Ed n Edd nEddy
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 5,345
- 6,078
Ndiyo nimebold kwa hasira baada ya someone from nowhere kuleta habari za Lovren zisizomake sense.
Kuna watu wana roho ngumu za utetezi
Ndiyo nimebold kwa hasira baada ya someone from nowhere kuleta habari za Lovren zisizomake sense.
kabla ya gemu ya jana nilijua angalau wangemzima City lol kumbe tumezimwa sisi....Nakazia tu!
Mido ya GINI - HENDO - MILNER Katu haiwezi kuleta Mafaniki kwenye timu yetu.
Na kwa Beki huyu LOVREN katu hatuwezi kufanikiwa iwapo ataendelea kucheza kwenye kikosi cha kwanza.
Kichwa kimekutwa Etihad, manchester. City sio watu wazuri.
Jamaa mngese sana weweView attachment 985460
Liverpool HALISI hapa nazidi sisitiza utulivu,tupo sawa sana!
Sent from my iPhone using JamiiForums
Arsenal na man united waliwapumbaza ni timu dhaifu mno kumbuka city alichukua point moja kwako chelsea alikutoa efl kisha ukasawazisha dakika za lala salama mech ya lig ilikuwa big test kwenu kukutana na chelsea na city wakiwa timamu means bado mnahitaj watu makini zaidi rudi nyuma ushindi wa spurs mliofungaFERNANDINHO pekee is greater than GINI-HENDO-MILNER combined together.
Huu ni unyanyasaji
Hahahahahahahaaaaaaaa wewe ndio umewatia gundu wenzio yaani mechi ya kwanza na tundu limetobolewa hapo ulipo umewaachia damu tu wenzio....haya tena kina wolves,Burnley nk wataanza kujipigia kiulainii mana bikra tyr huna cha kupoteza![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Arsenal na man united waliwapumbaza ni timu dhaifu mno kumbuka city alichukua point moja kwako chelsea alikutoa efl kisha ukasawazisha dakika za lala salama mech ya lig ilikuwa big test kwenu kukutana na chelsea na city wakiwa timamu means bado mnahitaj watu makini zaidi rudi nyuma ushindi wa spurs mliofunga
*Liverpool's Next Six*
Brighton vs Liverpool
Liverpool vs Crystal Palace
Liverpool vs Leicester
West Ham vs Liverpool
Liverpool vs AfC Bournmouth
Man United vs Liverpool
*Man City's Next Six*
Man City vs Wolves
Hudersfield vs Man City
Newcastle vs Man City
Man City vs Arsenal
Man City vs Chelsea
Everton vs Man City
Goli la kwanza Lovren alizembea ku monitor movement ya Aguero, mwenzake ana move ye kasimama badala yake Ageuro anapokea pass toka kwa Silva na kufunga
Goli la pili pia Lovren alikuwa na chance wa ku move forward na kum block Sterling at that time pongezi ziende kwa Aguero aliyemfosi T.A.A kuingia ndani na kuacha space kwa Sane ambaye alikuwa free na kufunga. All in all Lovren had a chance to block Sterling kabla hajatoa assist kwa Sane.
Wapinzani wetu waliioona hii weakness wakaitumia, kurudi kwa Gomez na Matip kutaondoa hizi unnecessary errors.
YNWA
Comment reserved #54914Mimi bila ya wasiwasi wowote ninaamini kuwa baada ya Michezo hii 6 basi Man City tutamuacha kwa Points 10.
we jamaa kwa uongo huu sidhani kama utaenda mbinguni yani watu tupo kwenye jukwaa letu kama kawa halafu unasema tumetoka nduki nafikiri aliyetoka nduki ni yule swahiba wako ambaye bado hatujamwelewa kama kweli ni mwenzetu