Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool inavurundaga hivi hivi, hata kwenye EPL msishangae ikafululiza vipigo kutoka kwa vitimu vidogo mpaka mkaikuta nafasi ya 6/7
Liverpool is a team of BIG matches, majogoo hawana time na vijitimu vidogo kama Red Star Belgrade
 
Mathematically Liverpool mumeishia hapa,
ASANTENI KWA KUSHIRIKI
Screenshot 2018-11-07 04.34.22.png
 
Acha uongo. Katika kikosi cha leo ni Lallana labda na Sturridge ndio hawakucheza mechi na Arsenal. Kubali kufungwa tu
Mechi ya Arsenal ndio niliconfirm Liverpool ni timu mbovu, beki ndio zlikuwa zinasambaza mipira na kushambulia, Viungo na washambuliaji ukimuondoa MO Salah hawakuwepo uwanjani kabisa
 
Draw ya PSG na Napoli imetuweka pazuri sana!
Napoli angepigwa ndio mngekuwa pazuri sana, maana kwa sasa kuna timu tatu ambazo zote zina possibility ya kwenda hatua ya 16. Swali, kati ya hizo nani ataenda Europa?

Kumbuka mna mechi ngumu na PSG ambaye atakuwa nyumbani lakini wakati huo huo bado hana uhakika wa kuvuka.

Pia, mna Napoli ambaye ni timu inaonesha ina uwezo, chini ya kocha mzoefu Aceloti lakini kubwa zaidi wana motisha ya kutaka kushinda maana wameona uwezekano wa kuvuka upo

Napoli angefungwa, hii challenge msingekuwa nayo

Any way, good luck
 
Matip ni muingereza?
Kama sio Matip angeanza Gomez mbina nae ni muingereza?
TUmefungwa kama team hamna wa kumlaumu
Hapana hilo la waingereza sio kweli ila kwa jana usiku kakosea line up hakuwapa heshima wale jamaa alikuwa anataka kujifanya too smart. lazima tukubali tuna seriou problem katika viungo na sikuona sababu kabisa ya Gomez kuanza bench pale kocha akubali kachemsha mechi ya jana. wale sio wakutufunga naamini leo akiambiwa rudiana nao tena atakuwa katika akili.
 
Klopp ni mpuuz hana definitive firts eleven, huyo ni kocha kwel? Lallana, strrg unaweka waanze ili wagundue nini?

Yani hizi week mpira tuna unga unga tu, mifield mbovu yan upuuz mtupu
Kuanza Sturidge jana niliona kafanya kitu hasa ukiangalia mambo anayoyafany firmino hizi mechi za karibuni...

Lakini hapo kati waliotakiwa kuwa bench walianza na waliotakiwa kuanza wakakaa bench... yani huyo Milner sijawai kuamin kama atakuja kutupa makombe cuz alikotoka ni kama alitemwa!


Unamuachaje nje Fab Keita na Shaqiri halafu kocha mpaka leo eti hana 1st eleven kama sio upuuzi ni nini au kwamba Buvac ndo aliondoka na ubongo wa klopp!


Na kuna haja gani ya kusajiri kama ameshaona tayari anakikosi chake maalumu na kimekamilika huyu jamaa ni mtu wa ovyo tena mlamba miguu ya waingereza!
 
Liverpudlians wenzangu, why all this doom and gloom vibe? khofu yenu ni nini khaswa?

granted...like everybody else, season yetu itakuwa na ups & downs kadhaa lakini there's a lot of hope kwamba come May 2019 it's more than likely that we'll be stocking one of (or both) the EPL / UCL championship top slots.

just look at the bigger picture on where we're placed in both competitions at the moment....

we're joint 2nd in the EPL, trailing by 2 points only, having played away to 3 of the top 6 and bagging 5 points in the process.

we're joint top in our UCL group.

am sure many teams (Manure, Chelshit, etc included) would have jumped at swapping places with us if such a chance were offered to them.

calm down my people, calm down.
let's assess ourselves and give correct judgements in January when the business end of the season is due.
 
Napoli angepigwa ndio mngekuwa pazuri sana, maana kwa sasa kuna timu tatu ambazo zote zina possibility ya kwenda hatua ya 16. Swali, kati ya hizo nani ataenda Europa?

Kumbuka mna mechi ngumu na PSG ambaye atakuwa nyumbani lakini wakati huo huo bado hana uhakika wa kuvuka.

Pia, mna Napoli ambaye ni timu inaonesha ina uwezo, chini ya kocha mzoefu Aceloti lakini kubwa zaidi wana motisha ya kutaka kushinda maana wameona uwezekano wa kuvuka upo

Napoli angefungwa, hii challenge msingekuwa nayo

Any way, good luck

Napoli na Liverpool Ni 50/50 kuendelea.

Reasons:
√ Wote Liverpool na Napoli wana points 6

√ Kwenye CL munapolingana points sheria ya UEFA haiangalii GD bali inaangalia H2H

√ Game ya Liverpool vs Napoli (Anfield) iwapo Liverpool atashinda atafikisha points 9

√ Na iwapo Napoli atafungwa na Liverpool basi Hata amfunge Red Star goli 100 atafikisha points 9.

√ Liverpool alifungwa 1 - 0 na Napoli, Kwahiyo iwapo Liverpool atamfunga Napoli 2 - 0 basi Wakifungana Kwa points Liverpool atasonga mbele kwa H2H Hata kama yeye Liverpool atafungwa goli 200 - 0 na PSG.

My Take: Hayo niliyoyaandika Ni Ramli tu lakini Yanawezekana
 
Liverpudlians wenzangu, why all this doom and gloom vibe? khofu yenu ni nini khaswa?

granted...like everybody else, season yetu itakuwa na ups & downs kadhaa lakini there's a lot of hope kwamba come May 2019 it's more than likely that we'll be stocking one of (or both) the EPL / UCL championship top slots.

just look at the bigger picture on where we're placed in both competitions at the moment....

we're joint 2nd in the EPL, trailing by 2 points only, having played away to 3 of the top 6 and bagging 5 points in the process.

we're joint top in our UCL group.

am sure many teams (Manure, Chelshit, etc included) would have jumped at swapping places with us if such a chance were offered to them.

calm down my people, calm down.

Mkuu mimi sina Mashaka na Timu yangu kwani Naamini Tuna Timu Nzuri ya Kupambana! Mimi Mashaka Yangu Yapo Kwenye Mikakati ya Klopp mpaka sasahivi bado sijamsoma hasa anafanya Nini!!!

Lakini kwa Timu hiihii tuliyonayo iwapo Klopp atakuwa na good Strategies Nabelieve kuwa Hao Chelshit na Arsen8 wataishia Kupiga kelele tu lakini hawawezi Kumaliza EPL juu ya Liverpool.

Siku Klopp anayoamua tushinde game basi tunashinda, Lakini Jana sikujua Mantiki Ya Kumueka Juu Gomez, Firmino na Fabinho... Keita nampa excuse kuwa hana Match fitness..
Na Sikuona sababu ya Kumpanga Matip, Lallana na Sturridge coz hawa inajuilikana wazi kuwa Si wachezaji Wa Kuanza Bali Ni Squad Players.

So, Klopp jana katufanyia utani...

Still I've some hope kwenye EPL
 
Yote kwa Yote Hii ndiyo Matokeo ya Kumkataa Fekir kisa tu eti Lallana amepona Majeruhi.

Now let us enjoy Shoo ya Lallana inayoprove that we are right Kumkataa Fekir because of him ha ha ha ha ha ha ha ha
 
Mkuu mimi sina Mashaka na Timu yangu kwani Naamini Tuna Timu Nzuri ya Kupambana! Mimi Mashaka Yangu Yapo Kwenye Mikakati ya Klopp mpaka sasahivi bado sijamsoma hasa anafanya Nini!!!

Lakini kwa Timu hiihii tuliyonayo iwapo Klopp atakuwa na good Strategies Nabelieve kuwa Hao Chelshit na Arsen8 wataishia Kupiga kelele tu lakini hawawezi Kumaliza EPL juu ya Liverpool.

Siku Klopp anayoamua tushinde game basi tunashinda, Lakini Jana sikujua Mantiki Ya Kumueka Juu Gomez, Firmino na Fabinho... Keita nampa excuse kuwa hana Match fitness..
Na Sikuona sababu ya Kumpanga Matip, Lallana na Sturridge coz hawa inajuilikana wazi kuwa Si wachezaji Wa Kuanza Bali Ni Squad Players.

So, Klopp jana katufanyia utani...

Still I've some hope kwenye EPL
jana tulikuwa na matatizo makuu 2:

1. Klopp ali goof kwenye line up
2. poor mentality ya wachezaji waliodhani Red Star ni mteremko baada ya ile 4-0
 
Yote kwa Yote Hii ndiyo Matokeo ya Kumkataa Fekir kisa tu eti Lallana amepona Majeruhi.

Now let us enjoy Shoo ya Lallana inayoprove that we are right Kumkataa Fekir because of him ha ha ha ha ha ha ha ha
Fekir wouldn't have done it for me.
there's something about him which tells me he would have been a misfit to our side.

hii defeat ya jana inanikumbusha similar defeat vs Burnley 2016. our "creative" Coutinho featured for 90 minutes, yet fans were complaining we lacked creativity simply because Mane didn't play that day. what a circus!

as for me, am not going to dwell on what might have been. I'll just make do with what I already have. I know we have a very good squad this term. we now have one of the most solid and cohesive backline in the league - this is good foundation for eventual silverware accolades. am not worried one iota!
 
mkiambiwa kitimu chenu chembamba mnaleta ushabiki maandazi hahahahaha ona sasa kumwanzisha dani na adam tu katimu hoiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii alafu ndio mchukue ubingwa na haka katimu hahahahahahahaha nahama JF
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom