Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

we jamaa kwa uongo huu sidhani kama utaenda mbinguni yani watu tupo kwenye jukwaa letu kama kawa halafu unasema tumetoka nduki nafikiri aliyetoka nduki ni yule swahiba wako ambaye bado hatujamwelewa kama kweli ni mwenzetu

Sent using Jamii Forums mobile app

Yule ni Mshabiki mwenziwe wana timu yao inaitwa Arsenapool
 
Kwa Mara ya kwanza Natamka Bila ya Woga wowote nikiwa Ninajiamini kuwa "LIVERPOOL FC NDIYE BINGWA WA EPL 2018/2019"


ASIEAMINI ATUNZE HII COMMENT KWA AJILI YA REFERENCE
hili Mkuu linafahamika jana ni kuteleza sio kuanguka, hivyo bado tunayo nafasi kabisa ya kutwaa ubingwa...

wanaobisha wajifanye wanajikuna😎😎😎😎😁😁😁
 
nimeshindwa kuelewa mwanini Klopp kamtoa kwa mkopo Clyne.I can say this is wrong and shocking decision. i doubt if we will lift the cup this season.

I think it's a bad decision. Trent loses possession quite often lately. Miss placed several passes last night in promising positions.

I don't want to see Gomes playing right back he is part of the best centre back in the league and should always play ahead of lovren. Fabinho will be wasted at right back as he should start ahead of henderson.

We have just weakened our squad for the most important part of the season.

This will come back to bite us as he should start ahead of Trent. One of our biggest weakness is our set pieces.

Milner delivery is poor. Trent doesn't miss the first man on corners. Bad decision and not just because of last night. I would love klopp to go and get fekir. I think one top class signing will kick us on to the title just like when we bought virgil.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sisi liverpool tunataka tushike nafasi ya pili au ya tatu inatutosha
nimeshindwa kuelewa mwanini Klopp kamtoa kwa mkopo Clyne.I can say this is wrong and shocking decision. i doubt if we will lift the cup this season.

I think it's a bad decision. Trent loses possession quite often lately. Miss placed several passes last night in promising positions.

I don't want to see Gomes playing right back he is part of the best centre back in the league and should always play ahead of lovren. Fabinho will be wasted at right back as he should start ahead of henderson.

We have just weakened our squad for the most important part of the season.

This will come back to bite us as he should start ahead of Trent. One of our biggest weakness is our set pieces.

Milner delivery is poor. Trent doesn't miss the first man on corners. Bad decision and not just because of last night. I would love klopp to go and get fekir. I think one top class signing will kick us on to the title just like when we bought virgil.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nimeshindwa kuelewa mwanini Klopp kamtoa kwa mkopo Clyne.I can say this is wrong and shocking decision. i doubt if we will lift the cup this season.

I think it's a bad decision. Trent loses possession quite often lately. Miss placed several passes last night in promising positions.

I don't want to see Gomes playing right back he is part of the best centre back in the league and should always play ahead of lovren. Fabinho will be wasted at right back as he should start ahead of henderson.

We have just weakened our squad for the most important part of the season.

This will come back to bite us as he should start ahead of Trent. One of our biggest weakness is our set pieces.

Milner delivery is poor. Trent doesn't miss the first man on corners. Bad decision and not just because of last night. I would love klopp to go and get fekir. I think one top class signing will kick us on to the title just like when we bought virgil.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kuna muda vinafanyika vitu vya ajabu sana mpaka unaishia kusikitika tu.

Of all people, didn't expected Clyne to be the one, we still have Matip and Gomez on the sideline. BTW, what do I know?
 
hili Mkuu linafahamika jana ni kuteleza sio kuanguka, hivyo bado tunayo nafasi kabisa ya kutwaa ubingwa...

wanaobisha wajifanye wanajikuna😎😎😎😎😁😁😁

Wanachoshangilia Opponents wetu hapa si sisi kukosa Ubingwa!

Bali wanashangiria sisi kufungwa tu ili tusiwe Unbeaten.

Lakini Kuhusu ubingwa wanajua wazi kuwa hakuna wakutuchallenge

Mkuu trust me! Tutaendelea hivihivi kuongoza Ligi mpaka mwisho wa Msimu na kubeba ubingwa kabisa.
 
nimeshindwa kuelewa mwanini Klopp kamtoa kwa mkopo Clyne.I can say this is wrong and shocking decision. i doubt if we will lift the cup this season.

I think it's a bad decision. Trent loses possession quite often lately. Miss placed several passes last night in promising positions.

I don't want to see Gomes playing right back he is part of the best centre back in the league and should always play ahead of lovren. Fabinho will be wasted at right back as he should start ahead of henderson.

We have just weakened our squad for the most important part of the season.

This will come back to bite us as he should start ahead of Trent. One of our biggest weakness is our set pieces.

Milner delivery is poor. Trent doesn't miss the first man on corners. Bad decision and not just because of last night. I would love klopp to go and get fekir. I think one top class signing will kick us on to the title just like when we bought virgil.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mimi wasiwasi wangu ni mmoja tu!
Kuwa Klopp kamtoa Clyne ili kuwahakikishia nafasi Milner na Henderson.
Hapo huenda Klopp Akamchezesha Milner Right back na Henderson akawa hana Mpinzani katikakati.
We are dying slowly

Lakini kwa Upande mwengine wa shilingi nimefurahi kutolewa kwake!

Mkuu tumeshachoka mateso ya Wachezaji kama hao.

Tumekuwa nao sasa kwa zaido ya miaka 5 na hawajatupa chochote! Niwazi kuwa Wameshashindwa sasa kuwapa tena muda kwa kuamini eti wataleta mafanikio ni kituko mkuu.

Mkuu hao wameshashindwa! Sasa ni wakati wa Kwatoa Failures na kuingiza New Face bazo ni talented ili kupambana.
 
Mimi wasiwasi qangu ni mmoja tu!
Kuwa Klopp kamtoa Clyne ili kuwahakikishia nafasi Milner na Henderson.
Hapo huenda Klopp Akamchezesha Milner Right back na Henderson akawa hana Mpinzani katikakati.
We are dying slowly

Lakini kwa Upande mwengine wa shilingi nimefurahi kutolewa kwake!

Mkuu tumeshachoka mateso ya Wachezaji kama hao.

Tumekuwa nao sasa kwa zaido ya miaka 5 na hawajatupa chochote! Niwazi kuwa Wameshashindwa sasa kuwapa tena muda kwa kuamini eti wataleta mafanikio ni kituko mkuu.

Mkuu hao wameshashindwa! Sasa ni wakati wa Kwatoa Failures na kuingiza New Face bazo ni talented ili kupambana.
But again do you think this is right time to send someone like Clyne on loan?

We have to remember we are still live in 3 competitions eg: FA, UCL and EPL.

You can not use the same players (first XI) in all competitions. again we need to know May is very far....before may there is Jan, Feb,March,April so there are alot of things to face kwa mfano kuna injuries, suspensions etc.

so kwasasa Klopp alitakiwa asitoe mchezaji hata mmoja ila angefanya mpango wa kurudisha walio kua kwenye loan kama akina Harry Wilson au kusajili akina fekir.

maana hata kama lovren mbovu vipi lakini utakiwi kumtoa kwa loan on this window.

I real very disappointed with rhus decision kwa kweli!

YNWA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
But again do you think this is right time to send someone like Clyne on loan?

We have to remember we are still live in 3 competitions eg: FA, UCL and EPL.

You can not use the same players (first XI) in all competitions. again we need to know May is very far....before may there is Jan, Feb,March,April so there are alot of things to face kwa mfano kuna injuries, suspensions etc.

so kwasasa Klopp alitakiwa asitoe mchezaji hata mmoja ila angefanya mpango wa kurudisha walio kua kwenye loan kama akina Harry Wilson au kusajili akina fekir.

maana hata kama lovren mbovu vipi lakini utakiwi kumtoa kwa loan on this window.

I real very disappointed with rhus decision kwa kweli!

YNWA

Sent using Jamii Forums mobile app

In case of the right to offload player nahisi upo sawa! It is not the right time to sent him out on loan.

Hii January ni Wachezaji kama Solanke na Origi unaweza kuwarelease!

But for Moreno, Clyne and Lallana Klopp should wait till the summer to let them permanently.
 
But again do you think this is right time to send someone like Clyne on loan?

We have to remember we are still live in 3 competitions eg: FA, UCL and EPL.

You can not use the same players (first XI) in all competitions. again we need to know May is very far....before may there is Jan, Feb,March,April so there are alot of things to face kwa mfano kuna injuries, suspensions etc.

so kwasasa Klopp alitakiwa asitoe mchezaji hata mmoja ila angefanya mpango wa kurudisha walio kua kwenye loan kama akina Harry Wilson au kusajili akina fekir.

maana hata kama lovren mbovu vipi lakini utakiwi kumtoa kwa loan on this window.

I real very disappointed with rhus decision kwa kweli!

YNWA

Sent using Jamii Forums mobile app
Last season mlimuuza Coutinho January lilikuwa kosa na msimu huu Clyne anaondoka January good decision but wrong timing , kumbuka Rob,TAA,VVD hawa tangu msimu uliopita wanacheza mfululizo while Gomez,Matip wanajulikana ni spear mkononi lets wait
 
Solanke has already sealed a permanent deal to bournamouth.....
In case of the right to offload player nahisi upo sawa! It is not the right time to sent him out on loan.

Hii January ni Wachezaji kama Solanke na Origi unaweza kuwarelease!

But for Moreno, Clyne and Lallana Klopp should wait till the summer to let them permanently.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Liverpool have confirmed Dominic Solanke has joined Bournemouth after they accepted a fee of £19m, which will rise to up to £25m if bonus related targets are met. #LFC are thought to have included a future option on the striker in the deal

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nimeshindwa kuelewa mwanini Klopp kamtoa kwa mkopo Clyne.I can say this is wrong and shocking decision. i doubt if we will lift the cup this season.

I think it's a bad decision. Trent loses possession quite often lately. Miss placed several passes last night in promising positions.

I don't want to see Gomes playing right back he is part of the best centre back in the league and should always play ahead of lovren. Fabinho will be wasted at right back as he should start ahead of henderson.

We have just weakened our squad for the most important part of the season.

This will come back to bite us as he should start ahead of Trent. One of our biggest weakness is our set pieces.

Milner delivery is poor. Trent doesn't miss the first man on corners. Bad decision and not just because of last night. I would love klopp to go and get fekir. I think one top class signing will kick us on to the title just like when we bought virgil.

Sent using Jamii Forums mobile app

Let's wait & see Kops, Wan Bissaka might be our January new signing.
 
Liverpool have confirmed Dominic Solanke has joined Bournemouth after they accepted a fee of £19m, which will rise to up to £25m if bonus related targets are met. #LFC are thought to have included a future option on the striker in the deal

Sent using Jamii Forums mobile app
Samahani Kiongozi hii taarifa ni Official au RUMOURS tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom