OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,960
- 25,311
Ni bora ungetoka mapema ..maana unapokwenda ni balaa zaidiYani hata kama tutatolewa kwa aibu next round basi nitaridhika kuliko tungekwenda FUTUHI
Kwa sasa Liverpool kuipeleka FUTUHI Ni kuidhalilisha timu
Kama SSC Napoli anakutoa jasho unategemea nini kama ukikutana na MAN UNITED, FC Juventus..