Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hili limeshapita! Ila baada ya michezo yetu hii 5 basi tutaongoza ligi kwa Points 10 na ninajiamini kwa hili.

January
√ 12 – Brighton and Hove Albion (A)
√ 19 – Crystal Palace (H)
√ 30 – Leicester City (H)

February
√ 4 – West Ham United (A)
√ 9 – Bournemouth (H)
 
Hili limeshapita! Ila baada ya michezo yetu hii 5 basi tutaongoza ligi kwa Points 10 na ninajiamini kwa hili.

January
√ 12 – Brighton and Hove Albion (A)
√ 19 – Crystal Palace (H)
√ 30 – Leicester City (H)

February
√ 4 – West Ham United (A)
√ 9 – Bournemouth (H)
Mbona unalipitisha haraka kwa tamaduni zetu msiba ni siku 40 ila kwa sasa tumepunguza mpaka Siku 3

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mambo in hivi......city sio wazuri
images%20(1).jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi timu pinzani zinafikaje golini kwenu alafu lawama ni kwa mtu mmoja?
Ni kwa sababu madhala mengi hutokea kwake hapu tuna jumlisha na tunazo koswa pia.

Goli la Man u angalia alivyo enda kukaba ile kroa na jana angalia alivyo aimama na Aguero akijua eneo ni la hatari.
Kwenye vichwa mara nyingi huchelewa kuluka.hakuna binadam asie kosea ila ile kujirudia ndo tunapata mzuri na m baya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom