Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Hapo nashindwa kuelewa mpira unatakiwa uwaje hadi teknolojia iseme goli?Kwa dhati ya moyo huyu beki wa city aliiwahi technology vitu vyenyewe vya kutengenezwa na mwanadamu.View attachment 985289
Kudos kwa sterling kawatesa sana unspoken hero alikuwa anawakusanya vvd na beki zake makundi makundi anapita katikati yao Robo kupanda kwake atasimulia
Sisi Chelsea tutakuja apo Anfield kukazia tu ushindi wa Man city...YNWA On to the next one..
Still on top of the table, lost to a good team in need results after three losses in four games.
On to the next one Reds.
Achana na hayo mawazo mgandoNiltamani tuchukue ubingwa tukiwa unbeaten lkn yote kwa yote poa we are reds
Tunaomba mtupe na stats za Aubameyang aliegusa mpira mara 13 alafu mara 6 ikiwa ki kick off...
Wazilete wenyenazoTunaomba mtupe na stats za Aubameyang aliegusa mpira mara 13 alafu mara 6 ikiwa ki kick off...
relax mzee povu lote la nn, utakosa usingizi bureee.Inasikitisha sana kuona mkipiga kelele hapa wakati mnaemsema ndio bingwa wenu na pamoja na kupoteza mechi hii bado ndio mbabe wenu. Kufungwa haikuwa kitu mbacho hatukikitegemea sisi kama mashabiki bali obsession yenu nyie wapiga ramli na ubovu wa team zenu kufungwa kila siku ndio kumefanya kufungwa kwetu na team bora kuwatoe kwenye mahandaki yenu na kuja kufurahia hapa.
Loosing one or two aint bad especially when you are beaten by a good team like Man City, we lost three points for the first time this season to a good team, a team that is in contention for the title. I told you last week that anything can happen so we must never get carried away, now we take it to the next one.
Roll On Next GW
Hold Your Heads Up High and You'll Never Walk Alone
Njooni tu mnakaribishwa kwa mikono miwiliSisi Chelsea tutakuja apo Anfield kukazia tu ushindi wa Man city...
"Still on top of the table"
Hahahahahahaha
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanazungumzia game ya city vs loserpoolTunaomba mtupe na stats za Aubameyang aliegusa mpira mara 13 alafu mara 6 ikiwa ki kick off...
haaahaaa haaahaaaa haaahaaa. Jifariji tuTumefungwa but nipo very relaxed...
Hahaaaaa ,Sisi Chelsea tutakuja apo Anfield kukazia tu ushindi wa Man city...
"Still on top of the table"
Hahahahahahaha
Sent using Jamii Forums mobile app
Kusema haujanyimwa mkuu we sema tuila hebu jiitathmini kwanza wenyewe ubovu wenu huko ndio mje kwaa LFC.. Mna mechi ngapi za kufungwa bado kwani?relax mzee povu lote la nn, utakosa usingizi bureee.
Mbona nyie timu zetu zikifungwa mnatuponda, sasa leo mmfungwa nyie hamtaki msemwe?
Mmekua nani nyie, embu kojoa ukalale huko 😃😃😃😃
Ulitaka uwe ANI BITENI kwenye ligi gani mkuu.Niltamani tuchukue ubingwa tukiwa unbeaten lkn yote kwa yote poa we are reds
Anajifariji ,hajui soon as possible anavutwa had huku kugombea top 4haaahaaa haaahaaaa haaahaaa. Jifariji tu