Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

kabisa Mkuu leo bana ni ngumu kuelewa ni kama raudi ya kwanza Carabao sio EPL,

bora City angeshinda jana pengine wangejituma kubakisha gepu ya nne kuliko hii perfomance ya leo nyumbani...

kwa timu tunayotaka ubingwa baada ya kuukosa 29yrs hatuwezi kucheza hivi guys...

Na ukumbuke hatuko kwenye hayo mashindano ya EFL na FA, ungetegemea tuwe tumepumzika vya kutosha.
 
Our team selection, our substitutions today did not reflect of a team wanting it.

If we keep it this way, we will soon create a big pressure to ourselves.

I hope everything goes well in our left games. Otherwise we will kiss our asses.
klopp need to look at himself in da mirror if damn he s ready to steer us thro winning til May n get th trophy maana kwa leo am still in dismay what really were this guys doing campin Dubai....

In Epl chance kama za leo comes nadra so wen u have th chance seize t usisubiri nyingine period..
 
Nimeogopa sana kuona timu inayotaka kuchukua ubingwa inacheza mpira wa kuvizia. Na tatizo lenu Kokoliko mnaongea sana halafu mnashindwa kujiongeza kwa kutokutumia hesabu za kimpira tofauti ya gape la point kati ya nyie, Man City na Spurs ni ndogo sana ukilinganisha na mechi zilizobaki. Historia bado inawahukumu, Kokoliko tunawajua huwa mnaanza kwa mbwembwe, ila mwishoni mnapoteza. Siku zote EPL huwa ikifika kipindi kama hichi, timu zote zinakuwa mbogo, tunawaonya next game mna kazi ya kufanya, ligi ndio kwanza kama imeanza!
 
Na ukumbuke hatuko kwenye hayo mashindano ya EFL na FA, ungetegemea tuwe tumepumzika vya kutosha.
ndio hapo sasa Mkuu siku za kutosha, fresh legs at home pia aafu unatoa draw like serious...

Klopp shold take th blame nothin less.

yaaaaani RB Henderson lol

kona za hovyo

mipira ya adhabu hovyo

ubingwa kama ndio tutakwenda hivi tutauona kwenye runinga
 
Nimeogopa sana kuona timu inayotaka kuchukua ubingwa inacheza mpira wa kuvizia. Na tatizo lenu Kokoliko mnaongea sana halafu mnashindwa kujiongeza kwa kutokutumia hesabu za kimpira tofauti ya gape la point kati ya nyie, Man City na Spurs ni ndogo sana ukilinganisha na mechi zilizobaki. Historia bado inawahukumu, Kokoliko tunawajua huwa mnaanza kwa mbwembwe, ila mwishoni mnapoteza. Siku zote EPL huwa ikifika kipindi kama hichi, timu zote zinakuwa mbogo, tunawaonya next game mna kazi ya kufanya, ligi ndio kwanza kama imeanza!
inaanza tukiwa na pointi tano kileleni sio haba...
 
Nimeogopa sana kuona timu inayotaka kuchukua ubingwa inacheza mpira wa kuvizia. Na tatizo lenu Kokoliko mnaongea sana halafu mnashindwa kujiongeza kwa kutokutumia hesabu za kimpira tofauti ya gape la point kati ya nyie, Man City na Spurs ni ndogo sana ukilinganisha na mechi zilizobaki. Historia bado inawahukumu, Kokoliko tunawajua huwa mnaanza kwa mbwembwe, ila mwishoni mnapoteza. Siku zote EPL huwa ikifika kipindi kama hichi, timu zote zinakuwa mbogo, tunawaonya next game mna kazi ya kufanya, ligi ndio kwanza kama imeanza!
Wewe ni mshabiki wa timu gani?
 
Southern Highland, Kimaro, Chuga n.k popote mlipo nawapa pole sana maana sio kipigo kile.

kama vile Futuhi inawahitaji msimu ujao..

Babu Sarri apunguze jeuri kwa Hazard mara sio kiongozi mara akitaka kuodoka aodoke, huyu Babu ishu ya Conte na Costa ingemfundisha jambo.
 
ndio hapo sasa Mkuu siku za kutosha, fresh legs at home pia aafu unatoa draw like serious...

Klopp shold take th blame nothin less.

yaaaaani RB Henderson lol

kona za hovyo

mipira ya adhabu hovyo

ubingwa kama ndio tutakwenda hivi tutauona kwenye runinga

Clyne kule Bournemouth kafanya kazi kubwa sana kuwadhibiti akina Hazard...
 
Liverpool kinachowagharimu naona ni presha tu ya kua pale juu na city akiwachungulia matakoni ila mkitulia tu na mkacheza bila kujipa presha na kuenjoy the game mtapata results...punguzeni presha enjoy your game
 
Nimeogopa sana kuona timu inayotaka kuchukua ubingwa inacheza mpira wa kuvizia. Na tatizo lenu Kokoliko mnaongea sana halafu mnashindwa kujiongeza kwa kutokutumia hesabu za kimpira tofauti ya gape la point kati ya nyie, Man City na Spurs ni ndogo sana ukilinganisha na mechi zilizobaki. Historia bado inawahukumu, Kokoliko tunawajua huwa mnaanza kwa mbwembwe, ila mwishoni mnapoteza. Siku zote EPL huwa ikifika kipindi kama hichi, timu zote zinakuwa mbogo, tunawaonya next game mna kazi ya kufanya, ligi ndio kwanza kama imeanza!
kumbe you are still alive?tungeshinda na leo nadhani kifua chako kingepasuka kwa kushindwa kuhimili kuhifadhi haya maneno uliyoyasema, kweli mungu hamtupi mja wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom