Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Anorld amefanywa ucbochoro na Sane hamsemi

Arnold anacheza vizuri kuliko mchezaji yoyote wa Liverpool humu uwanjani

Takriban mipira yote inayokwenda mbele anaipeleka yeye.

Robbo leo anadefend zaidi laikini Arnold hadefend chini sana bali anashambulia na ndiyomana unamuona Sane yupo free

Na asingecheza hivyo kushambulia bali ni kocha mwenyewe ndiye aliyempangia mfumo huo wa kuwa apeleke mashambulizi mbele kuliko kupaki nyuma kumkaba Sane man to man.

kwahiyo kazi ya kumcover TAA anapopanda kushambulia ni ya GINI na HENDO.

Hata Robbo Klopp akimtaka kushambulia basi hatomkaba Sterling man to man na Atapandisha mipira juu

Mukiangalia mpira jamani angalieni na Plan ya game
 
Tunapolalamikia Wachezaji Wabovu Huwa Tunaambiwa Hatujui Kitu!
Hivi Aguero alivyomzunguka Lovren na mpira na kufunga goli kwa Mchezaji kama Gomez anaweza kuzungukwa kweli?
WW na wenzako mnajua soka kufundisha?
Mmefundisha team gani?
Nyie ni wa kupuuzwa tu
 
hii midfield yetu anaonekana widnajidum pekee

Sent using Jamii Forums mobile app

Asubuhi nilisema mimi Mido ya GINI-HENDO-MILNER haiwezi kudeliver chochote cha maana! Wachambuzi wakaja na hoja ndiyo Mido ya Game Kubwa kama leo.

Mimi sikuwabishia Coz hiyo ni imani yao!

Lakini Narudia Kusema tena "Mido ya GINI - HENDO - MILNER haiwezi kuleta mafanikio ya chochote katika Sayari hii"
 
IMG_4842.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom