Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mkuu kwanza Naomba utofautishe Kuponda na Kukosoa.

Then utafahamu kuwa hatupondi Bali tunakosoa..

Asiyetaka kukosolewa ni Jiwe pekee.

Turudi kwenye Mada.

  • Hivi mwenye wajibu wa kusimamia wachezaji na kujua udhaifu wao ni nani Kocha? Magazeti?
  • Sasa kama Mido yetu ni mbovu Je tukamlaumu Raisi Magufuli?
  • Sasa unatushangaa nini Kumlaumu Klopp wakati yeye ndiye responsible wa Performance ya timu?
  • Kama Mido ni Mbovu basi yeye kama Kocha atafute iliyo nzima kwani ndiyo Jukumu lake.
Poleni mkuu,nafikiria mngepata zile midfielder zetu hapa Herrera,Matic pembeni Pogba,msingekamatika. Akina Mane wangekula na kusaza.
 
To put records clear on games that we defeated Man City:-

EPL: 4 - 3 home, Mid had E Can, Ox Chamberlain and Gini.

UEFA CL: 3 - 0 home, Mid had Henderson, Milner and Ox Chamberlain.

UEFA CL: 2 - 1 away, Mid had Ox Chamberlain, Milner and Gini.

With that being clear, you can easily tell that it was Chamberlain's heroics which won us all three games, especially the first two games.

So, for me, that Mid of Gini, Hendo and Milner shouldn't be discussed for tomorrow's game man.

I had go for Fabinho, Gini and Shaqir or Gini, Fabinho and Hendo.

If Milner is fit for tomorrow, will feature for RB.

That is my case.

We lost the battle, not war.

Less keep grinding, take an 'L' as a lesson.

This is our best year if we learn from the loss and move forward.
 
Lovren anachelewa sana kureact na anajisahau muda mwng...yy ndo alikua anamkabia TAA lkn mipira iliyokua inapigwa kutokea ule upande VVD ndo alikua anaiokoa ad anafoka...

Goli la kwanza kachelewa kushtuka kua ana foward nyuma yake...goli la pili TAA hayupo lkn badala yy atanuke kulia coz bado kulikua na kiungo ambaye angekuja kuziba nafac yake cha ajab yeye akakatalia kat...


All in all mejitahid, bado mpo kwenye race ya ubingwa, iwapo klopp ataacha kuwakumbatia waingereza, pale kati

Sent using Jamii Forums mobile app
Tunashukuru umelitambua hili hata ww mshabik wa Arsenal


Sent using Jamii Forums mobile app
 
ukitaka kujua kuwa liverpool ni kama vile inawakosesha watu amani angalia jinsi mashabiki wa timu nyingine walivyokuwa pamoja kushabikia kufungwa kwetu yani utadhani tumecheza na ass-anal,chel-shit na manure kwa wakati m1

Sent using Jamii Forums mobile app
Siku zote nanyi mlikuwa wamoja kuwaombea wengine wafungwe ili muendelee kuwa juu na mmetutukana sana kwa matokeo mabovu tulokuwa tunapata. Tuna furaha kubwa kuona kuwa nanyi mwaumia. Ni nyinyi mlishangilia sana kufungwa kwa man city,arsenal, man na sare ya chelsea. Yako wapi sasa!!!!!.
Tulieni na huo ni mwanzo tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lazima kila mtu apitie shida.
tapatalk_1541737268465.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe huwezi kupoteza?
Next 5 games lfc

Brighton A
Crystal H
Leicester H
Westham A
Bournemouth H


Next 5 games man city

Wolves H
Huddersfield A
Newcastle A
Arsenal H
Chelsea A


Kama tukizichanga karata zetu vizuri bila tatizo tunaweka gape zuri kabisa lingine

City kuna 3 games anapoteza hapo clearly

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiona tumeshakua Topic of their discussions na wakati mwenendo sio mbaya mpaka sasa basi jua tu kua mioyoni wameshatambua kwamba we are a Big Threat kwa wote katika hizi mbio za ubingwa ila tu wanashindwa kukubali hadharani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom