Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

beki zisipande kwa dk 20-30 za mwanzo tu.... baada ya hapo City watakuwa wapo frustrated, ndipo sisi tunaanza kanyaga twende.

Na hili ndiyo siku zote ninaloliamini kuwa Man City ukifanikiwa kuwazuia dakika 20 za mwanzo basi hawakufungi tena
 
Kuweni wakweli vijana Hivi huyo TAA anamzidije uwezo kieran Trippier au Cesar Azpilicueta au Luke Shaw au Wan Bissaka

Nataka na napenda kuwa mshabiki wa Soka na sio ushabiki upofu

TAA is far better than all of them
 
Mpira ni dakika 90 ndiyo zitakazoamua!

Lakini nikiwa kama mshabiki wa timu hii ya Liverpool FC basi Ninaamini Tunashinda hii game
 
Sio kwamba majogoo watazembea na nimejaa kichwa kichwa kwa city hapana liverpool ni timu kubwa na naiheshimu sana

Kwa mshabiki yeyote wa mpira ukiacha wa Liverpool ataomba Liverpool ipoteze ili ligi iwe balanced.

Ni sawa na mwaka jana wakati Liverpool anamfunga Man City kwenye EPL, kila mshabiki alishangilia.

Au ile 2004 October wakati mnamfunga Arsenal 2 - 0 kumaliza ile unbeaten run ya Invisibles.
 
Kwa mshabiki yeyote wa mpira ukiacha wa Liverpool ataomba Liverpool ipoteze ili ligi iwe balanced.

Ni sawa na mwaka jana wakati Liverpool anamfunga Man City kwenye EPL, kila mshabiki alishangilia.

Au ile 2004 October wakati mnamfunga Arsenal 2 - 0 kumaliza ile unbeaten run ya Invisibles.
Kabisa mkuu liverpool ni mpinzani wangu namuombea njaaaaaaaaaaaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom