Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread


IMG_5674.JPG
 
Siku moja kabla ya mechi kubwa kati ya Liverpool dhidi ya Manchester United, kocha Jose Mourinho amerusha kijembe kwa mpinzani wake Jurgen Klopp. Kijembe hiki hakika kina ujumbe mzito utakaochoma nafsi za kambi ya Liverpool.

Mourinho amewaambia Klopp na Liverpool pamoja na kucheza vizuri na kupata matokeo hivi sasa mwisho wa siku hukumu ya mafanikio yao itapimwa kwa idadi ya makombe watakayobeba.

Klopp tangu amefika Liverpool amefikisha miaka 3 akicheza fainali 2 huku akipoteza fainali zote 2 na hajatwaa taji lolote mpaka sasa. Akihojiwa na waandishi wa habari kabla ya mechi yao dhidi ya Liverpool jumapili, Mourinho aliulizwa kama makombe yana umuhimu kwenye soka. Alijibu hivi…

Inategemea na namna unayaendea mashindano. Nafikiri mataji yana umuhimu hasa kama uko kwenye nafasi ya kuyashindania na umeshaweka lengo la kugombania mataji.

Wakati mwingine watu wanakwepesha ukweli jambo ambalo nafikiri sio sahihi. Kama una nafasi ya kuchukua kombe, inajulikana wazi na hakuna pa kujificha. Yakupasa kupambana, kuonesha njaa na hamasa ya kuchukua makombe.
 
samahani sana mkuu kama nitakuwa nimekukosea......kwakusema haki hii ndio sababu kubwa iliyonifanya mimi niwe mshabiki nguli lia lia wa ARSENAL ila hii hoja kwa upande wangu sawa maana nimeishuhudia ARSENAL ikiwa katika mafanikio kwa muda mrefu + sex football ikicheza kandanda safi la kuvutia na rekodi tamutamu ya UNBEATEN SEASON...................ikichukua EPL takribani mara 3 na nikiweka rekodi katika FA CUPs pia na ikiwa katika nafasi za juu(big4) kwa muda mrefu sana.

Hofu yangu inakuja kauli hiyohiyo ukiitumia kwa upande wako kwangu inanipa ukakasi maana liverpool haikuwa na wakati mzuri katika miaka ya hivi karibuni labda uniambie kuwa umezaliwa katika miaka ya 1960s mkuu hapo sitabisha maana utakuwa umeishuhudia liverpool ikiwa katika wakati bora sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa..............
Mkuu,katika mapenzi ya mpira unaweza ukaipenda team underdog, ( Croatia ilikuwa underdog lakini ilipiga mpira mwingi).
Ama unaweza kuishabikia team kutokana na mchezaji mmoja tu( hata kama haina mafanikio makubwa) .Mathalani,Unaweza kumpenda Van persie, au Wiltord au Arteta,Fabregas,Owen, John Barnes,Fowler,Aspirilla,Shearer kutaja baadhi. Ama hata Makambo,Atupele green, Okocha,.
Unaweza kuipenda team kwa kuvichapa vigogo
Hio ni baadhi tu ya mifano. Kumbuka mwanadamu ana taste tofauti according to his/her wish.
Umenipa @ Dully jr
 
Siku moja kabla ya mechi kubwa kati ya Liverpool dhidi ya Manchester United, kocha Jose Mourinho amerusha kijembe kwa mpinzani wake Jurgen Klopp. Kijembe hiki hakika kina ujumbe mzito utakaochoma nafsi za kambi ya Liverpool.

Mourinho amewaambia Klopp na Liverpool pamoja na kucheza vizuri na kupata matokeo hivi sasa mwisho wa siku hukumu ya mafanikio yao itapimwa kwa idadi ya makombe watakayobeba.

Klopp tangu amefika Liverpool amefikisha miaka 3 akicheza fainali 2 huku akipoteza fainali zote 2 na hajatwaa taji lolote mpaka sasa. Akihojiwa na waandishi wa habari kabla ya mechi yao dhidi ya Liverpool jumapili, Mourinho aliulizwa kama makombe yana umuhimu kwenye soka. Alijibu hivi…

Inategemea na namna unayaendea mashindano. Nafikiri mataji yana umuhimu hasa kama uko kwenye nafasi ya kuyashindania na umeshaweka lengo la kugombania mataji.

Wakati mwingine watu wanakwepesha ukweli jambo ambalo nafikiri sio sahihi. Kama una nafasi ya kuchukua kombe, inajulikana wazi na hakuna pa kujificha. Yakupasa kupambana, kuonesha njaa na hamasa ya kuchukua makombe.
Analysis ya Mou ni saikolojiko. Anajaribu kumtoa klop kwenye determination take. Lskini hii itamtia hamasa zaidi Klop na team nzima ya Liverpool.
Joe asishangae kupata aibu Anfield. Inaweza kuwa ufunguo wa kutokea OT.
 
Analysis ya Mou ni saikolojiko. Anajaribu kumtoa klop kwenye determination take. Lskini hii itamtia hamasa zaidi Klop na team nzima ya Liverpool.
Joe asishangae kupata aibu Anfield. Inaweza kuwa ufunguo wa kutokea OT.
Mkuu hizi kauli mpk sasa zishawatafuna watu wengi akiwemo NEYMAR

So is the matter of waiting 90'
 
Klopp: "We have two CBs left. Will we do something in January? It's not really likely but we have to think about it."


Sidhani kama Klopp ataingia Sokoni kununua CB wa £80+ this January.

But ikibidi kununua CB basi kwa upande wangu nahisi Choice Nzuri ni DE LIGT kuliko Koulibaly.
 
Alisson: “I constantly look at the ball, wherever it is. If it’s on the left I position myself to the left, if it’s on the right I position myself on the right so if there was a counterattack I would be able to intervene, and I constantly talk to the defenders around me.”
 
Klopp's press conference right now:

Klopp: "I don't think we won a lot (v MUFC in the league), so we will try to change that. This week we reached a big target in the CL, we had one day to feel the relief of that. Since yesterday we are back on track. I'm really looking forward to it. Big one." #LFC #MUFC
biggest game in EPL no doubt...hope th bottle kicking master dont park th train like his two previous visit at Anfield...
Should be thriving like old skol vs manures games
 
Tena baada ya mechi ya Brighton kama sikosei alituambia washabiki wenye pressure tujiandae maana hatabadili mchezo wake.

Baada ya lile fyongo aliacha kabisa zile swaga.
naona wenye kujua walimwambia aache brazil street futball itamuubua zaidi...
so fa so good hajatwangusha...sijui Roma ile bei wanajiona kupigwa hii kazi jamaa anayofanya hapa au Real kuchagua kununua Courtiou lol....
huyu jamaa ni bonge la kipa kwa kweli...
ule uflame wa De gea upo under serious threat kwa huyu Allison....
 
ila wewe unapoteana raundi ya ngapi mkuu?maana na wewe pia ndio walewale tena kwa kizazi hiki nahisi mimi nina afadhali
ni wale wale kimtindo maana nimefika fainali mbili Futuhi na Uefa bila kuchukua ndugu,

japo kombe nilkosa lakini upande wa malipo kwa kufika fainali zote sio haba ni usd shwari kabisa

kucheza Uefa pia kunavutia wachezaji bora VVD, Allison,Keita, Shaqir n.k walitua hapa kwa vile uhakika wa kushindana na wanaojua (Uefa) upo kabisa...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom