Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Klopp: "We have to be angry on Sunday, and we will be. We have to fight for our points." #LFC #MUFC
Klopp: "We have to be angry on Sunday, and we will be. We have to fight for our points." #LFC #MUFC
ila wewe unapoteana raundi ya ngapi mkuu?maana na wewe pia ndio walewale tena kwa kizazi hiki nahisi mimi nina afadhaliMkuu hawa Gooners hata usihangaike nao sana hawa inajulikana raundi ya pili EPL hua wanapotea mbaya subiri mwezi wa pili usishangae kuwaona nafasi ya saba, vinginevyo Unai awe na mbinu mbadala sio kusubiri mpaka kipindi cha pili ndio wanaamsha popo...
Ishu ya Wenger mashabiki wengi sasa wanajifanya wameisahau kimtindo, hata Emirates mashabiki walikata mguu kuhudhuria mechi kutokana na maumivu ya vipigo...sasa binadamu walivyo ni wepesi kusahau wengi walisema WengerOut...
Profesa W aliwatumikia Gooners ipasavyo mwishoye mbinu zake zikifika mwisho hivyo kuachia ngazi na kuleta kocha wa kizazi kipya ilikua sahihi, Unai anafanya kazi nzuri sana tena kwa bajeti ya usajili ndogo sana hivyo anaweza kuwafaa na kuleta ushindani kwenye EPL...tunahitaji ligi yenye ushindani kama ilivyo sasa...
barca ile hata wewe ungetetemeka maana sio kwa pira lile lililokuwa linapigwa....sio hii ya kina dembele na coutinho tia maji tia maji kina real betis wanajipopolea tu kama mwembe wa uwani pale camp noukumbe na sheria walishabadili aaa safi angalau lipo limetulia pale Anfield...Uingereza kidume wa Uefa ni mmoja tu na wanamjua sema ubishi wao wa tu...
Man U kidume wa EPL baada kujiapisha kuiipiku rekodi ya Majogoo tangu 1992 na imewachukua muda sanaaa na hatimae wakafanikiwa...hii ya UEFA walijaribu kuifukuzia na waliishia kutaka kumuua Babu Fergie maana sio kwa kutetemeka kule
naona hukulidhika mpaka ................naona tunakutia homa sana sisi hatutaki historia hapa ni football tu,kifupi kaa na historia yako sijui ulihadithiwa au uliona youtube ila mimi tar 29 nakuja kufunga turubai hapa yaani fujo kama zotekumbe na sheria walishabadili aaa safi angalau lipo limetulia pale Anfield...Uingereza kidume wa Uefa ni mmoja tu na wanamjua sema ubishi wao wa tu...
Man U kidume wa EPL baada kujiapisha kuiipiku rekodi ya Majogoo tangu 1992 na imewachukua muda sanaaa na hatimae wakafanikiwa...hii ya UEFA walijaribu kuifukuzia na waliishia kutaka kumuua Babu Fergie maana sio kwa kutetemeka kule
kipindi munaokoteza virekodi vyenu uchwara basi mutuwekee na ile rekodi yenu ya kukata na shoka kuwa LIVERPULU HAIKUWAHI KUCHUKUA EPLFutuhi kuna wenyewe sisi sijui hua hawaelewi Liverpool ni timu pekee Uingereza inayomiliki kombe la UEFA Champions Lg tangu mwaka 2005 limetulia pale makumbusho ya Anfield...
kwa sheria za Uefa ni kwamba klabu yoyote inayochukua hilo kombe mara tano basi humilikishwa mazima hivyo msimu wa 2006 walichonga lingine jipya kabisa nalo tukalikosa kulichukua likiwa jipya mara ya kwanza wakabeba Ac Milan...
Hawa wanaopiga kelele tushuke Futuhi hawaelewi sisi Uefa ndio kwetu na mdogo mdogo hao tunakwenda fainali pale Wanda Metropolitan Madrid
Acha kuongea utumbo, arsenal huijui tulia ufundwe au ulizaMkuu hawa Gooners hata usihangaike nao sana hawa inajulikana raundi ya pili EPL hua wanapotea mbaya subiri mwezi wa pili usishangae kuwaona nafasi ya saba, vinginevyo Unai awe na mbinu mbadala sio kusubiri mpaka kipindi cha pili ndio wanaamsha popo...
Ishu ya Wenger mashabiki wengi sasa wanajifanya wameisahau kimtindo, hata Emirates mashabiki walikata mguu kuhudhuria mechi kutokana na maumivu ya vipigo...sasa binadamu walivyo ni wepesi kusahau wengi walisema WengerOut...
Profesa W aliwatumikia Gooners ipasavyo mwishoye mbinu zake zikifika mwisho hivyo kuachia ngazi na kuleta kocha wa kizazi kipya ilikua sahihi, Unai anafanya kazi nzuri sana tena kwa bajeti ya usajili ndogo sana hivyo anaweza kuwafaa na kuleta ushindani kwenye EPL...tunahitaji ligi yenye ushindani kama ilivyo sasa...
Unaongea utadhan bas liver mna mafanikio yoyote ndan ya miaka 10,Futuhi kuna wenyewe sisi sijui hua hawaelewi Liverpool ni timu pekee Uingereza inayomiliki kombe la UEFA Champions Lg tangu mwaka 2005 limetulia pale makumbusho ya Anfield...
kwa sheria za Uefa ni kwamba klabu yoyote inayochukua hilo kombe mara tano basi humilikishwa mazima hivyo msimu wa 2006 walichonga lingine jipya kabisa nalo tukalikosa kulichukua likiwa jipya mara ya kwanza wakabeba Ac Milan...
Hawa wanaopiga kelele tushuke Futuhi hawaelewi sisi Uefa ndio kwetu na mdogo mdogo hao tunakwenda fainali pale Wanda Metropolitan Madrid
Wewe EPL una mafanikio gani?Ndo mafanikio yao makubwa UEFA hawa jamaa.
Dembele hahitaji kuja hapo ukameniWakuu hii ishu ya dembele kutaka kuondoka barca nadhani liver tungeliwahi hili donge tungekuja kuwa na front kali sanaa kuwahi kutokea hii dunia
Salah angerud kati kama 9 dembele7 na mane11 pembeni
Boby arud 10
Napenda mshinde ila mna chonga sanaDah wakuu jumapili napaona mbali sanaa niseme ukwel tu
MUNFC duh Rashford alichotufany last time kweny EPL huwa kinanikosesha raha mbele ya washabik wa MUNFC ,liverpool inipe ushindi tu haijalishi ni wa goal ngapi