Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

woeful LFC performance tonight.

vijana wetu waliingia uwanjani wakiwa na matokeo yao kichwani (kwamba wapinzani ni wepesi kwa vile tuliwapiga 4-0 kumbe wenzao wamejipanga vilivyo).
this is the main reason we got beaten and it was all there for everyone to see it.
plus, of course, Klopp also slightly goofed in his starting XI.

but we're not dead and out......yet.
our fate is still in our hands.
we just need to win the remaining 2 fixtures and we're through.

let's believe. for now.
 
Mm mpk najiuliza ni emre can na AOX Ndo wamesababisha tunastruggle hv hata cjui. Maana hata gemu ya cardiff tumeshinda nne lkn mpira wetu co wa msimu uliopita. Yaan hatupress wala nn utasema kina Downing na borini wamerud liver
 
Liverpool Leo imekuwa liverfool aka oil safi konki konk konki master
 
Juzi nilisema Mane anacheza vizuri kuliko hata Salah lakini hapewi sifa anayostahili kuna mashabiki wa Salah walikja kunipopoa ikabidi nipoe tu! Lakini tunaoumia ni sisi mashabiki wala si hao team salah team hendo team milner... hawa watatufanya tuendelee kuuskizia tu ubingwa

Mkuu leo Salah kajitahidi, kaupiga kuliko Forward zenzie zote tatu leo.Mane siku hizi ameona ule uchoyo wake hausaidii ndio maana unaona kama anaziachilia cross za ndani ya 18 nowadays
 
Unausemea moyo ushakuwa mganga wa kienyeji sasa beba tunguli na shanga kiunoni.
Wewe subiri kesho tuna amishia msiba kwako.

Nyie Liverpool na Man u mmebaki majina tu ..Uefa uko mnaenda kuihaibisha England...
 
Wewe subiri kesho tuna amishia msiba kwako.

Nyie Liverpool na Man u mmebaki majina tu ..Uefa uko mnaenda kuihaibisha England...
Sasa baba wewe ambaye uiabishi si uwepo basi ukapambane. Kuna aliyekuzuia kutokuwepo huko?
 

Mkuu radika njoo tufunge turubali wakati huu cute b akichambua mchele.

Hata kama marehemu alikuwa na mdomo sana tusiwaache wafiwa wafanye kila kitu peke yao.
Hahhahahhahahaa eti hata kama marehemu alikuwa na mdomo sana.
Alikuwa anajiona bingwa, unbeatable.
Ngoja niingie mie kuchambua Mchele..
Mkusanya rambi rambi ameshapatikana??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom