Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Yani hata kama tutatolewa kwa aibu next round basi nitaridhika kuliko tungekwenda FUTUHI

Kwa sasa Liverpool kuipeleka FUTUHI Ni kuidhalilisha timu
Ni bora ungetoka mapema ..maana unapokwenda ni balaa zaidi

Kama SSC Napoli anakutoa jasho unategemea nini kama ukikutana na MAN UNITED, FC Juventus..
 
Ni bora ungetoka mapema ..maana unapokwenda ni balaa zaidi

Kama SSC Napoli anakutoa jasho unategemea nini kama ukikutana na MAN UNITED, FC Juventus..
angalau hapa sasa taratibu umeanza kukumbali kwamba tunaingia 8 bora maana 16 bora siwezi kutana na timu ya Uingereza hivyo hao Manure tukutane 8 bora endapo atavuka 16 bora...
 
Liver hii ,soon tutaikuta nje ya top 4

Uzuri kwasasa mtapata matumain ,ila mwisho mtakapopiga mahesabu mtajikuta mna ZERO TROPHIES
unahangaika sana ndugu na sisi maana ulishatutabiria kila matokeo msimu huu mpaka unaisha...
Bahati nzuri soka la Ulaya sio dodo cup ya TFF, hivyo wewe jifurahishe tu...
 
Kipigo kipo pale pale ..Mourihno lazima atuchinjie jogoo kesho..
Salama mkuu

Ulipata tabu sana kwa SSC Napoli sasa kwa Man United jiandae..
Wao ndo walotafuta draw sio sisi ..

Sasa kesho watakuja chukua point tatu apo Anfield.. Hiyo hata J. Klopp anajua
Tokea August hamchoki kila Match Day mnakuja hapa kabla ya mechi kuwanga Liverpool ifungwe ila baada ya mechi mnajificha kwenye mahandaki yenu.

Kila Game Week ni dejavu! Mnakuja kuwanga ila mnakutana na shetani mtoa roho

Week In Week Out, Dejavu.

Kesho baada ya mechi uwaite na wenzio akina Kimario, Antonio, Southern Highland, Mentor, Kalou, Dulla, Aaron na wanga wenzenu wote.
 
Wao ndo walotafuta draw sio sisi ..

Sasa kesho watakuja chukua point tatu apo Anfield.. Hiyo hata J. Klopp anajua
Klopp anajua hawa wanakujaga kupaki treni walau watoke na pointi moja..

sasa baada ya kupata matokeo swafi kabisa kwa kufumua ukuta maridadi wa Napoli kinachofuata ni Manure achezee kipigooo maana sioni mabeki wakazuia front 3 ya Kops...
 
hivi Clyne majeruhi au kiwango ndio kimekwenda na maji hata kua benchi au kupata namba wakati kama huu kuna majeruhi pia ni shindaa...

Klopp angewauza hawa Lovren, Moreno, Clyne, Lallana, Markovic, Karius n.k ili asajili real squad players wangetufaa sana esp mabeki yupo ndogo fulani Gibson pale Middle walivykua EPL niliona anacheza vzuri sana..

Kama hawa Ma jnr wameiva kuziba izi pengo itakua poa sana, mzungo wa pili natarajia ndogo Rhian atakua full fit na aanze kupata angalau dakika EPL..
Clyne wanaangalia khali yake ila aliumia tena kama wiki 2 zilizopita mazoezini
 
taratibu D, hao Barca wakiwa na Gurdiola wao walichezea kichapo kutoka kwa wakali Majogoo nje ndani sikumbuki vyema nadhani ni 2007 vile,...

ila duuh ile Barca ilikua noma sanaaaaa I salute the guys naamini ingekuwepo hii aa wengi tungetetemeka
sio pep ni frank.......
 
Mkuu huyu lallana sidhan kama atauzwa maana waingereza na klopp wanamrate sanaa kumbe kashakua mzoga tyr

Mimi wafuatao napendekezwa wangeuzwa
-karius
-clyne
-lallana
-orig
-hendo pia(ingawa kaongeza mkataba)
-

Watuletee vijana wa kazi hata wa 4
Beki2
Maforward2
Tumsubiri Harry Wilson anaweza rudi mwakani akitoka kwa Lampard
 
Still Fekir ni best option aisee jamaa anaujua sanaa
Mkuu Fekir sidhan kama itawezekana maana mpk sasa Mane,boby,mo salah wameongeza mikataba
Nilijua mane atazingua kusaini bas nikahis fekir ndo wakuja kucover kwake

Lakin pia kuna AOX huyu nadhan alichangia kias fulan kuja LFC kile kipind maana AOX alikua yupo kwenye form nzur sanaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom