kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,694
- 20,648
Salah anapoelekea mech kubwa itakuwa mpaka apewe penalty labda, otherwise ataendelea kuzurura tu kama leoTunasikia Salah amegusa mpira Mara 32 tu hahahahaha ..ivi ni kweli au wana mpondea tu???
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi liverpool ndio mabingwa wewe relax wala usipate tabu mkuu.Tumefungwa but nipo very relaxed...
Huwezi kuona maana sina mda wa kubishana na dogo kama wewe ambae hata tofauti ya R na L hujui utaniandikia 'lopolopo' ambayo sijui ni lugha gani, wewe sio level yangu ndio maana hujawahi kuona nikibishana na wewe.You know nothing dogo, ni mdomo mrefu tu ndio shida yako. Get off me wanker.Huo mpira unaoujua wewe ,unaujulia wapi, mm naonaga ww lopolopo tu, jifunze kwa mwenzako King Ngwaba kwa fact na kujibu vzr
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha povu , najua umepanikiHuwezi kuona maana sina mda wa kubishana na dogo kama wewe ambae hata tofauti ya R na L hujui utaniandikia 'lopolopo' ambayo sijui ni lugha gani, wewe sio level yangu ndio maana hujawahi kuona nikibishana na wewe.You know nothing dogo, ni mdomo mrefu tu ndio shida yako. Get off me wanker.
Yeah hata mm nimemkubali sana dogo. Alikuwa akikomota mpira unajua tu kuna chance ya kufunga.Kudos kwa sterling kawatesa sana unspoken hero alikuwa anawakusanya vvd na beki zake makundi makundi anapita katikati yao Robo kupanda kwake atasimulia
Umepaniki. Maana ulishatamba ubingwa lazimaHuwezi kuona maana sina mda wa kubishana na dogo kama wewe ambae hata tofauti ya R na L hujui utaniandikia 'lopolopo' ambayo sijui ni lugha gani, wewe sio level yangu ndio maana hujawahi kuona nikibishana na wewe.You know nothing dogo, ni mdomo mrefu tu ndio shida yako. Get off me wanker.



Hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahah Mkuu umenichekesha sanaHuwezi kuona maana sina mda wa kubishana na dogo kama wewe ambae hata tofauti ya R na L hujui utaniandikia 'lopolopo' ambayo sijui ni lugha gani, wewe sio level yangu ndio maana hujawahi kuona nikibishana na wewe.You know nothing dogo, ni mdomo mrefu tu ndio shida yako. Get off me wanker.
Mancity alikuwa anapoteza muda baada ya kuona liverpool anatami droo. Mwanzo walikuwa wanatka ushindi walipoona ngoma imelala wakapambana kutafuta hata droo nayo ikashindikana.Chelsea shit hawez tufunga tena anfield kufungwa na mancity kusiku brainwash ukaona tunafungika kirahisi leo yenyewe mancity walikuwa wanaomba mpira uishe tena kwa mara ya kwanza naiona mancity inapoteza mda utapigwa kipigo cha mbwa koko anfield wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Ile game ya Leister City na Chelsea walimuweka nani pale kati...?Hi mtu ni hatar, zile game ulizosikia city kala kichapo hapo kati , nyingi hakuwepo
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda ya chelsea ,tena hiyo game ni kama chelsea alimfumania,Ile game ya Leister City na Chelsea walimuweka nani pale kati...?
Sent using Jamii Forums mobile app