Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

hivi Clyne majeruhi au kiwango ndio kimekwenda na maji hata kua benchi au kupata namba wakati kama huu kuna majeruhi pia ni shindaa...

Klopp angewauza hawa Lovren, Moreno, Clyne, Lallana, Markovic, Karius n.k ili asajili real squad players wangetufaa sana esp mabeki yupo ndogo fulani Gibson pale Middle walivykua EPL niliona anacheza vzuri sana..

Kama hawa Ma jnr wameiva kuziba izi pengo itakua poa sana, mzungo wa pili natarajia ndogo Rhian atakua full fit na aanze kupata angalau dakika EPL..
Kwani Karius bado yupo?
 
Mkuu hawa Gooners hata usihangaike nao sana hawa inajulikana raundi ya pili EPL hua wanapotea mbaya subiri mwezi wa pili usishangae kuwaona nafasi ya saba, vinginevyo Unai awe na mbinu mbadala sio kusubiri mpaka kipindi cha pili ndio wanaamsha popo...

Ishu ya Wenger mashabiki wengi sasa wanajifanya wameisahau kimtindo, hata Emirates mashabiki walikata mguu kuhudhuria mechi kutokana na maumivu ya vipigo...sasa binadamu walivyo ni wepesi kusahau wengi walisema WengerOut...

Profesa W aliwatumikia Gooners ipasavyo mwishoye mbinu zake zikifika mwisho hivyo kuachia ngazi na kuleta kocha wa kizazi kipya ilikua sahihi, Unai anafanya kazi nzuri sana tena kwa bajeti ya usajili ndogo sana hivyo anaweza kuwafaa na kuleta ushindani kwenye EPL...tunahitaji ligi yenye ushindani kama ilivyo sasa...
 
Baada ya kelele za kukutaka tuwafate FUTUHI, sasa hivi wamebaki na ramli ambazo hata hawajui waombe tufungwe na nani.
Futuhi kuna wenyewe sisi sijui hua hawaelewi Liverpool ni timu pekee Uingereza inayomiliki kombe la UEFA Champions Lg tangu mwaka 2005 limetulia pale makumbusho ya Anfield...

kwa sheria za Uefa ni kwamba klabu yoyote inayochukua hilo kombe mara tano basi humilikishwa mazima hivyo msimu wa 2006 walichonga lingine jipya kabisa nalo tukalikosa kulichukua likiwa jipya mara ya kwanza wakabeba Ac Milan...

Hawa wanaopiga kelele tushuke Futuhi hawaelewi sisi Uefa ndio kwetu na mdogo mdogo hao tunakwenda fainali pale Wanda Metropolitan Madrid
 
Futuhi kuna wenyewe sisi sijui hua hawaelewi Liverpool ni timu pekee Uingereza inayomiliki kombe la UEFA Champions Lg tangu mwaka 2005 limetulia pale makumbusho ya Anfield...

kwa sheria za Uefa ni kwamba klabu yoyote inayochukua hilo kombe mara tano basi humilikishwa mazima hivyo msimu wa 2006 walichonga lingine jipya kabisa nalo tukalikosa kulichukua likiwa jipya mara ya kwanza wakabeba Ac Milan...

Hawa wanaopiga kelele tushuke Futuhi hawaelewi sisi Uefa ndio kwetu na mdogo mdogo hao tunakwenda fainali pale Wanda Metropolitan Madrid

Sure, kukumbushana 2006 alilichukua Barca akiicheza Final na Arsenal (fainali yao ya kwanza na ya mwisho CL). Milan ilikuwa 2007.
 
hivi Clyne majeruhi au kiwango ndio kimekwenda na maji hata kua benchi au kupata namba wakati kama huu kuna majeruhi pia ni shindaa...

Klopp angewauza hawa Lovren, Moreno, Clyne, Lallana, Markovic, Karius n.k ili asajili real squad players wangetufaa sana esp mabeki yupo ndogo fulani Gibson pale Middle walivykua EPL niliona anacheza vzuri sana..

Kama hawa Ma jnr wameiva kuziba izi pengo itakua poa sana, mzungo wa pili natarajia ndogo Rhian atakua full fit na aanze kupata angalau dakika EPL..

• Clyne ana injury
• Kuhusu hao wengine kuwaza issue sio kuwauza Bali kupata Mteja ndiyo issue..
Si unajua kuwa Sturridge alikuwa Sokoni lakini hakuna timu iliyofikia bide ..
Sasa na Kupata Midtable team kufikia dau kwa Lallana au Moreno si rahisi.
 
• Clyne ana injury
• Kuhusu hao wengine kuwaza issue sio kuwauza Bali kupata Mteja ndiyo issue..
Si unajua kuwa Sturridge alikuwa Sokoni lakini hakuna timu iliyofikia bide ..
Sasa na Kupata Midtable team kufikia dau kwa Lallana au Moreno si rahisi.
Mkuu huyu lallana sidhan kama atauzwa maana waingereza na klopp wanamrate sanaa kumbe kashakua mzoga tyr

Mimi wafuatao napendekezwa wangeuzwa
-karius
-clyne
-lallana
-orig
-hendo pia(ingawa kaongeza mkataba)
-

Watuletee vijana wa kazi hata wa 4
Beki2
Maforward2
 
Futuhi kuna wenyewe sisi sijui hua hawaelewi Liverpool ni timu pekee Uingereza inayomiliki kombe la UEFA Champions Lg tangu mwaka 2005 limetulia pale makumbusho ya Anfield...

kwa sheria za Uefa ni kwamba klabu yoyote inayochukua hilo kombe mara tano basi humilikishwa mazima hivyo msimu wa 2006 walichonga lingine jipya kabisa nalo tukalikosa kulichukua likiwa jipya mara ya kwanza wakabeba Ac Milan...

Hawa wanaopiga kelele tushuke Futuhi hawaelewi sisi Uefa ndio kwetu na mdogo mdogo hao tunakwenda fainali pale Wanda Metropolitan Madrid


454px-UEFA_Champions_League_original_trophy_(1995-2005).jpg



Tena Kwa Bahati mbaya Liverpool ndiyo Timu ya Mwisho Duniani Kuchukua Kombe la Champion League Original likawa lake Mali Yake Kwani Baadaya Liverpool kulichukua Mwaka 2005 UEFA wakabadilisha Sheria hiyo mwaka 2009 na Kufuta Kipengele cha Timu ikichukua Mara 3 mfulizo au Mara 5 kwa Vipindi tofauti kuwa linakuwa lake.

Kwahiyo sasahivi Hata Timu ibebe Mara 10 mfululizo itaishia Kupewa Kombe la Bandia tu ambalo limetaka kufanana na Original.

Mpaka sasa Ni Wababe Watano tu Ambao Wamepewa Kombe Halisi la CL kuwa lakwao Mali yao ambao Ni:

√ Real Madrid, after their sixth title in 1966.

√ Ajax, after their third consecutive title in 1973.

√ Bayern Munich, after their third consecutive title in 1976.

√ Milan, after their fifth title in 1994.

√ Liverpool, after their fifth title in 2005.

So, waliobakia wanabeba Copy tu ya Kombe.

Na Wengine Kina Ass-anal wanaishia Kula Kwa Macho.
 
View attachment 967871


Tena Kwa Bahati mbaya Liverpool ndiyo Timu ya Mwisho Duniani Kuchukua Kombe la Champion League Original likawa lake Mali Yake Kwani Baadaya Liverpool kulichukua Mwaka 2005 UEFA wakabadilisha Sheria hiyo mwaka 2009 na Kufuta Kipengele cha Timu ikichukua Mara 3 mfulizo au Mara 5 kwa Vipindi tofauti kuwa linakuwa lake.

Kwahiyo sasahivi Hata Timu ibebe Mara 10 mfululizo itaishia Kupewa Kombe la Bandia tu ambalo limetaka kufanana na Original.

Mpaka sasa Ni Wababe Watano tu Ambao Wamepewa Kombe Halisi la CL kuwa lakwao Mali yao ambao Ni:

√ Real Madrid, after their sixth title in 1966.

√ Ajax, after their third consecutive title in 1973.

√ Bayern Munich, after their third consecutive title in 1976.

√ Milan, after their fifth title in 1994.

√ Liverpool, after their fifth title in 2005.

So, waliobakia wanabeba Copy tu ya Kombe.

Na Wengine Kina Ass-anal wanaishia Kula Kwa Macho.
kumbe na sheria walishabadili aaa safi angalau lipo limetulia pale Anfield...Uingereza kidume wa Uefa ni mmoja tu na wanamjua sema ubishi wao wa tu...

Man U kidume wa EPL baada kujiapisha kuiipiku rekodi ya Majogoo tangu 1992 na imewachukua muda sanaaa na hatimae wakafanikiwa...hii ya UEFA walijaribu kuifukuzia na waliishia kutaka kumuua Babu Fergie maana sio kwa kutetemeka kule
 
ni
• Clyne ana injury
• Kuhusu hao wengine kuwaza issue sio kuwauza Bali kupata Mteja ndiyo issue..
Si unajua kuwa Sturridge alikuwa Sokoni lakini hakuna timu iliyofikia bide ..
Sasa na Kupata Midtable team kufikia dau kwa Lallana au Moreno si rahisi.
kweli kabisaa mkuu ishu soko la wachezaji kwa sasa limevurugika kabisaa..
Huyu Lallana na Clyne kama ingekumbalika warudi St Marys wote wawili tubadilishane na wa kwao mmoja tu hot Lemina aaa win win kwa kweli ndogo ana potential sana
 
Mkuu huyu lallana sidhan kama atauzwa maana waingereza na klopp wanamrate sanaa kumbe kashakua mzoga tyr

Mimi wafuatao napendekezwa wangeuzwa
-karius
-clyne
-lallana
-orig
-hendo pia(ingawa kaongeza mkataba)
-

Watuletee vijana wa kazi hata wa 4
Beki2
Maforward2
kwa mfumo huu wa Klopp 4 4 1 1 au wengine wanaita 4 2 3 1 Salah alicheza kama central striker utaleta sana magoli na pointi za kutosha...

ngoja tuone Jan kama kuna any potential player anatufaa na bei iko sawa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom