joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 18,932
- 40,117
Swala la muda tu,ila lazima wawili wadondokee FUTUHI.Nyinyi mshazoea hadi raha![]()
Swala la muda tu,ila lazima wawili wadondokee FUTUHI.Nyinyi mshazoea hadi raha![]()
hii formation when t clicks t th best...ila sasa huu mfumo ukifail Klopp hua mzito sana kubadili ngia anagani...Klopp is the only manager in the world who plays 4-3-3 formation in 2018.
so clueless.
jana tulikuwa na matatizo makuu 2:
1. Klopp ali goof kwenye line up
2. poor mentality ya wachezaji waliodhani Red Star ni mteremko baada ya ile 4-0
inawezekana ziko zaidi ya 10 lakini kuu ni hizo 2 nilizozitaja!Kocha wako ameulizwa, "Tuambie sababu za nyie kufungwa."
Akajibu, "Tatizo nina vidole 10 tu (akimaanisha sababu zinazidi idadi ya vidole vyake vya mikono)."
Kinachonifurahisha kwa hii thread.
Washabiki ambao team zinacheza mechi za alhamis (Europa) Hahahaha ndio wamekazania sana liver kupigwa jana.
Wanasahau kwamba mbali na madoido yao bado liver ana nafasi kubwa ya kuvuka hatua ya makundi, na zaid wanasahau kwamba katika team zao ambazo ni Oil chafu, hata huko EPL tumewaacha mbali, kiufupi hawafui dafu kwetu.
Jamani hapa tunajadili sababu za kufeli ili tufanye vyema next matches, sisi hatujazoea kufungwa ndomana mechi moja inatutoa roho.
To loose
😂😂😂😂😂😂 wapo kwenye point of no return😂😂😂.
They need succession plan
kuwa hata na chembe ya huruma mkuuJust a reminder Klopp has:
- Been at Liverpool 4 years
- Never won a trophy
- Lost 3 finals
- Spent 400 million
- Currently losing to Red Star Belgrade
Point of diminishing returnswapi kwenye point of no return
.
Decline Stage


Hiyo hiyo...better wafanye divestment au liquidation😂😂😂😂Point of diminishing returns![]()
Tatizo mna mdomo mnoo..tusubirini madongo ya eden kimaro
hii formation when t clicks t th best...ila sasa huu mfumo ukifail Klopp hua mzito sana kubadili ngia anagani...
with the right players 4 3 3 can be a success.
kwa sasa inatu cost...Klopp should use Jan window ya usajili wisely...
hahahahahaha tunakusubiri huko FUTUHI ...........eti hamjazoea kufungwa wakati katika maisha yangu tangu nizaliwe mpaka leo hii nimeoa na nna familia yangu ila sijabahatika kushuhudia hawa LOSERFOOLS wakichukua EPL sasa sijui inakuwaje kama mnafeli kuchukua kombe ila mnakuwa UNBEATEN hahahahahahah hii ni comedyKinachonifurahisha kwa hii thread.
Washabiki ambao team zinacheza mechi za alhamis (Europa) Hahahaha ndio wamekazania sana liver kupigwa jana.
Wanasahau kwamba mbali na madoido yao bado liver ana nafasi kubwa ya kuvuka hatua ya makundi, na zaid wanasahau kwamba katika team zao ambazo ni Oil chafu, hata huko EPL tumewaacha mbali, kiufupi hawafui dafu kwetu.
Jamani hapa tunajadili sababu za kufeli ili tufanye vyema next matches, sisi hatujazoea kufungwa ndomana mechi moja inatutoa roho.
Hahaa... Chaaa.
Unafungwa na kitimu kina jina gumu kama majina ya kipolandYaani inaumiza sana kufungwa na kitimu kama hicho, afadhali tungefungwa na PSG!
kuna habari gani??
kuwa na huruma mkuu....wenzio wamefiwa kweli unawapa majukumu mengine kabla ya tatu kuisha?Habari zilizopo tutaondoka midaa ya saa nne usiku uelekeo jijini Manchester.
Watakaosafiri wajiandikishe kwa cute b.
Mnaombwa kuhakikisha hatujaacha kitu huku maana vifaa vyote vitahitajika huko.
Mkuu southern highlands tutaomba uendelee kutuazima maturubai yako.
Mkuu eden kimario yale masufuria tafadhali.
Mkuu titration tutaomba uandike historia/wasifu wa marehemu.
Mkuu Goodluck Mchika utashughulikia ulinzi tuwapo msibani
Wakuu Malafyale, mosdef, AdvocateFi kama mtakuwa na nguvu tutawaomba kwa huduma ya kulia.
Mkuu Jasho La Kuku tutaomba uratibu PA systems.
Msiba wa leo utakuwa mkuu kuliko wa jana, tunaomba tujipange vyema kupepea na kumwagia maji wafiwa.