joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 18,932
- 40,117
Dk ya 58 short on target 0,duu natamani niuone huu mpira .
Hatari babaDk ya 58 short on target 0,duu natamani niuone huu mpira .
Liverpool ni timu ya WaingerezaMkuu Malafyale jitahidi Kumtetea Kocha Wako lakini naamini ikosiku utajua Kuwa Klopp anakuja Vingunguti Kuvuta Bangi.
Na ipo Siku utakiri Hapa kuwa Klopp anapanga timu kuwaridhisha Waingereza..
Lallana? Milner? Sturridge?
Na ipo Siku utakiri kuwa chini ya Klopp haitatokezea kushinda Chochote.
Kule kwetu Klopp anasifiwa ni kocha Bora anacheza mpira nzuri umeona wenye timu yao wanavyomtukanaPiga hao vijogoo wa london
Liverpool ni timu ya Waingereza
Majority ya Legend wa Liverpool ni waingereza Gerrard,Carragher,Owen,Fowler,Dalglish,Hansen,Souness , Keegan,Barnes, Thompson,Clemence et all
So ulilalamike Klopp kuwapanga wao ni timu yao
Hapo ndo mtu unajifunza kuwa mpira mzuri ni subjective...Kule kwetu Klopp anasifiwa ni kocha Bora anacheza mpira nzuri umeona wenye timu yao wanavyomtukana
there's no victory today hata sare hamna hapawe can still do something here
just need to defend better
Mafanikio kwenye mpira ni kuwafunga wapinzani wako na kuchukua ubingwaHapo ndo mtu unajifunza kuwa mpira mzuri ni subjective...
Alison yule Brazil mwenye clean sheets 6Nataka kujua golini mwa Liverpool yupo kipa gani?
Hata nyie mnalialiaHii timu akipewa benitez tunabeka kombe Klopp ni fala
Hahaha Liverpool nyie unbeaten ...msiogope mtakuwa mabingwa.!First half timu haina shot on target inasikitisha
Hakuna timu hapa MkuuHahaha Liverpool nyie unbeaten ...msiogope mtakuwa mabingwa.!
Yani Namshauri Mane asije akajaribu Kusaini Mkataba Mpya kwa Timu hii.
Mwenzio Coutinho ana akili kwelikweli kutafuta Njia ya kutokea mapema kabisa.
Awaachie Kina Lallana timu yao.
dah! Hapa kama umesema kweli.Liverpool msijiroge kucheza mechi za Alhamisi. Yani mtapoteana EPL mpaka mseme po
Hamkupata mbadala sahihi wa coutinho kwetu yalitukuta uza ronaldo nunua valencia yule malafyale nilimwambia coutinho ataacha shimo aligoma.Yani Namshauri Mane asije akajaribu Kusaini Mkataba Mpya kwa Timu hii.
Mwenzio Coutinho ana akili kwelikweli kutafuta Njia ya kutokea mapema kabisa.
Awaachie Kina Lallana timu yao.
Kesho kipigo kipo pale pale..Hadi dakika ya 75 utulivu huu ni kwa hisani ya kwekwe ze veda poleni watani zangu.