 
Dirisha lishafungwo now back to the real business......
Msimu huu Sina mategemeo makubwa sanaa na kikosi kilichopo kwa kua maeneo muhimu bado hajawagusa kama vile beki wa kushoto na beki wa kulia maana Flipmong na Kerkez hawajakua hata na output theluthi ya Trent na prime Robbo....pia nilitegemea kuona tukisajili DM kama Kone , Ederson nk ili kumpa nafasi Ryan kucheza namba yake pendwa 8... Klabu imeona hakuna haja ingawa wote ni mashihdi kwamba Ryan kuna wakati anazidiwa na kua by passed....
Pale mbele upande wa Salah haujawa addressed ipasavyo huku wakijua vyema magoli mengi ya kwetu hutokea upande ule.
Sina hakika namna Gani kocha amejipanga kuhakikisha tunakua washindani na sio wasidikizaji...

Muda utasema majibu ya usajili hua ni uwanjani....

Sijapenda huu mfumo wa sasa wa kusajili finished players kama Isak, Florian, Barcola., yaani tumekua kama Real Madrid sasa . I wish turejee Kule kwa kuona vipaji ambazo sio polished kama tulivyo vile akina Gini, Mane, Salah, Fabiinho, na all time best purchase Robbo.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom