Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

sawa nimekuelewa na kuhusu kuchangamka kwa jukwaa hilo silipingi kwasababu mimi sehemu ambayo ipo active hunikosi......na la kuzingatia suala la jukwaa kuchangamka ni kama mbio za vijiti kuna muda inakuwa hapa,muda mwingine chelsea,man utd ,ARSENAL FC na kwingineko ila sisi tuna consistancy hilo linafahamika

Yani Ndani ya Misimu 3 Wenger aliwafanya Uzi wenu Mulimuachia McDonaldJr pekee tunampa support sisi wengine!

Huu utitiri wenu uneibuka baada ya kuondoka Wenger then unasema Muna Consistency???

Acha utani bro..

Uzi ambao Ni Most Consistent hapa JF Ni Liverpool pekee Koz Hata timu iwe na msimu mbovu vipi basi hapa utatukuta tu japo kwa kugombana sisi kwa sisi.
 
Yani Ndani ya Misimu 3 Wenger aliwafanya Uzi wenu Mulimuachia McDonaldJr pekee tunampa support sisi wengine!

Huu utitiri wenu uneibuka baada ya kuondoka Wenger then unasema Muna Consistency???

Acha utani bro..

Uzi ambao Ni Most Consistent hapa JF Ni Liverpool pekee Koz Hata timu iwe na msimu mbovu vipi basi hapa utatukuta tu japo kwa kugombana sisi kwa sisi.
Hilo ni Kweli kabisa
 
Wale mashabiki wa fabinho
IMG_20181213_205213.jpeg
 
Ukiwa na akili za kwamba anayekukosoa kwa ajili ya kukurekebisha amekutukana utakuwa na wakati mgumu sana kwenye maisha yako.

Rafiki mzuri ni yule anayekueleza direct mapungufu yako, anayekupa ABCs za weakness na strength, ili kama kuna cha kufanya kazi ufanyie.
lakini mkuu je, wale wanaotoa zaidi hoja zao katika blue hapo ila katika red hawazingatii kabisa sasa hao bado ni marafiki wazuri?
 
In Liverpool’s last 19 home games in all competitions:

√ Won 15
√ Scored 45
√ Conceded 7
√ Kept 15 clean sheets


ALISSON & GOMEZ & VVD si wachezaji Wa Sayari hii..

Hapa Kauli Ya SIR ALEX FERGUSON ninaikubali kwa 100%..

He said "Attackers win you a game, Defence win you a title"

Wakuu sina uhakika kama nimeinukuu sahihi, Anayeifahamu naomba Anisawazishe kwani hii Quote ninaihitaji.

Fortress Anfield 🏰
 
lakini mkuu je, wale wanaotoa zaidi hoja zao katika blue hapo ila katika red hawazingatii kabisa sasa hao bado ni marafiki wazuri?

Hivi Wakati Wa WENGER OUT ulikuwa wapi wewe? Mbona sikukuona ukitumia Nguvu nyingi kama unazotumia hapa Kumtetea Wenger?

Ni McDonaldJr pekee ndiye aliyekuwa akimtetea Wenger!!

Lakini Leo hapa unatumia Nguvu nyingi kwa something that doesn't concern you.

Unafiki mwengine bhana!

cc: bardizbah & Captain Marvelous
 
Hivi Wakati Wa WENGER OUT ulikuwa wapi wewe? Mbona sikukuona ukitumia Nguvu nyingi kama unazotumia hapa Kumtetea Wenger?

Ni McDonaldJr pekee ndiye aliyekuwa akimtetea Wenger!!

Lakini Leo hapa unatumia Nguvu nyingi kwa something that doesn't concern you.

Unafiki mwengine bhana!

cc: bardizbah & Captain Marvelous
inawezekana kipindi cha wenger out wewe ulikuwa bado hujajiunga JF sasa nakupa kazi nenda kule kafukue makaburi kama una muda iwapo utanikosa katika watu waliokuwa wanamtetea PROF........mimi sio mnafki wa level zako,wewe ni mnafki wa SGR........

kwani mimi nakukera ndugu yangu?kama nakukera sema tu usijali
 
Liverpool halisi hakuna haja ya wasi wasi tuna kikosi kipana sana kwa sasa!Lovren atacheza na VVD kati na pembeni kulia tuna option ya Milner na Fabihno
Pale kati anaweza cheza Keita,Hendo na Wilj hadi Shaqir
Jamani tupo sawa mwaka huu na Klopp katengeneza team nzuri sana!
Tuzidi shikamana sisi wana Liverpool halisi tunao kuwa behind ya team kwa matokeo yyt yale!!
 
inawezekana kipindi cha wenger out wewe ulikuwa bado hujajiunga JF sasa nakupa kazi nenda kule kafukue makaburi kama una muda iwapo utanikosa katika watu waliokuwa wanamtetea PROF........mimi sio mnafki wa level zako,wewe ni mnafki wa SGR........

kwani mimi nakukera ndugu yangu?kama nakukera sema tu usijali
Nadhani unakera wengi

Ungekomaa na jukwaa lenu la asenane

Huku ni LFC forum
 
Kwa injuries tulizonazo za Gomez na Matip sasahivi Ni VVD na Lovren pekee ndiyo waliobakia..

Nadhani Hawa Madogo Conor Masterson and Nathaniel Phillips wanapaswa Kuitwa Kikosini ili wawe Standby in Case Lovren or VVD ataumia au kuwa suspended.
 
Kwa injuries tulizonazo za Gomez na Matip sasahivi Ni VVD na Lovren pekee ndiyo waliobakia..

Nadhani Hawa Madogo Conor Masterson and Nathaniel Phillips wamapaswa Kuitwa Kikosini ili wawe Standby in Case Lovren or VVD ataupia au kuwa suspended.
Mkuu usiwe na hofu hapo hata Fabihno anapiga tu beki 4
 
Kwa injuries tulizonazo za Gomez na Matip sasahivi Ni VVD na Lovren pekee ndiyo waliobakia..

Nadhani Hawa Madogo Conor Masterson and Nathaniel Phillips wamapaswa Kuitwa Kikosini ili wawe Standby in Case Lovren or VVD ataupia au kuwa suspended.
hivi Clyne majeruhi au kiwango ndio kimekwenda na maji hata kua benchi au kupata namba wakati kama huu kuna majeruhi pia ni shindaa...

Klopp angewauza hawa Lovren, Moreno, Clyne, Lallana, Markovic, Karius n.k ili asajili real squad players wangetufaa sana esp mabeki yupo ndogo fulani Gibson pale Middle walivykua EPL niliona anacheza vzuri sana..

Kama hawa Ma jnr wameiva kuziba izi pengo itakua poa sana, mzungo wa pili natarajia ndogo Rhian atakua full fit na aanze kupata angalau dakika EPL..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom