Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Point yangu ya Juzi niliyokwambia Klopp anapanga timu kuwaridhisha Waingereza na Leo pia ipinge.

Hao Hendo na Lovren ndiyo hao hao Vipenzi vya Waingereza tu hawana lolote..

Sasa kuondosha Lovren ukaweka Matip tofauti ipo wapi?

Kuondosha Henderson ukaweka Lallana tofauti ipo wapi?

Ndiyo walewale tu....

Matip ni muingereza?
Kama sio Matip angeanza Gomez mbona nae ni muingereza?
Tumefungwa kama team hamna wa kumlaumu
 
Yashakimbia Malafyale kaja kufuta aibu lakini wapi anapandia kipigo cha man city toka kwa lyon kuhalalisha uharamia wa kwe kwe ze veda a.k.a red star belgrade
 
Its all about Klopp useless experiments we were in a big trouble tonight.Starting TAA was a mistake...Dropping Gomes for Matip was a blunder...Starting Lallana while you have a fit Keita was a kind of schizophrenia...Sticking with 4-3-3 especially when you have unpacy Sturridge was very an f...word.

The second goal...Gini accompaning the scorer the same way the bestman leads the grooms...very wonderful.Matip makes sure that the scorer reaches his destination to find a good target...very irritative.And...funny enough on bench you have Gomes,Keita,Fabinho...

Kama kocha unasajili wachezaji halafu bado unawakumbatia waliokufanya usajili bila kujali gharama,una matatizo.Waingereza wote ukiacha Milner hawakupaswa kuanza game ya leo.Lakini wakati fans tunafikiria ni muda wa kufanya kweli na kuweka mzaha pembeni,kocha anaona ni muda sahihi wa kufanya experiments zake!

Muda unavyozidi kusonga Klopp anakuwa kocha mbovu zaidi.Ana kikosi kizuri kuliko cha msimu uliopita lakini amekosa mbinu sahihi.Amekariri limfumo limoja as if ni dini yake.Halafu eti unamwingiza Origi!!kufanya nini?Atakwambia kuongeza nguvu ya ushambuliaji!Sasa ndo Origi?Ambaye hajacheza hata mechi moja msimu mzima?Hizi kama sio experiments za kipuuzi ni nini?

Baada ya Arsene Wenger namuona Klopp akichukua nafasi yake.Kuchezacheza tu mpira bila plan wala target.Mwisho wa siku mnaambiwa mlikuwa washindani wazuri...mnajipanga kwa msimu mwingine mje msisimue zaidi!!

Unaogopa nini kuwaweka nje wachezaji wa kiingereza?Soccer management yako inakuwa ipi hapo?Kwa nini ulitumia hela nyingi kusajili.

Bad enough the good players like Keita and Fabinho are slowly becoming unhappy.Looking on their faces i see they start yo regret being under this kind of manager who want to ruin their carrier...
Nataman nichukue mamlaka ya John Henry...
Angebakia hukohuko serbia
 
Nimepishana na mzimu wa marehemu..
IMG_20181107_001856_753.jpeg
 
Nimeishiwa Maneno kabisa Napoli alitupiga kwake then hawa Brigade wametupiga kwao Kwahyo unaweza ukaona kwamba hata PSG nao watatupiga kwao, msimu huu utakuwa mbaya Sana kwetu Kama mabadiliko ya haraka yasipofanyika.
 
Nawacheka sana kwa dharau haters wa Liverpool. All this shit troll reminds me of last season.

Mancs and plastic rent boys using their 'once in a year chance' to troll an LFC side miles better than their shit teams.. Pure Sarcasm

Let's meet at May 2019.
 
Draw ya PSG na Napoli imetuweka pazuri sana!
Hio ndio mbaya sasa, ilitakiwa napoli afungwe ili muwe katika hali nzuri.

Napoli amewafunga hivyo automatic yupo juu yenu mkiligana points kwa sheria za Uefa,

mkitoa draw anfield au ushindi wa tofauti ya goli moja kama 2-1, 3-2, 4-3 etc basi liverpool out.

Mnatakiwa mumfunge Napoli goli zaidi ya tofauti 2 au mkamfunge PSG ufaransa na mumfunge au draw na napoli.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom