Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Points 5 ahead sio mbaya japo ingefaa tuchukue zote tatu tuwe na points 7 ahead!
Lkn soka ndiyo ilivyo,hii imeisha tunajiandaa sasa na WHU
Tumepata sare pamoja Liverpool halisi tuache kuanza kulaumiana,hiyo tuwaachie Liverpool feki


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mjerumani kwenye ubora wake...

Pep angeshatia mibeki miwili ndani kwa injuries hizi

lets go on tugange yajayo.
1 point better than lose all.

Sent using Jamii Forums mobile app
kabisa hii game unless Fabi anaumwo alitakiwa aanze..

Foxes wamekuja na game plan na wameiteleza vyema kabisa...

Next Westham kwao kazi ipo guys otherwise ponti 5 sio haba..
 
Kwanza nafuta kwa Muda hile kauli yangu ya kuwa LIVERPOOL NI BINGWA WA EPL 2018/2019 coz naona hali si shwari
na si shwari kabisa we are damn lucky hata hii pointi moja leo...

kuumia Trent ni janga maana upande wa kulia leo kumepwaya mbaya...

Ubingwa unazidi kutuweka presha juu...

chance lost leo kuwa juu pointi 7 muhimu sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom