1.liverpool walicheza mpira mzuri msimu uliopita msimu huu wanacheza vibaya na wanashinda
2.Kilichowasaidia Sana ni uwepo wa Allisson & Van Dijk wamesaidia kupunguza makosa kama wasingekuwepo wangekuwa wameshafungwa hata mechi 5 so far
3.Pia waliamini kuwa viwango vya Keita +Fabinho walivyoonyesha kwenye timu zao basi watacheza the same wakasahau kwamba hii ni EPL wachezaji wengi wakija wanastrugle
4. Ile front 3 yao wanaonekana wote wamechoka ndio maana wamefunga magoli machache msimu huu
5.Kama Van Dijk,Robertson,Salah,Mane, Allison wakipata majeruhi Liverpool wata-strugle Sana unless wasajili wachezaji January