Gini
JF-Expert Member
- Oct 11, 2018
- 398
- 385
Leo zamu yenu kufungwa wakuu mvumilie tu kisha tunamalizia dakika 90 za mpira utoe maajabu.
Mancity mapema kafa, kikosi cha maangamizi, workholics
Haya mkuu pamoja sana ngona tusubir mech
am not surprised with this line up.
Hata tushinde 10 - 0 kwenye kikosi akishakuemo Hendo basi sina imani nacho
Leo ni kumpa kazi kubwa huyu mzee wa watu Milner tu..
Acheze nafasi yake! Acheze nafasi ya Hendo! Mtu mmoja acheze nafasi mbili peke yake?
Mana Hendo ni kuzunguka tu leo uwanjani.
Hata tushinde 10 - 0 kwenye kikosi akishakuemo Hendo basi sina imani nacho
Leo ni kumpa kazi kubwa huyu mzee wa watu Milner tu..
Acheze nafasi yake! Acheze nafasi ya Hendo! Mtu mmoja acheze nafasi mbili peke yake?
Mana Hendo ni kuzunguka tu leo uwanjani.