21 February
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 3,299
- 2,843
😃😃😃😃Anajifariji ,hajui soon as possible anavutwa had huku kugombea top 4
Sent using Jamii Forums mobile app
😃😃😃😃Anajifariji ,hajui soon as possible anavutwa had huku kugombea top 4
Sent using Jamii Forums mobile app
Is that a joke?PSG twice- no goals, no assists.
Chelsea twice- no goals, no assists.
Napoli twice- one goal, no assists.
Utd once- no goal, no assists.
City twice- no goal, no assists.
Mo Salah, the big game ghost king 🍻
Chelsea shit hawez tufunga tena anfield kufungwa na mancity kusiku brainwash ukaona tunafungika kirahisi leo yenyewe mancity walikuwa wanaomba mpira uishe tena kwa mara ya kwanza naiona mancity inapoteza mda utapigwa kipigo cha mbwa koko anfield weweSisi Chelsea tutakuja apo Anfield kukazia tu ushindi wa Man city...
"Still on top of the table"
Hahahahahahaha
Sent using Jamii Forums mobile app
huyu itamchukua zaidi ya mechi 100 kuja kutufunga maana tangu ahamie Ethad hajawai kutufunga pamoja na hizo sifa zote unazompa....Kudos kwa sterling kawatesa sana unspoken hero alikuwa anawakusanya vvd na beki zake makundi makundi anapita katikati yao Robo kupanda kwake atasimulia
Tunasikia Salah amegusa mpira Mara 32 tu hahahahaha ..ivi ni kweli au wana mpondea tu???
Tunatofautiana kuona ,ulivyoona wewe na Mimi ni tofauti nashukuru nilimuona sterling kwenye live score akinyoosha kundi la mabeki wa liver kama woteWewe umetazama mpira LiveScore bila shaka na si kwenye TV.
Aliosumbua leo Ni Fernandinho na Bernardo Silver
Hahahahaha Shakir leo kapiga on target ngap??Njooni tu mnakaribishwa kwa mikono miwili
Kama sijakunukuu vibaya, umejitoa kujadili midfielders wa Liverpool
Sent using Jamii Forums mobile app
Unfortunately sibishanagi na watoto wasiojua mpira, ndio maana hunionagi nikiweka ligi na nyie humu maana i am better off your crap.
Hahaha mimi nimewapa tu ujumbe...Chelsea shit hawez tufunga tena anfield kufungwa na mancity kusiku brainwash ukaona tunafungika kirahisi leo yenyewe mancity walikuwa wanaomba mpira uishe tena kwa mara ya kwanza naiona mancity inapoteza mda utapigwa kipigo cha mbwa koko anfield wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo mpira unaoujua wewe ,unaujulia wapi, mm naonaga ww lopolopo tu, jifunze kwa mwenzako King Ngwaba kwa fact na kujibu vzrUnfortunately sibishanagi na watoto wasiojua mpira, ndio maana hunionagi nikiweka ligi na nyie humu maana i am better off your crap.
Wakuu King Ngwaba Don Clericuzio AdvocateFi na wengine,nawapa pole kabisa maana najua mtakuwa na huzuni sana baadae.
Chelsi bana yaaani wewe unamwazia Liverpool wakati Gonaz na New Manure wanakupumulia...Sisi Chelsea tutakuja apo Anfield kukazia tu ushindi wa Man city...
"Still on top of the table"
Hahahahahahaha
Sent using Jamii Forums mobile app
Still the right back scouser got the critics 'proof'...Involved in both goals.Clyne could have been the petfect choice for a temper game like this.Even our own narrators here dont mention his name,maybe they are scousers too!
Clyne should come back and play that position.
Up to now the great coach like Klopp must have learnt his lesson that Hendo is better when he has someone to take care of serious operations at the centre of the pitch.He is below average when playing solo
Hakuwa na msaada yeye na milner fabinho na shaqir walikuwa hatar sana liverpool waliipata fom yao baada ya kuingia hao