Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Napoli angepigwa ndio mngekuwa pazuri sana, maana kwa sasa kuna timu tatu ambazo zote zina possibility ya kwenda hatua ya 16. Swali, kati ya hizo nani ataenda Europa?

Kumbuka mna mechi ngumu na PSG ambaye atakuwa nyumbani lakini wakati huo huo bado hana uhakika wa kuvuka.

Pia, mna Napoli ambaye ni timu inaonesha ina uwezo, chini ya kocha mzoefu Aceloti lakini kubwa zaidi wana motisha ya kutaka kushinda maana wameona uwezekano wa kuvuka upo

Napoli angefungwa, hii challenge msingekuwa nayo

Any way, good luck

Huo ugumu wa PSG ukwap mbona siuoni tangia UEFA imeanza? Liverpool anahitaj kushinda mechi ijayo hata moja bila, automatically anakuwa amepigwa vikwazo.
 
Najiuliza sana nini kimeikumba liverpool safar hii
katimu kao chembamba sana mkuu yaani kana kikosi kimoja tu na tatizo linaloikabili ni fatigue maana wachezaji wale pendwa wametumika sana msimu uliopita kwa hiyo kwa sasa wapo hoi so wakijaribu tu kuingiza magarasa yao yaliyopo kule akiba ni mwendo wakuchezea kichapo tu............nakwambia haka katimu wangekapanga juzi tungewafumua HAMSA bila huruma........LOSERFOOL hii ni afadhali ya MAN UTD yko mkuu amini hivyo
 
Team
mkiambiwa kitimu chenu chembamba mnaleta ushabiki maandazi hahahahaha ona sasa kumwanzisha dani na adam tu katimu hoiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii alafu ndio mchukue ubingwa na haka katimu hahahahahahahaha nahama JF

Team nyembamba lakin bado imeizidi team yako kwa points kuanzia EPL na UEFA ipo pazuri.

Hapo ukute we mshabik wa Arsenal
 
katimu kao chembamba sana mkuu yaani kana kikosi kimoja tu na tatizo linaloikabili ni fatigue maana wachezaji wale pendwa wametumika sana msimu uliopita kwa hiyo kwa sasa wapo hoi so wakijaribu tu kuingiza magarasa yao yaliyopo kule akiba ni mwendo wakuchezea kichapo tu............nakwambia haka katimu wangekapanga juzi tungewafumua HAMSA bila huruma........LOSERFOOL hii ni afadhali ya MAN UTD yko mkuu amini hivyo
Kweli mkuu wasingetoka hawa naamini hilo nimeona mechi zao kuna mtu humu nilimwambia mmemfunga spurs lakin alikuwa bora alikataa vibaya sana.
 
katimu kao chembamba sana mkuu yaani kana kikosi kimoja tu na tatizo linaloikabili ni fatigue maana wachezaji wale pendwa wametumika sana msimu uliopita kwa hiyo kwa sasa wapo hoi so wakijaribu tu kuingiza magarasa yao yaliyopo kule akiba ni mwendo wakuchezea kichapo tu............nakwambia haka katimu wangekapanga juzi tungewafumua HAMSA bila huruma........LOSERFOOL hii ni afadhali ya MAN UTD yko mkuu amini hivyo

Man U hii inayotegemea Lukaku na Rashford? Hahahaha hebu kuwa serious Mkuu,
 
Team


Team nyembamba lakin bado imeizidi team yako kwa points kuanzia EPL na UEFA ipo pazuri.

Hapo ukute we mshabik wa Arsenal
Mkuu liverpool hata msimu uliopita alikuwa na point kibao tu mwisho wa siku mkaanza kupigania top 4 sijaona mantiki yake
 
Mkuu Malafyale jitahidi Kumtetea Kocha Wako lakini naamini ikosiku utajua Kuwa Klopp anakuja Vingunguti Kuvuta Bangi.

Na ipo Siku utakiri Hapa kuwa Klopp anapanga timu kuwaridhisha Waingereza..
Lallana? Milner? Sturridge?

Na ipo Siku utakiri kuwa chini ya Klopp haitatokezea kushinda Chochote.
kwahiyo hao kina lallana ni wachezaji wa BIASHARA UNITED? mkiambiwa kikosi chenu kidogo hamkubali sasa kwahiyo wakiumia wachezaji 6 wa kikosi chenu pendwa mnatoa timu katika mashindano?
wewe upo NANGURUKURU unampangia kikosi kocha aliye ANFIELD ambaye anaonana na wachezaji na kujua matatizo yao mbalimbali yanayowakabili........punguza ujuaji hakuna kocha anayependa kufungwa katika michezo yote duniani
 
Hebu taha
Mkuu liverpool hata msimu uliopita alikuwa na point kibao tu mwisho wa siku mkaanza kupigania top 4 sijaona mantiki yake[/QUOTE
Hebu taja team yako mkuu, mbona unaogopa?

Liverpool ni team kali sana kwa sasa, fans wanacholalamika ni strategies mbovu za kocha.

EPL na UEFA ni greenfield kabisa kwa Liverpool, ndio team ya uingereza pekee yenye matumain makubwa ya kusonga hata za 16 bora UEFA.
 
Yote kwa Yote Hii ndiyo Matokeo ya Kumkataa Fekir kisa tu eti Lallana amepona Majeruhi.

Now let us enjoy Shoo ya Lallana inayoprove that we are right Kumkataa Fekir because of him ha ha ha ha ha ha ha ha
Kwa hiyo Fekir hakusajiliwa sababu ya Lalana?

Na Jana mmefungwa sababu Lalana kacheza
 
Kwa hiyo Fekir hakusajiliwa sababu ya Lalana?

Na Jana mmefungwa sababu Lalana kacheza
hahahahahaha nimecheka sana hivi unaanzaje kumpigia hesabu mchezaji wa OLIMPIC LYON na wewe katika benchi una wachezaji lukuki huku ndio KUPATWA KWA SOKA
 
Kuanza Sturidge jana niliona kafanya kitu hasa ukiangalia mambo anayoyafany firmino hizi mechi za karibuni...

Lakini hapo kati waliotakiwa kuwa bench walianza na waliotakiwa kuanza wakakaa bench... yani huyo Milner sijawai kuamin kama atakuja kutupa makombe cuz alikotoka ni kama alitemwa!


Unamuachaje nje Fab Keita na Shaqiri halafu kocha mpaka leo eti hana 1st eleven kama sio upuuzi ni nini au kwamba Buvac ndo aliondoka na ubongo wa klopp!


Na kuna haja gani ya kusajiri kama ameshaona tayari anakikosi chake maalumu na kimekamilika huyu jamaa ni mtu wa ovyo tena mlamba miguu ya waingereza!
Mkuu usilie lie sana. Hakuna timu hisiyofungwa hata Kama ni Bora kiasi gani. Kubali kushindwa tu. Wachezaji wote wanauwezo mkubwa wa kucheza mpira ndiyo maana wamesajiliwa anfield.
 
Mkuu mimi sina Mashaka na Timu yangu kwani Naamini Tuna Timu Nzuri ya Kupambana! Mimi Mashaka Yangu Yapo Kwenye Mikakati ya Klopp mpaka sasahivi bado sijamsoma hasa anafanya Nini!!!

Lakini kwa Timu hiihii tuliyonayo iwapo Klopp atakuwa na good Strategies Nabelieve kuwa Hao Chelshit na Arsen8 wataishia Kupiga kelele tu lakini hawawezi Kumaliza EPL juu ya Liverpool.

Siku Klopp anayoamua tushinde game basi tunashinda, Lakini Jana sikujua Mantiki Ya Kumueka Juu Gomez, Firmino na Fabinho... Keita nampa excuse kuwa hana Match fitness..
Na Sikuona sababu ya Kumpanga Matip, Lallana na Sturridge coz hawa inajuilikana wazi kuwa Si wachezaji Wa Kuanza Bali Ni Squad Players.

So, Klopp jana katufanyia utani...

Still I've some hope kwenye EPL
Tulia dawa ikuingie. Husije pata personal conflict kisa klopp.

Mim naamini wachezaji wote ni sawa na ndiyo maana mmewasajili. Pia juzi hapa mlisema Fabinho amewagarimu mechi iliyoisha. Leo kawa mzuri baada ya kutoanza. Siku Sturrige amewaokoa dhidi ya Chelsea pia mlisema firmino awekwe bench ili Sturrige aanze Leo firmino amekuwa mzuri baada ya kuwekwa bench.

Mimi huwa nawaangalia tu mnavyojisifu na kuwasifu wachezaji wenu pindi mnapotoka na ushindi. Na hii tabia mashabiki wengi wanayo. Bila kujua kuwa mpira huwa ni plan. Na kila timu inaingia uwanjani kutaka kushinda. Kupoteza na kutoa draw huwa ni matokeo pia. So calm down.

Jipange na uje plan nzuri ya kumuangamiza Napoli na PSG
Meanwhile....pole kwa kufungwa na timu isiyojulikana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom