Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mwanangu viungo Gini, Milner, Hendo hadhi yao wote kutokea Sub sasa kocha wetu ye lazima Gini awepo, na lazima kati ya Hendo au Milner awepo. Watu kama Lallana, Hendo ni wa kuuzwa. Kocha muoga anawaogopa waingereza
Hao unaowaponda ndio waliwafikisha fainali msimu uliopita
 
Tukifungwa ndiyo tatizo la team selection
Tukishinda Klopp is genius
Jamani hata Pep alifungwa CL tena kwake tena trash Lyon
Kufungwa kawaida mbona ktk soka?
Liverpool haijatolewa

Hatukatai kufungwa ndugu...but Lallana ahead of Keita kweli???
Matip ahead of Gomez?
Weka Fabinho number sita peleka Keita hapo juu. Klopp aache kuwaogopa waingereza bana, they are trash.
 
Hatukatai kufungwa ndugu...but Lallana ahead of Keita kweli???
Matip ahead of Gomez?
Weka Fabinho number sita peleka Keita hapo juu. Klopp aache kuwaogopa waingereza bana, they are trash.
Acha uongo. Katika kikosi cha leo ni Lallana labda na Sturridge ndio hawakucheza mechi na Arsenal. Kubali kufungwa tu
 
Tukifungwa ndiyo tatizo la team selection
Tukishinda Klopp is genius
Jamani hata Pep alifungwa CL tena kwake tena trash Lyon
Kufungwa kawaida mbona ktk soka?
Liverpool haijatolewa

Teh teh teh!
Sema tena bila kulia!
 
Kwa kilichofanyika leo, naweza kusema game tactic ya Jergün ilikuwa kutaka kufungwa
Huwez kumchezesha Matip, mchezaj ambae ana muda mrefu hachez na yupo kweny kiwango duni...then unamwacha Levron/Gomez
Huwez kumchezesh Lallana ukamwacha Keita/Fabihno

Alafu cha kushangaza zaidi, unamuingiza Orig!!! Kweli!?

Hii game kocha alidhamiria tufungwe, walahi
 
Hahhahahhahahaa eti hata kama marehemu alikuwa na mdomo sana.
Alikuwa anajiona bingwa, unbeatable.
Ngoja niingie mie kuchambua Mchele..
Mkusanya rambi rambi ameshapatikana??
Wapo mkuu,kina Damushin Yodoki II Darmian na The Great Emanuel ni waaminifu,hawatokula rambirambi zitawasaidia wafiwa.

Msiba mzito huu,marehemu pamoja na tambo zake za kupiga mtaa mzima leo anakufa kwa kupaliwa na wali kweli?
 
Hao unaowaponda ndio waliwafikisha fainali msimu uliopita

Hapana, Coutinho aliondoka katikati ya msimu akiwa na goli tano za UEFA, after small transfer window alicheza sana Alex-Oxlade Chamberlain
 
Kwa kilichofanyika leo, naweza kusema game tactic ya Jergün ilikuwa kutaka kufungwa
Huwez kumchezesha Matip, mchezaj ambae ana muda mrefu hachez na yupo kweny kiwango duni...then unamwacha Levron/Gomez
Huwez kumchezesh Lallana ukamwacha Keita/Fabihno

Alafu cha kushangaza zaidi, unamuingiza Orig!!! Kweli!?

Hii game kocha alidhamiria tufungwe, walahi
Klap kauza game!
You Will Never Win Anything
 
Its all about Klopp useless experiments we were in a big trouble tonight.Starting TAA was a mistake...Dropping Gomes for Matip was a blunder...Starting Lallana while you have a fit Keita was a kind of schizophrenia...Sticking with 4-3-3 especially when you have unpacy Sturridge was very an f...word.

The second goal...Gini accompaning the scorer the same way the bestman leads the grooms...very wonderful.Matip makes sure that the scorer reaches his destination to find a good target...very irritative.And...funny enough on bench you have Gomes,Keita,Fabinho...

Kama kocha unasajili wachezaji halafu bado unawakumbatia waliokufanya usajili bila kujali gharama,una matatizo.Waingereza wote ukiacha Milner hawakupaswa kuanza game ya leo.Lakini wakati fans tunafikiria ni muda wa kufanya kweli na kuweka mzaha pembeni,kocha anaona ni muda sahihi wa kufanya experiments zake!

Muda unavyozidi kusonga Klopp anakuwa kocha mbovu zaidi.Ana kikosi kizuri kuliko cha msimu uliopita lakini amekosa mbinu sahihi.Amekariri limfumo limoja as if ni dini yake.Halafu eti unamwingiza Origi!!kufanya nini?Atakwambia kuongeza nguvu ya ushambuliaji!Sasa ndo Origi?Ambaye hajacheza hata mechi moja msimu mzima?Hizi kama sio experiments za kipuuzi ni nini?

Baada ya Arsene Wenger namuona Klopp akichukua nafasi yake.Kuchezacheza tu mpira bila plan wala target.Mwisho wa siku mnaambiwa mlikuwa washindani wazuri...mnajipanga kwa msimu mwingine mje msisimue zaidi!!

Unaogopa nini kuwaweka nje wachezaji wa kiingereza?Soccer management yako inakuwa ipi hapo?Kwa nini ulitumia hela nyingi kusajili.

Bad enough the good players like Keita and Fabinho are slowly becoming unhappy.Looking on their faces i see they start yo regret being under this kind of manager who want to ruin their carrier...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom