Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

kosa moja so far ile goli ya Leicester tu..na baada ya hapo akawa amekaribishwa rasmi ligi ya Uingereza....

aafu jamaa looks so cool n settled hana papara kabisa ni kazi kazi tu...

This might prove to be th best addition whole of EPL come May 2019.

Nakumbuka wakati wa game ya Brighton tulitoa comments kuhusu jamaa anavyocheza na mpira tukasema inabidi afungishe goli ili akili imkae sawa, next game akafungisha na mpaka leo hajarudia tena zile mbwembwe.
 
Nakumbuka wakati wa game ya Brighton tulitoa comments kuhusu jamaa anavyocheza na mpira tukasema inabidi afungishe goli ili akili imkae sawa, next game akafungisha na mpaka leo hajarudia tena zile mbwembwe.
bwana wee alikua hajakaribishwa rasmi EPL maana hii ligi muda wote inabidi wachezaji kua makini vinginevyo ni kilio...sioni akija kurudia lile kosa hata kidogo maana hata yeye hakuelewa namna gani
Ienacho alivyompora ule mpira....
 
Wakuu hii ishu ya dembele kutaka kuondoka barca nadhani liver tungeliwahi hili donge tungekuja kuwa na front kali sanaa kuwahi kutokea hii dunia

Salah angerud kati kama 9 dembele7 na mane11 pembeni
Boby arud 10
Barca wanasema anaemuhitaji afike dau la release clause kama sikosei ni £300m or Usd 300m...

Ndogo ana kiburi fulani kuchelewa kufika mazoezini zaidi ya mara moja..

aidha anafanya kusudi auzwe au la sijui ila kwa hio bei watasubiri sana...
 
Liverpool owners Fenway Sports Group could put 'serious money' on the table for a huge January transfer, it's been claimed.
Fekir bana Lyon wanampango wa kumuongeza mkataba na sina uhakika kama ni priority tena kwa Klopp...

Defence ndio ingefaa waangalie namna ya kusajili maana Gomez, Lovren, Matip, Clyne hua injury prone sio wachezaji wa kucheza under intense presha kwa gemu 8plus bila kusikia mara cramp n.k..

All in all Jan sio mbali magezati ya udako wanawataja wengi tu tutaona ni vipi..
 
Barca wanasema anaemuhitaji afike dau la release clause kama sikosei ni £300m or Usd 300m...

Ndogo ana kiburi fulani kuchelewa kufika mazoezini zaidi ya mara moja..

aidha anafanya kusudi auzwe au la sijui ila kwa hio bei watasubiri sana...
Hii ni budget ya tim kabisa kama Newcastle mkuu £300???

Yaan hiyo bei bora waje makindaki
Hata wa5
 
bwana wee alikua hajakaribishwa rasmi EPL maana hii ligi muda wote inabidi wachezaji kua makini vinginevyo ni kilio...sioni akija kurudia lile kosa hata kidogo maana hata yeye hakuelewa namna gani
Ienacho alivyompora ule mpira....

Tena baada ya mechi ya Brighton kama sikosei alituambia washabiki wenye pressure tujiandae maana hatabadili mchezo wake.

Baada ya lile fyongo aliacha kabisa zile swaga.
 
Wakuu hii ishu ya dembele kutaka kuondoka barca nadhani liver tungeliwahi hili donge tungekuja kuwa na front kali sanaa kuwahi kutokea hii dunia

Salah angerud kati kama 9 dembele7 na mane11 pembeni
Boby arud 10

Dembele hanunuliki kwa bei Yake Coz Barca watataka kurecover pesa zao walizotoa kwa Dortmund
 
Klopp's press conference right now:

Klopp: "I don't think we won a lot (v MUFC in the league), so we will try to change that. This week we reached a big target in the CL, we had one day to feel the relief of that. Since yesterday we are back on track. I'm really looking forward to it. Big one." #LFC #MUFC
 
Klopp: "This week we reached a big target. We had one day to feel the relief. We took the Wednesday to calm down and since yesterday we've been back on track to prepare for Sunday."
 
Klopp: "Being part of this game is pretty special. It's a big one. When I was in Germany I tried everything to watch it. Very often, very intense. It's always been tight against them."
 
Klopp on injuries.

"It's our situation. Crisis is only a crisis if you feel it. Trent is not as serious as the other two boys, but it's not top class news! It was unlucky as well, like with Joel. It was in the last seconds of the game." #LFC #MUFC
 
Klopp: "As long as we have enough players, it is our job to find a solution. We will have a solution for the weekend." #LFC #MUFC


Enough players?
Lallana? Moreno? Solanke? Origi? Sturridge?
 
Klopp: "It's one of the games you sign with your contract; try to do everything to win it. Historical-wise it's a big one. If Ferguson says it's the English clasico, then that's cool because I was already involved in the German clasico!' #LFC #MUFC
 
Klopp: "I'm aware of the criticism of MUFC, but when we analyse them and turn off the sound, the quality is there. They are really strong. Unbelievable quality. We don't judge the points they have, we judge the quality." #LFC #MUFC
 
Klopp on injuries.

"It's our situation. Crisis is only a crisis if you feel it. Trent is not as serious as the other two boys, but it's not top class news! It was unlucky as well, like with Joel. It was in the last seconds of the game." #LFC #MUFC

IMG_5532.JPG
 
Klopp asked if he would like to manage Pogba.

"You know better than I, what happens if I give an answer to that question. So no answer! Make a story of that, 'Klopp denies an answer'"

#LFC #MUFC
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom