Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
taratibu D, hao Barca wakiwa na Gurdiola wao walichezea kichapo kutoka kwa wakali Majogoo nje ndani sikumbuki vyema nadhani ni 2007 vile,...kwa
barca ile hata wewe ungetetemeka maana sio kwa pira lile lililokuwa linapigwa....sio hii ya kina dembele na coutinho tia maji tia maji kina real betis wanajipopolea tu kama mwembe wa uwani pale camp nou
ila duuh ile Barca ilikua noma sanaaaaa I salute the guys naamini ingekuwepo hii aa wengi tungetetemeka