DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
Hahahahahahahaaaaaaaa wewe ndio umewatia gundu wenzio yaani mechi ya kwanza na tundu limetobolewa hapo ulipo umewaachia damu tu wenzio....haya tena kina wolves,Burnley nk wataanza kujipigia kiulainii mana bikra tyr huna cha kupoteza
Na kazi iliisha kiulaiiiiinHiyo ndiyo kawaida yao dakika 20 za mwanzo!
ukiwaweza hapo kuwazuia basi jipange kumaliza kazi kulaini
Dua la kukuHuyu Aguero ni spana mkononi kwahiyo mabeki wamgonge gonge tu miguuni mpira utamshinda
Dakika zao Man City zimeshamalizika sasa wakitufunga ni uzembe wetu
Kwani jana VVD makosa yake ni yapi? maana makosa ya Lovren yako wazi
Acha uzwazwa mkuu kwanini una chuki hivi kuna beki aliyekuwa bora kama cannavaro na nesta na watu walikuwa wanawageuza hakuna beki asiyegeuzwa duniani kama yupo mtajeTunapolalamikia Wachezaji Wabovu Huwa Tunaambiwa Hatujui Kitu!
Hivi Aguero alivyomzunguka Lovren na mpira na kufunga goli kwa Mchezaji kama Gomez anaweza kuzungukwa kweli?
Kwani Uefa wanashiriki wanawake.?Mi nashauri liverpool wenza tukomae na uefa tu Epl tuwaachie wanaume
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani wewe kweli unajua mpira kwa huu uchambuzi maridhawa,yaani jitu linafunga tera kila wakati unampakazia hendoArnold anacheza vizuri kuliko mchezaji yoyote wa Liverpool humu uwanjani
Takriban mipira yote inayokwenda mbele anaipeleka yeye.
Robbo leo anadefend zaidi laikini Arnold hadefend chini sana bali anashambulia na ndiyomana unamuona Sane yupo free
Na asingecheza hivyo kushambulia bali ni kocha mwenyewe ndiye aliyempangia mfumo huo wa kuwa apeleke mashambulizi mbele kuliko kupaki nyuma kumkaba Sane man to man.
kwahiyo kazi ya kumcover TAA anapopanda kushambulia ni ya GINI na HENDO.
Hata Robbo Klopp akimtaka kushambulia basi hatomkaba Sterling man to man na Atapandisha mipira juu
Mukiangalia mpira jamani angalieni na Plan ya game
Wamezoea kubebwa haoUnaijua technologia wewe? Au unadhani ni mbongo ndo kadesign system ile ? Mpira ili uwe goli inabid wote uvuke mstari(100%) vitu vingine tujitajidi kuweka mapenz na timu pembeni na kutegemea facts.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sare ya nini mkuuHii game inatakiwa mpigwe, ila naona kama kuna sare
Ngoja tusubiri, 2nd half ,
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa niliomba wapigwe, ila nilihis kama 2nd half watakuja kutafuta sare