Hahahhahahaha daaaaaahhhhhhhhhhhh😂😂😂😂😂😂😂.Habari zilizopo tutaondoka midaa ya saa nne usiku uelekeo jijini Manchester.
Watakaosafiri wajiandikishe kwa cute b.
Mnaombwa kuhakikisha hatujaacha kitu huku maana vifaa vyote vitahitajika huko.
Mkuu southern highlands tutaomba uendelee kutuazima maturubai yako.
Mkuu eden kimario yale masufuria tafadhali.
Mkuu titration tutaomba uandike historia/wasifu wa marehemu.
Mkuu Goodluck Mchika utashughulikia ulinzi tuwapo msibani
Wakuu Malafyale, mosdef, AdvocateFi kama mtakuwa na nguvu tutawaomba kwa huduma ya kulia.
Mkuu Jasho La Kuku tutaomba uratibu PA systems.
Msiba wa leo utakuwa mkuu kuliko wa jana, tunaomba tujipange vyema kupepea na kumwagia maji wafiwa.
"Unategemea urithi mshua kapata nafuu"😂😂😂
Mkuu watangazie kabisa wale washibe maana kuna uwezekano mkubwa sana mgonjwa akapona, na msiba ikawa postponed.
We are UNITED💪💪💪💪💪💪💪💪