Huyu si kataka kuchomesha mara mbilikwangu mimi mana of the match ni
View attachment 965316
Ja ha haaa Levlen kuingia tu kapisha mpira kioa katubeba apo dah
Kataka kuchomesha ndio nini, mashambulizi mara zote yalikua yaanzia upande wake kijana ni hodari sanaHuyu si kataka kuchomesha mara mbili
MOT anatakiwa awe VVD au Beker
Jamaa ana gubu kama za kina mama, akishikilia kitu anakomaa nacho hata umweleweshe vipi hakwelewi.
Matter of fact, hatukutakiwi kuwa kwenye position hii ya kutafuta nafasi last minute kama siyo makosa ya Klopp. Asingewadharau Red Stars tungeshinda na hivyo tungebaki tunatafuta droo tu.
Sasa kwa kuingia 16 bora tayari tunalazimishwa kwamba he is a World Class Manager!
He needs to prove it by winning EPL this season. Otherwise he is just average.
Team imefanikiwa kupita kwenye hatua ngumu after 3 losses in row kwenye away grounds
instead of celebrating with your fellow reds for winning a great match which seemed impossible and difficult to win unakuja na subliminal za kipuuzi kama hizo,
it seems unaangaliaga match kwaajili tu ya after match - reactions za humu ndani, and i guess you have never celebrated ushindi wa team yako properly.
grow up you stupid man.
Klopp is NOT a great Manager
Hayupo hata close kwa Pep
BVB walituuzia fwamba
Haya ni maneno yenu sio mm,tunao mtetea Klopp hapa tunafahamiana,ww na wenzako mnakuwa Liverpool team inapo fanya vyema tu!
Mungu wenu Pep kapoteza pia uongozi wa EPL kwa kocha ambaye sio world class manager!
Ahahaha !
Ni wenzako hao ndiyo waliandika hapa kamaUkitaka kujua kwamba you talk nonsense, ni hapo unapoandika pumba za eti BVB walituuzia manager, where on earth are managers sold?
I feel pity kuchangia jukwaa moja na mtu mwenye thinking ya kijinga kama yako, eti tunashabikia team moja!
Hongereni wakuu ..Man united sio Napoli.